Nitawashangaa ndugu zangu wa utopoloni wakishindwa kumwadhibu/ kumloga huyu mchezaji kwa kitendo cha kuwafanyia umafia wakati wakielekea kwenye mchezo wao muhimu wa kufungia mwaka dhidi ya Azam...
"Naipambania sana timu yenu kuliko hawa wachezaji wa kigeni mizigo mizigo, ila kila nikiwaambia mniongezee mshahara mnasema hata kupewa huu unahodha wa timu ni heshima kwangu, kwa Wazanzibari na...
Hizi tetesi zimekua nyingi mno tangu jana..lakini upande tunaousikia ni mmoja tu,sijui muhusika ana maoni gani?
Lakini kwetu sisi yanga nadhani maisha yanawezekana kabisa bila Fei
Tuombe uongozi...
Umekuwa wakati mzuri sana kuichezea klabu ya Young Africans SC (Yanga) klabu yenye historia kubwa na ya kuvutia chini na Afrika yote.
Tumekuwa na nyakati nyingi mchanganyiko, tulifurahi pamoja...
Nimeshangazwa sana na wanazi wa Simba kufurahia sana habari za usajili wa kiungo fundi Feisal Salum kwenda Azam. Japo habari hizi bado hazijawa rasmi, ila zimepeleka furaha sana kwa hawa ndugu...
Tunachokifahamu kuhusu pamoja wa kunyongwa kwa mwanasoka Amir Nasr-Azadani wa Irani
CHANZO CHA PICHA, FIFPRO
23 Desemba 2022
Mwanasoka wa kulipwa wa Irani Amir Nasr-Azadani, 26, baada ya kulipwa...
Mnaiifanya nyie matajiri mna hela, mkimtaka mtu hamumkosi kumbe usanii mtupu, hvi tuwe wa kweli Fei Toto alipwe mshahara wa m 4 kwa mwezi halafu Morrison alambe M 19, Aziz Ki alambe 22, Mayele...
Tunakoelekea sio kuzuri na jitihada za kujinasua sioni. Mashabiki tunajaribu kuzungumza hatusikilizwi.
Nashukuru Barbara katoka bado moo, ili tuanze upya hawa wametuharibia timu yetu.
Nachukia...
Naombeni washabiki wa Yanga tuwe na subira. Kupitia kesi ya Feitoto tutajua tu ukweli Kama Yanga inalipa keshi au inawakopa wachezaji. Kwanini saidoo akiondoka na Dikson ambundo kidogo afungiwe...
Issue ya Fei toto inanikumbusha nilivyoamua kuacha kazi.
Jpili mchana niko nyumbani taarifa ya ajira mpya ikatoka, nikaingia mtandaoni kucheck.
Katika majina jina langu pia lilikuwemo kwa haraka...
Siasa za mpira bongo zimerudi tena kwa kasi Sana
Contract termination ni Kati ya mchezaji na club je imefanyika hivyo?
Mchezaji hawezi kuongea na club nyingine mpaka mkataba wake uwe umebakiza...
Nasikia kuna breaking news kwamba eti Yanga wamerejesha fedha zilizo lipwa na Fei ili Fei aendelee kucheza Yanga.
Ni utoto huu. Mashabiki wa Yanga tayari wamesha Kubali kuondoka kwa Fey.
Kama...
Baada ya kumalizika kwa Kombe la dunia nchini Quatar 2022, Baadhi ya mashabiki wa Christiano Ronaldo wamevunjika moyo sana nakuona kama ndoto za mchezaji huyo maarufu Duniani wa Ureno za kutwaa...
Ndo inaishia hivyo.
Kutoka vyanzo vya ndani, licha ya Yanga kurejesha pesa na kudai mkataba uheshimiwe lakini imeonekana na wazi kuwa hali haitakuwa tena shwari kati ya Fei na Wananchi kwa sasa...
Ni nini kimetokea mbona Simba Queens imekuwa timu mbovu ghafla? Ni huyu Kocha mpya au kuna tatizo la kiungozi? Ukiitizama Simba Queens hii na ile iliyofuzu Klabu Bingwa (siyo iliyocheza klabu...
Sakata la Feisal na Yanga linaendelea kupamba moto. Bahati mbaya hizi timu za Simba na Yanga zina maujinga sana. Ndio maana utaona kila siku zinakuwaga na habari za wachezaji waliowakariri...
[emoji599]Kama kila kitu kitaenda sawa, BOBOSI BYARUHANGA kutoka Uganda [emoji1254] atajiunga na Yanga kama mbadala wa Feisal Salum, uwezekano huo ni mkubwa mno mpaka hivi sasa.
Na hizo ndio...
Hatimae mwanasoka machachari C.ronaldo amesema ni rahisi sana kushinda mataji ukiwa na Brazil, Germany, Argentina, lakini ni ngumu kushinda ukiwa na Portugal.
Haya yote ni baada ya kutolewa na...
Kazi ya kocha wa timu ni kuratibu wachezaji kwa kutumia vipaji vyao TU, sio vingine. Kazi ya kuhakikisha fitness ya wachezaji ni ya kocha wa viungo, kazi ya kuhakikisha kuwa wachezaji, Wana...
Klabu ya Simba imefanikiwa kunasa saini ya Saido Ntibazonkiza, raia wa Burundi aliyekuwa anachezea timu ya Geita Gold.
Mchezaji huyu amesaini kandarasi ya mwaka mmoja na nusu kwenye klabu hiyo...