Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mbali na dhambi kadha wa kadha zinazozalishwa baada ya mtu kuingia katika mfumo huu jambo kubwa na baya zaidi kwa mtu huyu ni kwamba mfumo utamdai UMASKINI in long term hata kama atafanikiwa...
7 Reactions
13 Replies
471 Views
Wakuu mpo! OMOYOGWANE sipoi, wengi wameshangaa sana kuona kocha wa KMC anaacha kazi na kujiunga Yanga katika nafasi ambayo siyo ya ukocha mkuu wala kocha msaidizi ila kapewa kazi ya kuwa...
3 Reactions
21 Replies
957 Views
1.Simba imecheza vizuri sana mpaka ilipokuja kuvurugwa na kocha dakika ya 76. 2. Elie Mpanzu aongezewe muda wa kucheza ni mashine ya boli. 3. Simba ni imara zaidi golini na inabebwa na mlinda...
2 Reactions
3 Replies
325 Views
Leo ndio leo kwenye kipute hiki cha Kombe la Shirikisho Africa kati ya wenyeji Simba ya Tanzania na wageni Sfaxien ya Tunisia. Hii ni Match Day 3 kwa timu hizi na mechi zilizopita wote walichezea...
24 Reactions
818 Replies
31K Views
Sativa mikeka yako nahisi stale ni fake zakuedit, unashirikaiana na paripesa kuedot mwisho wa siku tunapasuliwa, mikeka yako ya nyuma yote ni lost STAKE ZAKO ZINATIA MASHAKA INAONESHA...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Wadau kama mnavyoona kichwa Cha habari kinavyosema Nina laki 5 kama mtaji kwenye betting kuelekea kuanza Kwa msimu. Nitumie mbinu Gani Ili niweze kufanikiwa kufikisha million 10 mpaka mwakani...
9 Reactions
130 Replies
3K Views
Huyu kijana ametrend vibaya sana ,sasa inabidi watu walio karibu nae kumjenga kifikra ili asipotee,kwani kama hatosaidiwa na kwa elimu yake ilivyo ndogo atapotea soon
4 Reactions
7 Replies
483 Views
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii manaravoice Huu ndio mfumo mpyaa wa young African, unaitwa gusa,achia,twende kwao au ukipenda kwa lugha ya malikia TOUCH RELEASE AND ATTACK( TRA)na kama...
3 Reactions
11 Replies
467 Views
I salute you, kinsmen, kwa jina la “Gusa Achia Twende Kwao. Baada ya jana wanaume kufanya kazi ya kiume na kuheshimisha nchi kwa pira “Gusa Achia Twende Kwao,” sasa leo tutashuhudia wale wavuta...
4 Reactions
26 Replies
588 Views
Team working (kufanyakazi kwa pamoja) hakumaanishi kusogeleana sana kimwili kati ya viongozi na watumishi wake, bali ni kiongozi kufanya na kuwepo pale unapohitajika kuwepo kwa wakati na wale...
10 Reactions
48 Replies
2K Views
Simba wametufanyia uhuni. Kagoma jana aliwafanya waarabu wakimbie pale kati. Wakaamua kukimbilia pembeni. Jamaa si mwoga kabisa. Na ni mjeuri jana kacheza kama vile ni mzoefu. Yanga hii mali...
5 Reactions
13 Replies
840 Views
Utegemezi wa Kamari ya Michezo Kamari ya michezo ni kitu ambacho kinapaswa kubaki kuwa uzoefu wa kufurahisha badala ya kuathiri maisha yako kwa njia kubwa. B Media imedhamiria kusaidia mamlaka...
1 Reactions
3 Replies
329 Views
Kuwako kwa wimbi kubwa na la ghafla mtandao wa X (twitter) kwa wanaojiita mapunter. Uchunguzi wangu... Wanatabia kama za watu wa forex now kuonyesha wana maisha mazuri sana na wanapiga hela...
0 Reactions
3 Replies
219 Views
Huyu Ramovich ni kama anamchongea kocha mwenzake aliyetumia mechi 15 kufunga goli 31 wakati yeye mgeni katumia mechi 7 na kufunga goli 21. Gusa achia twende kwao imekuwa shubiri upande wa pili...
2 Reactions
8 Replies
430 Views
🔰 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 Day🔰 🏆 #NBCPremierLeague ⚽️ Young Africans SC🆚Fountain Gate 📆 29.12.2024 🏟 KMC Complex 🕖 10:00 Jioni #Daimambelenyumamwiko# Gusa achia, twende kwao, tukawafunge nyingi. KIKOSI CHETU...
11 Reactions
382 Replies
12K Views
Wakati benchi la ufundi likijipanga kupata Ushindi, VIGOGO na matajiri wa klabu ya Yanga nao hawalali wakiendelea na mipango ya nje na sasa wachezaji wa timu hiyo wamewekewa mzigo wa Sh 500milioni...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Naona kabisa kuna watu matumbo yashaanza kuuma kwa maumivu, hawawezi kusema lakini wana hofu kubwa mioyoni mwao juu ya Yanga hii inayorudi kwa kasi ya kimondo! Yanga wanautwanga, wanakasi...
12 Reactions
38 Replies
1K Views
Kuanza kuonekana Kwa ligi ya Uingereza hapa nchini kulikuja wakati Manchester United ikiwa kwenye kilele Cha mafanikio. Enzi za kina Dwight Yorke na mwenzake Andy Cole mpaka zama za kina David...
9 Reactions
27 Replies
975 Views
Nimeshangaa sana yaani mchezaji wa kigeni ambaye ni proffessional na amewahi kuwa MVP wa nchi anacheza utumbo tu na kocha hamuoni. Kutuliza mpira hawezi Kupiga pasi hawezi Kila akijaribu ku...
2 Reactions
14 Replies
857 Views
Timu ngumu nyingi zipo shirikisho na sio klabu bingwa just imagine shirikisho kuna timu ngumu kama: Simba Asec mimosas Rs berkane Usm alger(mume wa yanga) Zamalek Al masry Wakati champions league...
3 Reactions
27 Replies
869 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…