Baada ya mashabiki kulalamika kwamba marefa wanahongwa kuruhusu magoli ya mchongo, sasa wapuliza filimbi hao wa mchongo wamekuja na mbinu nyingine: kudhoofisha timu kiakili na kimwili kwa kuwalima...
Me nafikiri ni nafasi ya kiungo mkabaji. Imagine unatakiwa ukabe, ufanye interception, ufanye blocking, tackling na bado uanzishe mashambulizi kwenda langoni kwa mpinzani wako. Ukizubaa ndio timu...
Kama kweli mnataka tufanye vizuri kimataifa tuache kuhonga marefa.
Tunafanya sajili kubwa na za gharama, tunaajiri waalimu na kuwalipa mishahara mikubwa sasa kwa nini tumeendekeza bahasha na...
Mimi ni mwanamichezo, mwana Simba SC lia lia na napenda utani na utani wetu wa Simba na Yanga ila sipendi na sifurahii upumbavu (Upan'gang'a) pale ukitokea.
Nitamshangaa na nitawashangaa pia...
Habari waungwana,
Leo kidogo tupate nafasi ya kusemea mambo ya michezo hasa huu mchezo pendwa, mchezo wa mpira wa miguu. Kifupi tuseme mchezo wa mpira wa miguu kwa ngazi ya ligi yetu inafanya...
Nimejaribu sana kufuatilia wachezaji wanaovaa mamba 17 hapa kwetu na baadhi wa huko ulaya, nimegundua hawa wachezaji huwa na ufundi sana na wanajua sana, ni nadra sana kumkuta mchezaji anavalia...
Ndg Wana JF ...
Utafiti nilioufanya mwaka jana, niligundua mashabiki wa Simba ni sawa na waaumini wa ufufuo na uzima. Huwezi kushindana nao kwa kubishana.
Hizi Ni baadhi ya sifa za makolo
1...
Kwa nyakati tofauti Mbunge wa Kahama Mh Kishimba na Mbunge wa Geita vijijini Mh Joseph Msukuma waliwahi kuomba bangi ihalalishwe kama zào la Biashara ikilimwa kama dawa.
Lakini kitendo ulichofanya...
Sijasikia taarab kuhusu zile red card zilivyokuwa zinamwaga kama njugu jana.
Je bahasha zimefanya kazi yake?
Wale wale wapika tuhuma na majungu wamejikausha kama vile hawapo duniani.
Ifike...
Nafikiri sasa tutaongea lugha moja ya kwamba yanga kucheza michezo 44 bila kufungwa sio jambo jepesi kama wanavyodhani wale mbumbumbu, unatakiwa uwe na kikosi cha maana na kipana kufikia iyo...
Naweka hapa nukuu niliyoambiwa na mmoja wa mjumbe wa kamati yao maalum ya unyangindo (uchawi) juu ya kupendelewa kwoo jana na Mwamuzi (Referee) hadi kushinda kwa janja janja sana.
"GENTAMYCINE...
Mchezo wa mpira wa miguu ni mchezo wa makosa.
Makosa yanaweza kufanywa na yoyote anae husika moja kwa moja na kinacho fanyika ndani ya pitch.
Makosa yanaweza kufanywa na mchezaji.
Makosa...
Mambo mengine bana ya kijinga sana, Saido Ntibazonkiza amelalamika kwenye kurasa yake ya insta, akisema mbona mapema sana. Kauli hiyo inaashiria kuwa ametafutwa na jamaa zetu wa utopolo ili acheze...
Leo saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika ya Mashariki Simba Queens watashuka dimbani kumenyana na AS Far Club ya Morocco.
Ikumbukwe kuwa Simba Queens ndio wawakilishi wa ukanda huu wa Afrika...
Nisikuchoshe na usinichoshe,tusichoshane.
Kwanza nikili mimi ni shabiki wa Young Africans(Yanga), baada ya kukosa muda wa kuitazama ile mechi ya Yanga na Geita kwasababu ya ubize niliona...
Ktk kipindi cha kipyenga cha mwisho kinachorushwa na Azam sports 1 HD, refa mkongwe Othman Kazi amefafanua kuwa mfungaji wa goli la Geita vs Yanga alikuwa ameotea. Pia, penati ya Yanga haikuwa...
Simulizi ya MK14 Meddie Kagere
“Mimi si muongeaji, naamini kila kitu kina sababu na hakiwezi kuwa na mwisho, katika soka kocha ni mtu ambaye anaweza kumfanya mchezaji kuwa kwenye ubora wa hali ya...
Mchezaji Kama Bigirmana, Makambo na Kisinda sio wachezaji wa kucheza Yanga
Naomba dirisha dogo Hawa wachezaji waondoke haraka ni takataka
Lomalisa watu wanamponda lakini kwangu Mimi ndiye beki...
Yale mabilioni yaliyobebwa kwenye viroba yanavyotumika,fitna zinazofanywa,lakini bado asilimia 60 ya wanachama wenu ni waganga wa kienyeji..na hamtoboi kimataifa,huu tunaweza kuuita uwendawazimu...