Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Je, ni kazi gani ninazoweza kufanya kama skauti aliyehitimu? Ukiwa na sifa katika utambulisho wa talanta, unaweza kuwa skauti katika ngazi mwanzo kabisa kama mpenz wa soka, nusu-mtaalamu au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Aisee mnao angalia gemu ya simba nadhan mnaona maigizo na namna match fixing Zinavo kua.. Mechi ya simba na ruvushooting huwaga ni maigizo matupu.. We Uliona wap boko anafunga 😂😂 Yaani wachezaji...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari wadau wa Jamii Sports? Nina ombi moja kwenu. Mimi ni kijana Mtanzania mwenye kujituma, mwenye nidhamu na mchapakazi. Ninaandika ili kuonyesha nia yangu ya kuomba nafasi ya kuichezea klabu...
1 Reactions
46 Replies
3K Views
Leo kombe la dunia linaanza. Nawatahadharisha msiangalie. Ni mbinu za shetani kupitia Freemason kuwaingiza mkenge. Chukueni hii tahadhari seriously kuepukana na sintomfaham siku ya kiyama. Pia...
18 Reactions
129 Replies
8K Views
Nisiwachoshe msinichoshe Endeleeni kuangalia mchezo wa danganya toto, magoli zaidi yatafata kipindi cha pili TFF, bodi ya ligi, takukuru kazi kwenu.
9 Reactions
87 Replies
5K Views
Wakuu hapo vip kwa TBC wataonesha the second match?
0 Reactions
5 Replies
625 Views
Ndio!! Wala hujakosea kusoma kichwa cha habari hapo juu. Simba SC ipo katika hatua za mwisho kuingia mkataba na winga hatari AUGUSTINE OKRAH (Miaka 28) wa klabu ya Bechem Utd (Iliyoshika nafasi ya...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Wakuu heshima sana. Huku kwetu madongo kuinama hukuna umeme. Mitaa ya matejoo,Kambi ya Fisi,Matevesi,Olkeriani,Olkokola,Kaloleni,Ngarenaro,Daraja II,Mkonoo na vitongoji vingi hakuna umeme...
4 Reactions
11 Replies
514 Views
Ina maana kwa mimi Mtanzania mwenye kisimbusi cha Azam ndo basi kombe la Dunia Qatar 2022 sipelekwi? Wadau sisi hatutaweza ona hata nusu ya matches? Nimeulizwa hayo maswali sikuweza jibu. Nawasifu...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari za saa hizi wakuu, Moja kwa moja kwenye mada,mm nimeathirika na uraibu(addiction) wa kucheza mashine ya kamari (bonanza au dubwi), hasara ninayopata ni kubwa sana. Nimefeli malengo mengi...
5 Reactions
46 Replies
11K Views
Mashindano ya Bonnah Segerea Cup yanatarajiwa kuanza tarehe 03/12/2022 hadi tarehe 18/01/2023. Timu 64 kutoka katika Mitaa ya Segerea 61, zitakutana kwenye Viwanja 8 vilivyopo Jimbo la Segerea...
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Picha inaongea Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
2 Reactions
8 Replies
575 Views
Mashabiki wa timu ya taifa ya France mbona mmejikausha kana kwamba sio mabigwa watetezi wa kombe la Dunia amkeni mliko jificha tusiende mbali sana France ndio bigwa mtetezi wa kombe hili kwahyo...
3 Reactions
22 Replies
905 Views
Michuano itajumuisha Mechi 64 kutoka kwenye timu za Mataifa 32 duniani kote ambazo zinakutana katika taifa hilo lenye tamaduni za Kiarabu. Mechi ya ufunguzi inachezwa kati ya wenyeji Qatar dhidi...
0 Reactions
0 Replies
596 Views
Huwa nashangazwa sana na jina la hii timu, Naona Limekaa kichawi chawi sana. Hebu oneni Young Africans Sports club eti inapotajwa kiswahili inabadilika na kuwa Yanga Afrika? Kwanza maana ya Yanga...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Naona hapa Thomas Mlambo karudi Dstv kwenye Kombe la Dunia. Sijamuona kitambo sana.
1 Reactions
2 Replies
542 Views
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, kocha wa Horoya anayemaliza mkataba wake, Lamine Ndiaye anaweza kutangazwa muda wowote kuwa kicha mkuu wa Simba. Ameshawahi kufundisha TP Mazembe, Cotton Sports...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Yanga imefanikiwa kuingia mechi za makundi kwa uwezo mzuri wa kiufundi kisoka iiliouonesha pale tunisia.mbali na furaha hiyo kwa sisi wapenzi wa soka yanga inalizimika kujihadhali na kuporomoka...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Tangu Ruvu Shooting apande ligi kuu katika msimu wa 2016/17, amekutana na Simba SC mara 13 mpaka sasa. Rekodi za timu hizo mbili katika ligi kuu in kama ifuatavyo:- Ushindi: Simba SC 11-1 Ruvu...
2 Reactions
39 Replies
2K Views
Back
Top Bottom