Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yanga watawafunga TP mazembe juma pili tena bao moja La penalti ya Shaban djuma Na maliza ivo tukutane juma pili Bisheni mkae lakini ukweli ndo uo
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Hapo niviongozi kutoka CAF wakipata chakakula wapo hapa nchini kuhusiana na Africa super ligi sasa najiuliza mbona cioni ata kiongozi mmoja wa 🌳🌳🌳🌳au wao sio super au basi.
4 Reactions
37 Replies
2K Views
"Kesho Uongozi wa Yanga SC umealikwa na Wana Yanga SC wa Mbagala ili twende Kuzindua Hamasa ya Kuelekea Mechi yetu ya Jumapili dhidi ya TP Mazembe na Ijumaa hadi Jumamosi pia kutakuwa na Matukio...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Mimi ni mzalendo. Pamoja na kunipenda sana Simba lakini linapofika suala la Nchi Tanzania Huwa naweka mbele maslahi ya Nchi. Japo hakuna hata SEKTA Idara, Wala Taasisi yoyote yenye Mafanikio...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
🚨Ni rasmi Kuwa CAF wamekataa ombi la simba kucheza saa 10 jioni mechi yao dhidi ya Raja Casablanca,na Badala yake mchezo utakua saa 1 usiku,hii ni kutokana na CAF kumiliki hatimiliki katika hatua...
7 Reactions
41 Replies
4K Views
Simba anakutana na Raja huku Yanga atachuana na Mamba wa DRC Tout Puissant Mazembe. Unafikiri kati ya wekundu wa msimbazi na wananchi wapi wana uhakika wa ushindi?
1 Reactions
5 Replies
502 Views
∆ Aghalabu, mcheza kamari akishinda, huanza kucheza zaidi kwa pupa huku akipuuzia mbinu za kuepuka hasara. ∆ Mcheza kamari akishinda mara nyingi hujisifia kwa mbinu bora aliyotumia katika...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kinampongeza Dk. Pindi Hazara Chana kwa kuteuliwa na Rais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo...
0 Reactions
2 Replies
419 Views
Kwa mwenendo wa checheme huu kweli kuna mashabiki wanaamini timu yao itachukua ubingwa? Kesho wanadondosha point mbele ya Manchester City. Nina uhakika kwa asilimia 100 akijitahidi ni kupata sare...
11 Reactions
51 Replies
2K Views
Mchezaji wa Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania Feisal Salum Abdallah (Fei toto) amepata ajali mchana wa leo Fuoni, Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar. Ajali hiyo imehusisha Gari yake aina ya...
1 Reactions
58 Replies
5K Views
Wanasimbaaaaa! Kwanza tukubaliane tuna game ngumu sana jumamosi hasa kutokana na historia ya timu za Morocco kuonea sana timu za Tanzania. Kuifunga Raja itakuwa historia mpya kwenye soka letu...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Baada ya kijana wetu hashimu Sabiti kuamua kutembeza tango pori badala ya kucheza kikapu kaibuka mwamba huyo Mobamba toka Ivory Coast. Orlando Magic to Lakers, Kijana wenu alionekana mitaani...
13 Reactions
102 Replies
6K Views
Ofisa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba SC, Ahmed Ally amesema kabla ya Februari 18, 2023 mzigo wa jezi mpya utakuwa umefika Tanzania ukitokea Ethiopia ambako umekwama. Akizungumza leo...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Nimeguswa sana na Tangazo la Hamasa la Timu Raja Club Athletic kwenye CAF kuhusu ujio wao Tanzania kucheza ball. Natamani Tanzania tujifunze na sisi kutengeneza matangazo kama haya, jamaa...
10 Reactions
30 Replies
2K Views
Brendan Rogers anatajwa kuzaliwa mwaka 1973 , Northen Ireland , hivi sasa anatajwa kuwa na umri wa miaka 50 . Taarifa zinadokeza kwamba kocha huyu alicheza soka kwa muda mfupi sana , akisajiliwa...
2 Reactions
14 Replies
656 Views
Baada ya kupitia breathing kidogo sasa vijana wa Mikel Arteta watarejea katika ubora wao hapo kesho kwa kuifunga Man City zaidi ya magoli matatu kwenye mchezo wa ligi kuu ya uingereza.
5 Reactions
42 Replies
3K Views
Wakubwa wanakuambia sio kila siku ni Jumapili. Na ukitaka kujua tabia ya mke wako wewe kaa kimia tu. Najua mnamini kwa mkapa hatoki mtu ila imani yetu isuvuke mipaka. Vile mnavyo kwenda kuandika...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Njoo wakuu tujadili na tutoe uchambuzi kuhusu kuhusu mechi hii kali ya UEFA na kusisimua Njoo mtoe uchumbuzi mechi ya inaanza saa 5usiku Mimi naenda na PSG
0 Reactions
60 Replies
3K Views
Baada ya Tff kutoa hukumu yenye maneno matano tu "Feitoto "Ni mchezaji halali wa Yanga kimkataba" Kwenye press release na hukumu waliyomtumia bila kufafanua chochote kwenye mkataba Licha ya...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Wamecheza mechi 7, wameshinda mechi nne, wakafungwa mbili na kudroo moja. Hayo ndio matokeo yao kwa siku za hivi karibuni. Kufungwa kwao hizo mechi mbili ni kwasababu walipumzisha wachezaji wao...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom