Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Na kwa tuliobahatika kidogo kuishi / kukaa na akina Bandeko Nangai (Wakongo kutoka DRC) hawa Jamaa unachokiona Nyusoni Kwao sicho kilichopo Mioyoni Mwao. Unaweza kuwa nae katika Dili (kama la...
16 Reactions
44 Replies
2K Views
Wakuu mambo ni magumu sana utopoloni moja haikai. Najua wakifungwa calculator inazima.
4 Reactions
15 Replies
601 Views
Kuna hii dhana ipo vichwani mwa mashabiki wa Yanga kudhani Kocha wa Al Hilal Florent Ibenge anaenda kuilegezea Yanga ili ipate walau sare katika mechi ya Jumapili. Ngoja nikwambie kwa nini hilo ni...
5 Reactions
42 Replies
1K Views
Mashabiki wa Yanga hizi karibuni wamekuwa wakimkosoa sana kuwa ameshuka viwango na hata wengine kudiriki kusema auzwe. Nadhani asingefungwa jana na timu kutolewa kelele zingepigwa sana kama jinsi...
2 Reactions
2 Replies
244 Views
Naona ngoma ya watoto ashaisha, naombeni tu mkalale salama kesho shule zinafunguliwa. Mimi nikiwa kama shy land mganga na mgaguzi kweli kweli nimecheki mitambo yangu nimeona al hilal amekufa...
5 Reactions
25 Replies
749 Views
Kibwana Shomari ni mtu bado wa maana sana alikosa kuaminika na Gamondi hili sijui lilitokeaje lakini ni beki anaejua vizuri majukumu yake uwanjani.. Nimemuona kwenye hizi mechi mbili huwezi amini...
13 Reactions
51 Replies
2K Views
FC Bravos in Build-up na 2-4-1-3 yao wamecheza vizuri sana dakika 45 za kwanza kwa kuzuia hatari za mpinzani wao hasa ndani ya 18 na kucheza muda mwingi kwenye Nusu yao! Kuanzia 1 Vs 1, Accurate...
3 Reactions
9 Replies
567 Views
Yaani mpaka sasa Yeye ndiyo hajafungwa Mechi hata Moja halafu na Fedha zenu za Kukwepa Kodi za Kampuni yenu (yenye shareholder mkubwa Mstaafu Mr. Chalinze Bagamoyo) ndiyo mnataka mumuzawadie ili...
1 Reactions
8 Replies
425 Views
Chaneli gani inaonyeshwa fainali ya supercup Barcelona vs real Madrid
2 Reactions
22 Replies
781 Views
Am I the only NFL stan up in here? The playoffs are currently underway. It’s wild card weekend. Who y’all got?
0 Reactions
0 Replies
89 Views
1.Bravo vs Simba Bravo double chance✅✅ 2.Al hilal vs Yanga Yanga double chance✅✅ Mpe double chance Bravo na Yanga upate hela za bure
3 Reactions
6 Replies
452 Views
https://fntaz.com/je-kyle-walker-kuelekea-ac-milan-serie-a/
0 Reactions
0 Replies
113 Views
Uchawi wa mpira now days upo kwenye nguvu ya viungo katikati ya uwanja. Zamani uchawi wa mpira ulikuwa unaamuliwa na kasi ya mawinga ndio maana mawinga kama akina Ribbery, Arjen Robben, Wright...
1 Reactions
15 Replies
701 Views
Nimeangalia game ya Mc Alger na Mazembe ya jana(ijumaa) kule Algeria ,well ukweli ni kwamba hamna timu kati ya zile yenye quality ambayo Yanga wanayo Nadhan itakuwa sio fair kwa mpira wa miguu...
7 Reactions
30 Replies
988 Views
Kuwa na pesa na kuwa na mafanikio ni vitu tofauti, binadamu anahitaji vyote kwa nyakati tofauti. Pesa zinaisha lakini mafanikio (legacy) yanadumu. Kiwango cha FeiToto kwenye football kiko kwenye...
7 Reactions
24 Replies
920 Views
Ushindi wa soka raha, hawa ni mashabiki wa Timu ya Simba, wakisheherekea ushindi wa timu yao dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola, jana jioni (Novemba 27, 2024). Sherehe hizo zimefanyika katika...
0 Reactions
1 Replies
507 Views
Kwanza nikiri wazi naamini football sio mchezo mzuri Kwa wanawake kushiriki katika kucheza au uamzi labda kwenye uongozi na nafasi nyingine katika football Si busara wala tamaduni zetu Africa...
5 Reactions
51 Replies
1K Views
Ni kicheko tuuuuu.... Kwa raha zangu. Al Hilal wamejichanganya sana.wameingia kwenye mfumo kipigo ni halal yao. Kama ilivyoandikwa Al mil shalluh tunawah aanith watalah sal namil kasas. Kisasa...
3 Reactions
6 Replies
498 Views
Mi nawashangaa sana watu wanaosema YANGA kuvuka makundi ni ngumu wakati kama YANGA atamfunga Al Hilal kuanzia 3 bila basi hata kuombea hilal apoteze dhidi ya TP Mazembe ili aongoze kundi
4 Reactions
22 Replies
942 Views
Kudadadeki zenu mlitaka mumpeleke Namungo kwa Mkopo kisha baadae mumuache Kiujanja Ujanja (Juu kwa Juu) kama mnavyowafanyie Wengine Bandeko Nangai (Mkongomani) akawashtukia Na sasa kawaambieni...
9 Reactions
35 Replies
1K Views
Back
Top Bottom