Full Time
90' Zinaongezwa dakika 2 za nyongeza
80' Sure Boy anapata kadi ya njano wa kucheza faulo
73’ Mayele anapiga kichwa kinaokolewa na kipa wa Geita
72’ Yanga wanapata kona ya 5, Geita wao...
Huyu jamaa ukimsikiliza kwa makini utagundua ana madini mengi sana.
Anachambua mpira kwa data, uhalisia na ukweli. Huwa namfatilia sana kila jumapili pale AzamTv kupitia kipindi cha Sports AM...
Nawaomba ndugu zangu mkaliepushe taifa na aibu ya kufanya uchawi hadharani kama mlivyofanya kule South Africa. Kikosi cha ushindani mnaaho na mnaweza kupata matokeo huko ugenini. Hivyo nawaomba...
Wale Jamaa pale Kwa Mnyamani na li ugali lao kuuubwa walilopika na kula kwa sukari. Wamepata faida gani kimpira zaidi ya kula ugali wakiwa gongo wazi??
Manara aliwahi kusema kuwa Yanga kuna watu...
Moja ya mambo yatakayotuchelewesha sana kama taifa, ni kutafuta majibu mepesi kwa maswali magumu. Unaanzaje kuingia gharama ya kumlipa kocha mamilioni ya pesa za kigeni huku ukijua fika kwamba...
Aloo mashabiki wa Tanzania ipo kazi sana, baada ya Yanga kupiga soka la kitabuni dhidi ya Tp Mazembe, Real Bamako na Montasir wale wa upande kule ambao kwa yanga kila kitu kibaya wameibuka na...
Baada ya Mh Raisi kutangaza dau nono la Milioni 5 kwa kila goli na pasipo na shaka Yanga ikionekana kwenda kukausha kibubu hicho Simba nao wameibuka wakitaka kupewa viti maalumu i mean wanataka...
Natoa wito Kwa uongozi wa klabu yangu ya Simba kupitia scouting ya timu uwamulike hawa wachezaji wa As Real Bamako. Humu tunapata wachezaji wengi wazuri kwa bei nafuu sana
Nimeona wachezaji wenye...
Hii kitu imepigwa danadana hadi tumesahau kila mwaka walisema watakuja Tanzania.. Je, bw malinzi unaweza fatilia hii ziara utujuze mpango bado upo au ndo changa la macho real madrid kuja nchini.
Simba SC inashiriki Kombe la Wanamume wa Shoka na Klabu nyingine inashiriki Kombe la Wadada na Walioshindwa je, iweje leo Wote wapewe Kiasi sawa cha Fedha Shilingi Milioni Tano kwa kila Goli...
Mchezo ni saa 16:00Vikosi vyote kwa timu mbili vimetolewa
Timu zinaingia uwanjani
Mchezo unaanza
1' Phiri anafika langoni mwa Mtibwa anashindwa kutumia nafasi vizuri
3'Goooooooooo
Jean Baleke...
Baada ya kwa muda mrefu Clouds FM na Kipindi chao pendwa cha Sports Extra kutamba kwa muda mrefu kila Siku za Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5 sasa wamempata Mpinzani wao mpya wa Kipindi cha Michezo cha...
Tangu Rais Mama Samia Suluhu Hassan atangaze motisha ya shilingi milioni tano kwa kila goli litakalofungwa na Simba au Yanga kwenye michuano ya kimataifa, Yanga wamekuwa watu wa 'kutaka sifa'...
Najaribu kubashiri ujinga tutakaosikia kwa wachambuzi na watu wajinga wajinga waliopewa fursa katika media za kiswahili.
Hapo utawasikia wakiisifu timu yao kuwa ingecheza na mamelody ingeweza...
ALIJIUNGA na Real Madrid akiwa na Umri wa miaka tisa.
Akaweza kuichezea Klabu hiyo Kwa miaka 25 huku akifanya Makubwa na kuweza kubeba Makombe 19,Baba wa watoto wanne,IKER FERNANDEZ CASILASS...
Nakupongeza sana Elia Clement kwa kupata medali ya dhahabu katika mashindano ya riadha ya Afrika Mashariki na Kati kwa wachezaji wenye umri wa miaka 18 na 20 yaliyofanyika Uwanja wa Benjamin...
Simba pasi 569 na zilizofika kwa usahihi ni 473, Vipers pasi 324 na zilizofika kwa usahihi ni 239, Yanga pasi 393 na zilizofika kwa usahihi ni 301, Bamako pasi 350 na zilizofika kwa usahihi ni...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. #PindiChana amemteua Ally Mayay Tembele kuwa mwakilishi wa Tanzania Katika Bodi ya Ushauri wa Michezo ya Jumuiya ya Madola (CABOS) kwa miaka 3.
Ally...
Hakika miaka inaenda mbio sana hawa mashabiki wa Simba wao wanataka kufa tai Shingoni hawataki kukubali timu yao inahitaji mabadiliko wamebaki kukalia ishu za Yanga na wachambuzi wao wa kimchongo...