Unajiuliza simba hii hii ilioshinda kwa shida kagoli kamoja dhidi ya ihefu timu ya mwisho mkiani,inapata wapi ujasiri wa kuifunga Ruvu goli zote hizo?
Ruvu leo wapo kinyonge mno kila hali...
Yaani ni Moto.
Ama zake ama zangu. Kocha analiwa kichwa.
Huyu ndg potter aliambiwa amchukue kristiano anakadai hayupo kwenye mipango..
Soon Chelsea watapokea kijiti Cha man utd. Migogoro na...
Ndoto za mshindi huyo wa Tuzo ya Ballon d'Or 2022 kucheza michuano ya Kombe la Dunia inayofanyika Nchini Qatar imezimika baada ya kupata majeraha ya nyama za paja alipokuwa katika mazoezi ya timu...
DStv jana wamezindua ofa yao ya kombe la dunia ambapo ili uone mechi zote 64 mubashara utahitaji ulipe kifurushi cha Compact ambacho ni shilingi 56,000.
Ndugu zetu, wazalendo wenzetu AzamTv huu...
Mbio za ubingwa wa ligi ya Tanzania kwa sasa unakwenda kimahesabu zaidi kwa wanaouelewa mpira wa kitanzania.
Ni mapema sana kumtaja atayebeba ndoo kwa sasa lakini kimahesabu na kiufundi Vijana wa...
RAIS WA FIFA GIAN INFANTINO.
Rais wa FIFA Gian Infantino ameibuka leo na kutoa kauli yenye utata ikiwa imebaki siku moja kuelekea ufunguzi wa mashindano ya Fainali za Kombe la Dunia...
Hawa jamaa wa umbumbuni leo wameifunga ruvu shooting goli 4 sasa tunajiuliza wao wametoa bahasha ya shingapi maana wakishinda wengine wanasema ni bahasha lakini wakishinda wao ni ushindi halali...
Watu wa Simba mtaacha lini kumjadili Chama? Au ndio tumaini pekee lililobaki huko kwenu? Ubora wake unafahamika. Sasa mnajadili nini? Naona mnakazana sana kuanzisha threads za kumsifia. Hadi kero...
Wasenegal wanakera sana kitendo cha sadio mane kupata jeraha imekua kama wachezaji wote wamepata majeraha hii inaonesha ni jinsi gani Waafrica hatujiamini na hutanaimani na vitu tulivyonavyo...
Kila nikiandika nafuta.. Kila nikiandika nafuta.. Kila nikiandika nafuta..
Hili nimeshindwa kulifuta.. Eeeh Mwenyezi Mungu muumba mbingu na aridhi, binadamu na mimea (ikiwemo mizizi kama mihogo)...
Rene Huguita.
Alipata kuishi katika sayari tuliomo.
Anatoka katika nchi ya Colombia. Mpira kwake ilikuwa ni furaha vituko na vihoja.
Mara nyingi alitoka golini kwake kwenda mbele kuongeza...
Habari za muda huu ndugu zangu wa jamiiforums.
Eti wataalam wa mipango miji, kulikuwa na umuhimu gani kwa viwanja vya soccer vya Uhuru pamoja na ule wa Benjamin William Mkapa kujengwa sehemu...
Nauliza, ni kisimbuzi gani cha ndani ambacho kitarusha kombe la Dunia la mwaka huu?
Miaka ya nyuma tulikuwa tunaona shamrashamra za matangazo kwenye visimbuzi vya ndani mfano Startimes kwamba...
Naona kuna baadhi ya mashabiki ambao wao chuki na husda ndiyo wameviweka mbele, badala ya kuangalia mambo ya kuujua mpira. Hata kama unaichukia timu fulani kwa sababu zako lakini ukweli unabaki...
Aziz na Chama wote wamefungiwa na TFF kukosa mechi 3 kwa kosa la ulozi kiwanjani.
Hata hivyo, Yanga ilikuwa inafanya vizuri uwanjani hata kabla ya ujio wa Aziz Ki lakini Simba ilikuwa haifanyi...
Kesho katika Mechi ya Simba dhidi ya Ruvu ataonekana mwamba Clotius Chota Chama (Triple C) ambaye hajaonekana uwanjani si kwa sababu ya majeraha au kiwango kushuka, ila ni kwa sababu hakusalimia...
Nimeona mahali kwamba eti nyota wa zamani wa Yanga, Azam, Simba, Ndanda, Mbeya City na Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mrisho Khalfani Ngassa, juzi alizuiwa kuingia uwanjani kushuhudia...
Imebainika Cristiano Ronaldo kupitia wakala wake, Jorge Mendes wamehusishwa kufanya mazungumzo na Bayern Munich ikiwa ni moja ya mipango ya kuhamia upande huo kama ataondoka Manchester United...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.