Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Duu Kwa matusi haya inafaa afutwe kazi akafundishe huko kwenye Ligi imara
5 Reactions
23 Replies
663 Views
Wakati ligi mbalimbali zikielekea mapumziko, miongoni mwa ligi hizo ni NBC premier league ya 6 Kwa ubora Africa ....jambo ambalo limefanikishwa sana na Yanga since Yanga imeplay part kubwa...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Yanga inapaswa tubadilike Haya maisha ya kutegemea kuvuka robo kwa point chache tunapaswa tuyaache. Hata msimu uliopita yanga tulivuna point 8 tu kwenye group stage. Makundi yote hakuna timu...
1 Reactions
7 Replies
436 Views
Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi. Ninetafakari sana,haitatokea...
30 Reactions
193 Replies
6K Views
Juma Ally Magoma ameuonya uongozi wa Yanga kuingilia kesi yake dhidi ya bodi ya wadhamini wa klabu ya Yanga akisema kitendo hicho ni hatari kwani yeye alishitaki bodi ya wadhamini ambayo sio kosa...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Mzee Magoma akihojiwa leo amenukuliwa akisema Yanga slow pancha ilianza muda mrefu. Mzee Magoma ambaye amesisitiza kua yeye ndio DAKTARI anayejua namna yakuitibu Yanga.. Kasema na kuwaasa...
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Yanga ina uhusiano wa karibu na wa kihistoria na CCM (ASP+TANU), Kucheza na Yanga ni kucheza na CCM na kucheza na CCM ni kucheza na serikali na kucheza na serikali ni kucheza na Moto wa makaa ya...
0 Reactions
20 Replies
874 Views
Muwe na siku njema wananchi , kuna uwezekano wanaomuelewa huyu Mzee ni wale Wawili. Mzee Juma Magoma baada ya kushindwa kwenye kesi aliyoifungua Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya Baraza...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu kurujuni imeanza kazi, Kuna wahuni wamejimilikisha timu ilihali wamekuja mjini juzi. Mzee Magoma hayupo peke yake rudisheni timu kwa wenyewe mambo yakae sawa. PIA SOMA - Vipi tayari Mzee...
1 Reactions
13 Replies
405 Views
Fundi wa mpira winga machachari ameanza mazoezi na wachezaji wenzake leo hii! Hilo balaa alilolifanya si powa. Huyu jamaa anajuwa ball kinoma Kata Tiketi Mwananchi Tukutane Kwa Mkapa Jumamosi
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Waamuzi wa Tanzania ndio wanachezesha mechi ya shirikisho ambayo imeanza saa nne kamili kati ya RS Belkane vs Stellenbosch. Mwamuzi wa kati-Ahmed Arajiga Wasaidizi: Salimu Mkono Mohamed Seif...
3 Reactions
26 Replies
907 Views
... Makosa yalianza baada ya preseason. Wachezaji waliishiwa pumzi ghafla wakwa wanashinda kwa kubahatisha bahatisha tu -kagoli kamoja kamoja, na wawalipoanza kufungwa ndipo michezo ya CAF ikaana...
2 Reactions
18 Replies
584 Views
1. Al masry sc 2. Asec mimosa 3. Stellenbosch. Je Simba atavunja mwiko wa robo?
2 Reactions
4 Replies
634 Views
Hesabu za kutoa na kujumlisha ni ziliwafanya familia nzima kutembea na calculater lakini matokeo yake wamefeli mtihani kimataifa. Mwalimu wao anasema eti wanafunzi wake ni vilaza kwa vile...
1 Reactions
8 Replies
294 Views
Kiuhalisia safari ilibidi iishie Sudani , mgonjwa akaongezewa drip kidogo ndugu wakapata matumaini Ibenge mtu m bad sana
4 Reactions
12 Replies
544 Views
Habari wana jukwaa... Kwa heshima na taadhima tunaliomba shirikisho linalosimamia mpira wa miguu Afrika 'CAF' waturuhusu tuwape utopolo alama mbili Ili wafuzu hatua ya robo fainali. Yanga...
0 Reactions
1 Replies
255 Views
Huo ndiwo ukweli. Ukiwasikiliza hasa Idara ya Ali Kamwe, kutwa kujigamba na wazi unaona ni watu wanao penda sifa za kijinga na zisizo dhahili. Mpira wa miguu siyo rede ama kwaya, bali ni Sayansi...
2 Reactions
2 Replies
221 Views
Kwa mujibu wa Caf 5 year ranking system, kwa sasa Simba ikiwa nafasi ya 7 na Yanga nafasi ya 13 kutokanq na alama walizovuna miaka mitano iliyopita, hivi ndivyo hesabu ya jumla ya alama...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
TBCtaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship. Hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
10 Reactions
105 Replies
2K Views
Kocha wa Kaizer Chiefs, Nasreddine Nabi alikuwa hapa nchini kwa siku mbili kisha kufanya vikao na mabosi wa Yanga aliowahi kufanya nao kazi kwa mafanikio lakini amewaambia mabosi hao kuwa anaamini...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom