Hakika yanga inastahili kupewa maua yake kwa hatua kubwa/viunzi vigumu ilivyo viruka nakufika hapo ilipo hakika inastahili pongezi maana imeliheshimisha taifa kwa ujumla.
Kupiga hatua kwa yanga...
𝗧𝗔𝗔𝗥𝗜𝗙𝗔
Wakuu ....kitaalamu tunaitaje hii
Taarifa Kutoka Morocco hadi sasa tayari tiketi zote majukwaa ya zone 4 na zone 7 zimekwisha.[emoji119]Na leo tiketi za Zone 5 zimekwisha Sasa zilizobaki...
Klabu ya Ndanda ya Mtwara imetangaza kujitoa katika Ligi Daraja la Kwanza (Championship), huku sababu ikielezwa ni ukata kiasi Cha kushindwa kumudu gharama za kujiendesha.
Ndanda imekuwa...
Kama Chelsea inataka kujikwamua kutoka katika shimo walilotumbukia kocha Eniruque ndiye ambaye anaweza kuibadilisha Chelsea tofauti na hapo was filed maumivu
Habari zinasema alinyimwa kazi na...
Mshambuliaji wa Simba, Pape Ousmane Sakho amefanikiwa kushinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), Julai 21, 2022.
Tuzo hizo zimetolewa Rabat Nchini...
Baada ya kuendelea kuifanyia tathimini ( uchambuzi) mechi ya wydadi Casablanca ( mabingwa wa Africa) na Makolo mabingwa wa .mapinduzi cup nimekuja kugundua yafuatayo
Kwa mpira wa spidi wanaocheza...
Wakuu,
Game ya Casablanca ni ngumu mno! Lazima uwe na wachezaji waliofiti kifizikia na kiakili muda wote wa mchezo.
Supercoach Robertinho ni fundi ila natoa ushauri mdogo tu. Hiki ndio kikosi...
Kwanza tuelewane chini ya CAF hakuna Shindano la Loosers ( Walioshindwa ) bali Mashindano yote yana Umuhimu na yametenganishwa ili Kukuza zaidi Kiwango cha Soka hasa Kimashindano kwa Bara la...
BONDIA Hassan Mwakinyo amesema sababu ya kutokumpiga kwa KO, Muvesa Katembo wa Afrika Kusini ni kutokana na bukta yake kumbana.
Katika pambano hilo lilofanyika juzi katika Uwanja wa Jamhuri...
Mods sahihisha kichwa cha habari "Uliosababishwa"
Klabu kubwa Nchini TZ kabla ya kusafiri leo 24 April.Imeandikia barua ya malalamiko CAF kufuatia kitendo cha mashabiki wa wydad kusambaza moshi...
Ameandika Mwanaharakati Yericko Nyerere
"Hii haikubaliki, hii ni dhihaka, dharau na kutweza utu wa Msemaji Mkuu wa @yangasc ndugu @alikamwe na Mkuu wa Digital ndugu @privaldinho ambao ndio wana...
Ligi Kuu ya Uingereza inaelekea ukingoni, zikiwa zimebaki mechi kadhaa, Arsenal anaongoza ligi kwa alama 5 huku akiwa amecheza mechi moja zaidi ya Man City.
Man City yeye amebakiza mechi 10...
Ukisoma hapa huyu admin anasema first ever akimaanisha kwamba hawajawah fika, ila wachambuzi wa mpira Tanzania wanasema alishawah fika 1974 sasa tumwamin nani kati ya CAF au wachambuzi lia lia wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.