Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yule full beki wetu wa kulia, HAJI MNOGA anayechezea Taifa stars na Salford city ya nchini Uingereza, anatarajia kuwa sehemu ya wachezaji watakaowakabili Manchester City leo kwenye michuano ya FA...
5 Reactions
8 Replies
644 Views
Hili ni swali ambalo wengi bila shaka wanajiuliza, na wangependa kufahamishwa. Kwa mfano ni vigezo gani vilifuatwa kuteua kocha wa Timu ya soka ya Tanganyika iliyopachikwa jina la uongo la...
5 Reactions
28 Replies
809 Views
Daaah hili kundi shida ipo hapa 🥺
3 Reactions
24 Replies
1K Views
"Naendelea kusisitiza sitaki makipa wa nje na wachezaji wa nje wapunguzwe kutoka 12 hadi wabakie 5. Kilichoitokea Kilimanjaro Stars kule Zanzibar ndio uhalisia wa soka letu". JEMEDARI SAID...
6 Reactions
48 Replies
2K Views
Mchezaji wa zamani wa Arsenal Carlos Vela amepoteza nyumba yake ya kifahari ya Malibu katika eneo la Moto wa maangamizi wa Los Angeles Angalau miundo 5,000 imeharibiwa katika kile kinachotarajiwa...
2 Reactions
14 Replies
927 Views
Kundi A katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo kuna mchezo muhimu sana. MC Alger Vs TP Mazembe pale katika dimba la July 5, kuanzia Saa 4:00 Usiku kwa Saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu ni muhimu...
13 Reactions
460 Replies
19K Views
Katika muktadha wa Mafia Boxing Promotion na matokeo ya mapambano ya hivi karibuni, kuna maswali na kashfa ambazo zinapaswa kujadiliwa kwa kina. Kuna hoja nzito kwamba Mafia Boxing Promotion...
1 Reactions
7 Replies
596 Views
Kwa wasiojua mpira wanadhani wananchi wameshatoka kutokana na matokeo ya jana ya mwarabu na mazembe, Sasa iko hivi matokeo ya kesho,Al hilal 1 Yanga 1,hivyo kundi litasomeka Al hilal points 11,Mc...
3 Reactions
6 Replies
503 Views
Ule mchezo wa jiesiemu kwa vitimu vidogo vidogo wamefanyiwa yanga wenyewe. Kuna wachezaji wanajua mchezo mzima. Lakini pia za ndaani kabisa kuna wale wapinzani wa kesho wamewekewa dau kubwa iwapo...
2 Reactions
8 Replies
638 Views
Nyota wa Simba Kibu Denis anasema hawana mechi ya nyumbani wala ugenini na kuna dalili kwa timu yao kuchukua ubingwa wa michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kutokana na upambanaji wao. "Katika...
3 Reactions
2 Replies
302 Views
Mpaka sasa Al Ahly keshabanwa vigololi vya mipira kwa bao 1-0. Stade Abidjan ambao ndio wanyonge wa kundi hilo wamemkamata koo Al-Ahly hapumui. Sasa hivi ni halfa time.
3 Reactions
32 Replies
1K Views
MAMELODI SUNDOWNS 🟡🔵 nimewatazama wakishinda 2-1 mbele ya Maniema Union ugenini leo, ukweli ni kwamba hawana tena ufanisi ule waliokuwa nao mwaka mmoja au miwili nyuma na hata ushindi wa leo basi...
2 Reactions
5 Replies
424 Views
Waamuzi wa Zanzibar wanatia aibu Inaonekana wanachezesha Kwa maelekezo, yaani wameambiwa Zanzibar laZima afike final Nimetazama mechi ya Zanzibar na Kenya ila yule mwamzi ni muhuni aisee Amegawa...
5 Reactions
28 Replies
884 Views
Peter Shalulile amefunga bao la ushindi dakika ya 90+7 Naamini Modereta atarekebisha heading
3 Reactions
5 Replies
350 Views
Oya wadau wa kandaa, leo nimewaza tu kwa sauti kwa maana nimeona unazi wa Simba na Yanga unazidi kuongezeka kadri siku zinavyoenda hivyo kufanya usalama wa waamuzi pamoja na familia zao kuwa...
6 Reactions
54 Replies
1K Views
Nitamuelewa tu Kocha Fadlu kama Wawili hawa wakianza pamoja, ila kwa Mimi GENTAMYCINE huyu Mavambo kuwa anaanzia Benchi kiukweli huwa simuelewi Kocha Fadlu japo namheshimu mno na nakubali Kazi...
9 Reactions
31 Replies
1K Views
Hebu nisaidiane majibu! Kwanini mshambuliaji Prince Dube alipwe fedha nyingi kuliko Clement Mzize?
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Mwarabu anabebwa kupita kiasi, hii mechi ni kielelezo tosha cha waarabu wanavyofanya kwenye soka letu, bora tu waanzishe ligi yao na watuache na yetu
8 Reactions
43 Replies
3K Views
Nyota wa Real Madrid, Vinícius Júnior, anafikiria kununua klabu ya soka katika ligi daraja la pili nchini Ureno, kwa mujibu wa chanzo kilichoieleza ESPN. Ligi hiyo ya Ureno ina jumla ya klabu 18...
0 Reactions
0 Replies
166 Views
Meneja wa uwanja wa KMC Complex Daniel Madenyeka amesema uwanja huo umeanza kufungwa taa pindi zoezi hilo litakapokamilika mechi zitaanza kuchezwa hadi muda wa usiku
0 Reactions
0 Replies
204 Views
Back
Top Bottom