Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nani kakuambia waarabu hawapendi sana mpira? Mfalme wa Saudi Arabia (King Salman) ameitangaza kesho tarehe 23/11/20-11 kuwa siku ya mapumziko ili watu wapate nafasi ya kufurahia na kusherehekea...
5 Reactions
29 Replies
4K Views
Ndiyo hivyo me sina mambo mengi ya kusema, siwezi kukosa hii burudani kubwa Duniani eti kwasababu we unasema mpira ni ushetani. Na haya maimani mko nayo nyie maskini, matajiri wanaenjoy burudani...
2 Reactions
5 Replies
291 Views
1. Wanacheza Kimkakati zaidi kama Simba SC 2. Wana Wachezaji Wapambanaji kama wa Yanga SC 3. Wana Golikipa Bora sana 4. Messi anawarahisishia Kazi Wengine 5. Wana Morali ya Kiuzalendo hasa 6...
5 Reactions
11 Replies
981 Views
Baada ya timu ya Morocco kutolewa Jana na Ufaransa lakini ni ukweli usiopingika kuwa timu ya Morocco imeithibitishia Dunia kuwa haikutinga fainali kwa kubahatisha. Lakini pia wameithibitishia...
2 Reactions
17 Replies
972 Views
Nimevutiwa sana na ukabaji wa Kelvin Nashon wa Geita ktk mchezo wa Leo, ameupiga sana kijana huyo, nawashauri Simba wamchukue kijana huyo akamsaidie Saido Kanoute. Sent from my SM-F916B using...
0 Reactions
2 Replies
360 Views
Binafsi ni mshabiki mkubwa wa Argentina lakini game ya leo naona kabisa Ufaransa anabeba. Ufaransa ni team yenye uzoefu mkubwa na wana kocha ambaye anajua vizuri kucheza kwenye game muhimu kama...
0 Reactions
2 Replies
443 Views
Mtangazaji Mpenja akazidi kulinadi soka lile kwa kusema linapendeza unaliangalia huku ukitupia bisi moja moja mdomoni! Nilikaa jirani na mashabiki baadhi wa timu ya upande mwingine tena baadhi...
9 Reactions
21 Replies
1K Views
baada ya mwezi mmoja wa kandanda - na jumla ya mechi 63 - Kombe la Dunia la Qatar 2022 linatarajiwa kufikia tamati Jumapili jioni. kabla ya Ufaransa na Argentina kutinga katika Fainali ya Kombe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo majira ya saa 12 jion kwa saa za Afrika Mashariki kutakua na tukio la kidunia pale Nchini Qatar. Mchezo wa leo utapigwa katika Dimba la Lusail. Match itakua baina ya Miamba ya Ulaya France...
0 Reactions
8 Replies
676 Views
Waarabu wametumia dollar bilon 220 jiandae kombe la dunia hii haijawahi kutokea duniani Ila upate picha halisi ni kuwa Brazil alitumia dola bilion 10 kuandaa kombe la dunia h2014 Russia alitumia...
8 Reactions
87 Replies
4K Views
Mwana Jamii Sport ikiwa tunaelekea Mwishoni kabisa Mwa Mashindano Makubwaaa Duniani ambayo yamefanyika pale Qatar kwa Ma-Sheikh upi utaburi wako katika Nafasi hizi? 1. Mfungaji Bora Hadi saa hizi...
0 Reactions
2 Replies
367 Views
Wakuu mwaka jana sjui juziii(sikumbuki vizuri) watu wa Heineken waliweka big screen pale kigamboni kuonyesha fainali ya UEFA Champions League. Vipi mwaka huu hakuna sehemu watakayoweka big...
0 Reactions
8 Replies
531 Views
Luca Modric amehitimisha huduma yake kwa timu ya Taifa ya Croatia. Hakika ameitendea haki jezi hiyo na pia heshima,adamu na ustaarabu wake utakumbukwa daima uwanjani. Tumejionea leo mapenzi ya...
9 Reactions
24 Replies
1K Views
Mo Arena Bunju ni Uwanja wa Simba au wa Mo? Je, Mo akiuza hisa zake ataondoka na uwanja wake? Maana sio Uwanja wa Simba ni Uwanja wa Mo! Cc. Mbumbumbu fc😀
9 Reactions
41 Replies
3K Views
Hivi hamkufanya maandalizi kabla ya hii mechi ili kujua izo nguzo zilizopo uwanjani zitaziba camera zenu wakati wa urushaji matangazo? Yaani mmekosa kabisa sehemu nyingine ya kufunga kamera? Hiki...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Wahenga walivoleta hule msemo wa mchumia juani hula kivuli ulikuwa una maana kubwa [emoji2]na ulikuwa unatumika kwenye nyakati mbali mbali basi ndo Marcelo Bielsa dhidi ya Pep Guardiola, tunaishi...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
DJ NIPE KWANZA NYIMBO YA SINA UBAYA SINA UBAYA NAE UKWELI HALISI EO TUNAISHIA TAMATI TA MASHIDANO YA WCUP NAJUA WENGI WMECHEPUKA SANA KUSINGIZIA WCUP KBW ZAIDI NDUGU YANGU MESSI KITU PEKEE...
0 Reactions
1 Replies
312 Views
.... 🚨 Kuhusu Cesar Manzoki iko hivi ; Klabu ya Simba SC iko serious ikihitaji saini ya Cesar Lobi Manzoki na tayari walishafanya majadiliano kuhusu kuitumikia Simba. Lakini klabu ya Dalian pro...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wadau wa michezo, Kuna tetesi au taarifa ya kweli ikihusu TBC1 kuonyesha mechi za Kombe la Dunia nchini Qatar mechi takribani 28 ni jambo la kupongezwa sana. TV'S Kama KBC, UBC, MBC YA...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Kama ulikua hujui mshindi wa kombe la dunia pamoja na washiriki wengine mwaka huu wanabeba kibunda cha Thamani gani basi soma hapo chini Kwa mujibu wa Fifa ilitenga kiasi cha $440m(Trilioni...
8 Reactions
36 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…