Tembea uyaone, huku shirikisho ambapo Yanga yupo ni yeye tu ashindwe kupita lakini timu za huku ni za mchongo kama hawa Bamako ni timu ya kawaida mno hata jezi zao zina akisi ninachokisema.
Yanga...
TP Mazembe imeendelea kufanya vibaya katika Kombe la Shirikisho Afrika, ikiwa nyumbani imefungwa magoli 2-0 dhidi ya US Monastir ya Tunisia.
Mechi inayofuata ya Kundi D ni Real Bamako ya Mali...
Ndugu zangu mpira ni mchezo wa wazi sana. Vipers na simba kwa pamoja walipigwa 8 mtungo na Raja Casablanca.
Hiyo inaonesha kabisa hawa ndio viazi wa kundi na ni vibonde haswaa maana mmoja...
Huyu dogo anayepambana na Tony Rashid mbona sifa zilikuwa nyingi na anaonekana anakwenda kupoteza pambano.
Hizi trends za wabongo kushinda , je ni wako bora sana Africa au tunamdanganya nani?
Ni...
Ngumi kwa sasa zimekuwa dili na ajira nzuri kwa mabondia.
Katika michezo ya kimataifa skendo za Match fixing ni mbaya sana kwa nchi yetu.
Mpaka ABU wameamua kutokukubaliana na maamuzi ya majaji...
Simba na Yanga wote wana mechi za kimataifa mwishoni mwa wiki.
Utabiri wangu kwakuwa wote wapo ugenini, Simba atadroo na Vipers wakati Yanga atapigwa goli mbili kule Mali.
Wakuu,
Ili game ya kesho tushinde tunahitaji kuwatumia Banda na Phiri kuleta vitu vipya pale mbele na kuwapumzisha kwanza Baleke , Sakho na Boko. Banda ana workrate kubwa na atamsaidia sana...
Wakuu habari za jumapili, bila shaka leo ni pambano la Jack Paul Vs Tommy Fury, mwenye taharifa ya pambano ni saa ngapi kwa masaa ya Tz watujuze na litaoneshwa station gani ili tuweze fatilia...
Mimi ni jangwani pure,ila niongee kidogo hili. Mikia wakichanga karata zao vizuri na wakaachana na mambo ya Rivas na moto viwanjani watapenya hadi robo final.
Hesabu ziwe hivi. Wana point 3...
Kipa mstaafu wa Cameroon Thomas N'Kono alishiriki katika Fainali tatu za Kombe la Dunia la FIFA (1982, 1990, 1994) na mashindano manne ya Kombe la Mataifa ya Afrika (1982, 1984, 1986, 1990)...
Je;
1. Simba SC icheze mpira wake wa Samba Loketo ila ifungwe au iambulie sare/suluhu kisha timu na mashabiki tuvurugane zaidi, tuchapane bakora, tuchekwe na watani zetu Yanga SC na mgogoro uzidi...
Yanga wangefuzu Champions League kwa kuitoa Al Hilal ndio wangepangwa hili kundi hapa chini.
Kwa Yanga hapa wangeondoka na pointi ngapi? Maana Al Ahly mwenyewe ana pointi 1 kwa mechi 2.
Kwa kuangalia upande wa madhaifu ya timu zote mbili katika mizani, naona Vipers wakiwa na safu butu mno ya ushambuliaji. Wamecheza michezo zaidi ya mitano pasipo kupachika goli hata moja, hivyo...
[emoji599][emoji2788] Jose Mourinho (juu ya Mario Balotelli) : "Mario alikuwa na furaha. Ningeweza kuandika kitabu cha kurasa 200 za miaka miwili niliyokaa Inter na Mario. Lakini kitabu hicho...
Ni siku nyingine tena ambapo Mabingwa wa Uganga Vipers S.C wanawakaribisha Simba S.C kwenye mchezo mwingine wa kutafuta alama tatu ili kujiweka sawa katika msimamo wa kundi C wa ligi ya Mabingwa...
Kwa kuangalia vigezo tofauti ikiwemo mbinu na history za timu hizi mbili wanapokutana Guinea, naiona mechi inaweza kuisha kwa ushindi mwembamba kwa Guinea.
Mpira una mambo mengi ukiachana na...
"Yanga SC imeshatimiza malengo yake ya kuingia Makundi CAFCC kwa mwaka huu na haya mafanikio ya sasa katika Mechi zetu za Makundi ni Bonus tu kwetu. Hivyo hata tukitolewa hatutokuwa na deni kwa...
Nachelewa kusema wale waliotufunga goli moja sio hawa, ila nafsi inasita.
Jamaa wanakaba mno, wameweka viungo kama wote katikati. inaonekana wamedhamiria kutoa suluhu, ngoja tuwape muda mana hii...