Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Anasema CEO wa Simba, Imani Kajura; "Timu yetu imeshatoa Bonus zaidi ya Billion 1.1 na kiasi kilichobaki ni milioni 20 pekee tena ni Bonus ya Ligi ya ndani, wewe vuta picha Klabu inalipa zaidi ya...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Moderator leo kuna game ya Real Madrid Vs Man city. nimeweka uzi jukwaa la sports tupate apdate lakini uzi umeyayuka shida nini!
0 Reactions
5 Replies
579 Views
Mashabiki mbalimbali wameanza kumtupia lawama muwekezaji MO dewji kuwa yeye ndie anawarudisha nyuma na wala siyo wachezaji wa benchi la ufundi..
6 Reactions
49 Replies
3K Views
Desemba 17, 2021, Klabu ya Simba ilizindua kampeni ya kuchangia ujenzi wa uwanja wao uliopo Bunju, Dar es Salaam. Malengo ni kujenga uwanja wenye uwezo wa kuingiza watazamaji zaidi ya 30,000...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Katika historia ya Uefa champion's league mechi mbili tofauti ambazo zilivunja mioyo ya watu ni fainali 1999 Manchester united vs Bayern na nusu fainali mwaka jana 2022 Man City vs Real Madrid...
2 Reactions
8 Replies
847 Views
Mimi ni shabiki wa Yanga (kiasi) ila kitendo cha huyu msemaji wa Yanga kutaka Jumatano kazi ndani ya ofisi za umma kuishia saa sita mchana siku ya Jumatano kwakuwa Yanga inacheza HAPANA. Hata...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Mashabiki takribani 31,620 waliohudhuria mechi ya Ligi Kuu ya Soka ya Marekani na mamilioni zaidi duniani waliokuwa wakitazama “live” mechi ya Seattle Sounders dhidi ya Sporting Kansas City...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Ukiifunga timu mbovu na chovu hakuna cha kujisifu ila ukifungwa na timu chovu kama marumo kila mmoja atakushangaa!! Ni timu ya mkiani huko bondeni!! TABLE DSTV PREMIERSHIP # Club W D L Goals...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Haya baada ya Kutudanganya wana Simba SC (GENTAMYCINE nikiwemo) na Wadau wa Soka / Michezo leo katika moja ya Interview yako kuwa Bonus inayodaiwa na Wachezaji wa Simba SC ni Shilingi Milioni...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Meneja Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally Amekiri wachezaji wa Timu hiyo kudai bonasi. " kweli wachezaji wanadai Bonasi zao za mechi kadhaa, Kuna wakati taasisi inakuwa na fedha inalipa madeni...
0 Reactions
56 Replies
3K Views
Jamaa toka apate nafasi mwaka wa pili sasa simba inaambulia patupu Inawezekana anagundu na hivi wanasema anavinasaba vya yanga
2 Reactions
8 Replies
810 Views
Mo ni tapeli utajiri wake uchunguzwe Sana jamaa anawaliza simba Tajiri namba moja Tanzania anakosa milion 300 kulipa bonus? Bilioni 20 zimeishaje ? si zilingefanya uwekezaji pesa za kununua hisa...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Nimejaribu kuvavadua nimeona kumbe Yanga na Simba ni watoto yatima. Hawana baba Wala mama. Klabu hizi mbili zimebeba historia ya taifa la Tanzania.Pia nimegundua kuwa kama Marehemu Mzee Karume...
1 Reactions
8 Replies
926 Views
Hivi ni kweli timu ya taifa ya mpira wa kikapu(basketball) ya walemavu jezi zao zimeandikwa na maker pen hamuoni mnaaibisha taifa?
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hapa tunakipokea kikosi airport Mimi na mashabiki wenzangu duniani kote licha ya matokeo ya jana,hatuwadai chochote kikosi cha Simba Sc Kwa jinsi walivyocheza jihadi huku wakiwa pungufu ni...
15 Reactions
62 Replies
3K Views
Huwa ni mpenzi WA Mpira WA miguu mno. Na hii inachagizwa kwa kuwa nimecheza Mpira katika peak ya juu sana ila tu wakati na cheza Mpira haukuwa Mali sana KULIKO kipindi hiki Cha sasa. Sasa Kuna...
0 Reactions
5 Replies
471 Views
1. Hawajui kwa nini yanga wana pesa ya usajili na Simba hawana.Hapa majibu yanahitajika 2. Matangazo yaliyojaa kwenye jezi tena maandishi makubwa ya hovyo kutangaza bidhaa za mo ,yanalipiwa bei...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Nani alitulaani sisi watu weusi? Kwanini tunaendekeza ushenzi wakati mwingine bila sababu za msingi? Neno 'ushenzi' ni kinyume cha neno ustaarabu.Tumeshindwa kuwa wastaarabu katika vitu vilivyo...
2 Reactions
11 Replies
698 Views
Ningependa moja moja kuwapongeza watani zetu Yanga kwa ushindi wa jana. Baada ya kufanya tathimini yangu fupi mitandaoni na vijiweni nimegundua kuna mabadiko makubwa kati ya mashabiki wa Simba na...
14 Reactions
67 Replies
5K Views
Ni miaka 10 rasmi tangu Sir Alex Ferguson (81) alipotangaza kustaafu kuifundisha Manchester United na kufundisha soka kwa jumla Akiwa klabuni hapo alishinda mataji 13 ya Premier League, 5 (FA...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…