Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

1. Baleke goal la 2 Vs Ihefu.. 2. Aziz Ki Goal la 2 Vs Kagera 3. Elias Maguli Vs KMC Mimi: Elias Maguli
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Naona Fei kila ikikaribia game ngumu anaibuka kutoka mafichoni na kuwahadaa Yanga kwa kesi isiyo na mashiko wala haimpi faida yeye zaidi ya anguko lake kimpira. Na sisi wana lunyasi ikitokea Fei...
2 Reactions
3 Replies
666 Views
NALIA NGWENA the informer nipo hapa katika tawi moja wapo la Simba maarufu na pendwa sana haswa viongozi wakubwa wa Simba sc, Nimevalia msuli wangu mzigo upunge upepo, shati kubwa kubwa na...
1 Reactions
2 Replies
678 Views
Hivi ikitokea Yanga kuchukuwa kombe la shirikisho na huku Simba wameanguka kwenye robo final ya club bingwa,bado CAF watawaita simba giant wa Tanzania? Ni suala la muda tu admin wa CAF...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Haya leo tuangazie namna gani marefarii katika ligibza wenzetu wanavyolipwa. Sijajua kwa huku kwetu wanalipwaje lakini kwa wenzetu malipo yao ni kila mechi. Katika ligi kuu ya Uingereza, mwamuzi...
10 Reactions
30 Replies
3K Views
" Sisi Simba tunaamini mara zote ambazo Yanga ameshinda dhidi yetu huwa wanabahatisha bahatisha tu. Hii ni kwasababu Yanga hajawahi kuwa na ubora kama wa Simba, Yanga hawajawahi kufika Level na...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Tunataka tutoe Salamu kwa Wydad Casablanca FC na Mitambo yetu yote na Mbinu zetu zote za Kimafia na Kiuchawi tutazijaribia Kwenu Jumapili tarehe 16 April, 2023 kwa Mkapa. Tukiwakosa GENTAMYCINE...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Joseph Mbilinyi aka Sugu amesema atanunua kila goli la Mbeya City watakalofunga kwenye Michezo 4 ya Ligi Kuu iliyobaki kwa Tsh. Milioni 1. Sugu amesema fedha...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Kuna nyuzi nyingi sana zimeandikwa kumuhusu Jean Baleke, kiufupi zimeandikwa kiudaku pasipo kuwa na evidence yakupush agenda Kama baleke alishawahi kuwa mfungaji Bora pale kongo. Nakataa, nakataa...
2 Reactions
92 Replies
7K Views
Ameandika tom cruz Nimefanya utafiti mdogo kwa baadhi ya wachambuzi ambao wanalaumiwa na baadhi ya viongozi na mashabiki wa Yanga kuwa wanatumika kuichafua klabu hiyo na kuibua migogoro mara kwa...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Naam, ile siku pendwa/siku madhubuti siku ya watani wa jadi/maacha wa kariakoo/sunche na kapeto au pingu na denso watakichafua, kambumbu itapigwa haswa maana timu zote mbili zinahitahi heshima na...
3 Reactions
8 Replies
556 Views
Mpira wetu ukiwa unajikongoja kupiga hatua mdogo mdogo kimataifa na kuongeza viwango ligi, bado kuna jinamizi linatudisha nyuma huu mpira wetu na si jingine jinamizi la "Ushirikina." Kuelekea...
1 Reactions
6 Replies
548 Views
Naam, wakati real Madrid, Manchester city , wydad Casablanca, Rajacasablanca ,Al ahly n.k, zikipiga hatua kwa kuwekeza pakubwa katika kununua wachezaji nakuboresha mishahara na masilahi ya...
6 Reactions
55 Replies
2K Views
Rais wa klabu ya #Ghardimaou, Jamil Meftahi, amesema wameshindwa kulipa wachezaji wao kwa sababu #Tunisia iko katika mgogoro wa kiuchumi hali iliyosababisha Wachezaji hao kuzamia Ulaya Nchi hiyo...
1 Reactions
1 Replies
508 Views
1. Tumewaachia ili msiparurane 2. Tumewaachia ili mjifariji 3. Tumeshakuwa Mabingwa kwa 90% hivyo hatutaki kutumia Nguvu Kubwa 4. Tumechezesha Kikosi cha Watoto 5. Uchovu umetugharimu 6...
2 Reactions
9 Replies
687 Views
Inasemekana Yanga wanataka kumuuza feitoto thamani ya pesa walizotumia kumnunua Aziz ki. Yani dola 200,000+ ambayo Ni karibu m 500. Sasa Cha kujiuliza Sasa 1. Je Kama thamani ya feitoto na Aziz...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Na mndengereko Ni kawaida siku hizi waandishi wengi wa habari huandika kuhusiana na matukio mbalimbali yanayotokea katika jamii,hasa ya kitaifa na yanayohusisha public figure,mfano rais au makamu...
3 Reactions
2 Replies
694 Views
Kamati ya sheria na hadhi za wachezaji ya TFF itakutana kesho tarehe 12. April.2023 saa 4:00 asubuhi. Kamati pamoja na mashauri mengine itajadili shauri la FEISALI SALUM ABDALLAH (Feitoto)...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kiwango kinachoonyeshwa na Waamuzi baada ya wenzao kufungiwa kinaonyesha waliofungiwa wameonewa. Mechi Tatu zilizopita zimechezeshwa Kwa butua butua ya Waamuzi na Leo Mdoe kafanya hitimisho la...
1 Reactions
7 Replies
730 Views
Huyo / Huyu ndiyo Jean GENTAMYCINE Baleke ambaye kwa Taarifa yenu tu alipokuwa Kwao Congo DR alimzidi Mtikisa Matiti na Mjipiga Makofi Mkononi kama Mwendawazimu kwa Ufungaji wa Magoli. Hapa kaja...
6 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom