Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kuna taarifa zinazosambaa kwa kasi mitandaoni kumhusu mshambuliaji kinara wa Yanga, Fiston Kalala Mayele kutimkia moja kati ya klabu ya Afrika kusini ikiwemo Orlando Pirates na Kaizer Chiefs...
10 Reactions
86 Replies
8K Views
Kwanza niwapongeze Yanga kwa kufika Fainali. Huyo mganga wenu msimuache na akifa endeleeni na atakayemrithisha matunguli yake. Leo nazungumzia goli la pili alilofunga Mayele. Nimpongeze kwa kuwa...
8 Reactions
74 Replies
5K Views
Wananchiiii hapa ndiyo mnasema mnaenda kubeba kombe? 😝😝😝
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Inadaiwa kuwa Nyota huyo wa Los Angeles anafikiria kuhusu uamuzi huo baada ya timu yake kupoteza kwa 4-0 dhidi ya Denver Nuggets katika Fainali za Ukanda wa Magharibi kwenye Ligi ya Kikapu ya NBA...
0 Reactions
2 Replies
587 Views
Miezi michache iliyopita Rais alitoa tiketi 20k bure kwa ajili ya mashabiki kwenda kuishangalia Taifa Stars vs. Uganda matokeo yake tulipigwa. Jana katoa tena tiketi 5k bure kwa mashabiki kwenda...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
" Diarra ameleta mapinduzi makubwq sana nchini katika idara ya goalkeeping. Ana footwoork nzuri, anaweza akapiga pasi ndefu ya mita karibia 60 mpaka 70 na ikamfikia mlengwa pale alipo. Anaweza...
10 Reactions
24 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye mada, ni kama Yanga wana asilimia nyingi kuingia fainali CAF confederation cup nimejaribu kuangalia fixtures za CAF fainali inatakiwa kuchezwa 28 May first leg na June 3...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
One of the most Popular football player in afrika ni Fiston Mayele Najua wengi watabisha kwasababu ya ushabiki wao lakini nitakacho kisema hapa ni ukweli Fiston Mayele Ndiye mchezaji maarufu...
2 Reactions
7 Replies
955 Views
Walianza mashindano pamoja,moja kafeli kwenye hatua ya 1(32 Bora). Mwingine kajikongoja hadi 8 Bora,chaajabu alieishia 32 bora anamnyoshea kidole mwenzie kwanini umeishia njiani? Tukumbushane...
6 Reactions
41 Replies
3K Views
Nipo nimekaa paleee Baada ya wydad kutinga fainali kwa faida ya goli la ugenini na kufanikiwa kuwatoa mamelody kwa mbungi iliyopigwa na kutoka sare ya magoli mawili Kila timu. Sasa tusubiri...
3 Reactions
19 Replies
745 Views
PAMBA WALALAMIKA KUFANYIWA FIGISU Uongozi wa klabu ya Pamba ya Jijini Mwanza umeomba uongozi wa TFF kuchunguza Upangaji wa matokeo kwenye Mchezo wao wa jana 1st leg play off dhidi ya Mashujaa FC...
2 Reactions
36 Replies
2K Views
ASUBUHI kitandani pale Johannesburg nilikuwa nasikiliza watangazaji wa Afrika Kusini wakimsifia straika wa Yanga, Fiston Mayele. Namna alivyofunga bao moja na kupika jingine dhidi ya Marumo...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Hapo jana taa za Sanamu Maarufu la “Kristu Mkombozi”(christ the redeemer) lililopo Rio de Janeiro huko Brazil zilizimwa kwa Muda wa Saa Moja hapo Jana ili kuonesha Mshikamano wa Watu wa Brazil na...
6 Reactions
14 Replies
1K Views
Hapa alikuwa na akili za mambo kumi, Msikilize
0 Reactions
2 Replies
765 Views
Kwa upendo mkuu Rais Samia amewanunulia ticket Mashabiki 5000 watakaokwenda Uwanja wa Mkapa kuishangilia Yanga dhidi ya USM Alger Source: Azam tv
11 Reactions
66 Replies
4K Views
Sijui nini kimemkuta ndugu yetu yaani sikumbuki ni lini alicheza katika ubora wake. Akijaribu kwenda mbele kushambulia mara anasahau mpira nyuma. Lakini hata kukaba ni changamoto. Leo Kibabage...
0 Reactions
14 Replies
985 Views
Kwanza kabisa piga marufuku wanasiasa na wasaka sifa kuja kambini kwa kisingizio cha kuleta hamasa kwa wachezaji. Kuna watu wanataka kuitumia Yanga kama mtaji wao kisiasa hawa ni wa kuwaeupuka...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Hii nadharia ya kuwasema Wanaoshiriki Shirikisho ni waliofeli sio sahihi, hii ni kujificha kwenye kivuli Cha kufeli Kwa Magungu. Kuna michuano wanaita CAF champions League, yaani michuano ya...
0 Reactions
11 Replies
738 Views
Maandalizi na mihangaiko ambayo nimeishuhudia kwa macho yangu kwa baadhi ya viongozi, wajumbe na wanachama wa Mnyama wakihangaika kufanya kila wawezalo kuhakikisha Mwananchi hachukui ubingwa wa...
12 Reactions
24 Replies
2K Views
Taarifa za ndani nilizozipata kutoka Jikoni katika Klabu moja na hata kule Kwenyewe kabisa CAF ni kwamba kama kuna Refa ( Mwamuzi ) ambaye atachunguzwa mno Maamuzi yake Kiuchezeshaji Siku hiyo...
0 Reactions
9 Replies
967 Views
Back
Top Bottom