Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kuna huyu jamaa mnayekuwa naye vyumba vya kubadilishia nguo, ustadh mchawi, kwa ufupi acheni janja janja. Kama mnataka kujipima kweli na Simba kuelekea Kombe la Shirikisho huyo mtu msimtumie...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wakuuu. Nimeomba niulize hili swali kwenu wadau. Nilikuwa na ndugu watatu TFF akiwemo katibu mkuu mstaafu. Wawili wametoka amesalia Kuwepo ofisini. Niende Moja kwa Moja kwenye swali, JE...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Nikisikiliza habari za michezo leo alasiri kupitia chombo kimoja kikubwa cha habari nchini. Mtangazaji wa habari (za michezo) akinadi michezo itakayojiri kuanzia leo hadi wikiendi Jumapili...
8 Reactions
27 Replies
1K Views
Jana 20 October 2022 ilichezeka mechi kati ya Manchester United na Tottenham Spurs, mechi za Ligi Kuu ya Uingereza EPL na mechi ikaisha kwa ushindi kwa Manchester United iliondoka na ushindi wa...
4 Reactions
8 Replies
896 Views
Mwamuzi Ramadhan Kayoko ametajwa kuwa Mwamuzi wa Kati atakayechezesha mchezo namba 64 utakaoyakutanisha manguli ya soka la Tanzania Simba SC na Young Africans. Taarifa iliyotolewa katika mitandao...
1 Reactions
4 Replies
414 Views
Na sotoishia hapo niliahidi na sasa natekeleza hata Mechi ya Marudiano Wiki ijayo Dar es Salaam pia nitawasaidia kwa kutoa Siri Kubwa za Kimchezo za Simba SC na mpaka Uchawi Wao wanaoutumia. Na...
14 Reactions
40 Replies
5K Views
Nalazimika kuuliza hili swali kutokana na huu wimbo wa Yanga, kila siku Yanga ni bora, Yanga ni kubwa, wakiingia uwanjani ubora hauonekani. Walikutana na timu yenye ubora Vipers wakapoteana...
4 Reactions
41 Replies
2K Views
Huu ndiyo ukweli, mpira wa Asec Memosa ni mpira wa kasi, siyo wa taratibu. Na wachezaji wengi wa Afrika Magharibi wanacheza mpira wa kasi. Timu pekee kwa Tanzania kwa sasa inayocheza mpira wa...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
1. Kuanzia leo Jumanne Timu ikae Mafichoni hasa 2. Wachezaji wanyang'anywe Simu zao 3. Viongozi wapewe Kiapo na walishane Yamini 4. Wachezaji akina Manula, Boko, Tshabalala, Kapombe, Mkude...
13 Reactions
37 Replies
3K Views
Nawaonea huruma sana Yanga kukutana na jiwe ambalo hata wao walikuwa wanaomba usiku na mchana wasipite hili chocho. Baadhi wanajipa faraja kutokana na ufasini wa Simba Sc kimataifa wakidhani ni...
26 Reactions
153 Replies
8K Views
Kastori karefu lakini katamu, hivi unajua Ferguson alikataa katakata usajili wa Vidic? Sikia hiii..... Moja kati ya mabeki ambao Sir Alex Ferguson alikua anawakubali ni Steve Bruce, hata baada...
4 Reactions
7 Replies
968 Views
Wanasimbaaaaaaaa, Hii ndio formula inaenda kumfukuzisha kazi Nabi jumapili hii. Kama intensity ya wachezaji wetu ikiwa juu kwa dk 90 mtaona wanavyopoteana! Last game walipoteana Zoran akavuruga...
12 Reactions
51 Replies
3K Views
Kuna hii dhana ambayo inalazimishwa kuingizwa kwenye vichwa vya watu hasa mashabiki wa klabu ya Simba kutoka kwa viongozi wa Simba, ni dhana mfu. Kusema Yanga SC huwa wanaikamia Klabu ya Simba...
7 Reactions
23 Replies
1K Views
1 ASEC Mimosas 6 10 4 13 2 Manning Rangers 6 9 6 10 3 Raja Casablanca 6 12 7 8 4 Yanga 6 5 19 2 J BI BE PTS 1 ASEC Mimosas 6 10 4 13 2 Manning Rangers 6 9 6 10 3 Raja...
10 Reactions
17 Replies
3K Views
Uamuzi huo umechukuliwa baada ya kupata kipigo cha magoli 3-0 dhidi ya Fulham katika mchezo wa Premier League. Villa imeshinda mechi 2 za EPL kati ya 11 msimu huu, pia ni kati ya timu nne za...
0 Reactions
5 Replies
959 Views
Takwimu hazidanganyi, kwa sasa Simba wapo vizuri sana. Mechi 5 walizocheza hadi hivi sasa; ~ Wamefunga magoli 11 ~ Wameruhusu magoli 2 Kimataifa wamecheza za jumla ya mechi 4; ~ Wanefunga magoli...
6 Reactions
40 Replies
3K Views
Huu mpango umekuwa na muitikio hasi sana kutoka kwa mashabiki wa soka nchini Uingereza. Ni kwa nini hatujasikia vurugu au ukinzani kutoka kwa mashabiki wa Laliga hasa Madrid na LaLiga, kana kwamba...
1 Reactions
1 Replies
410 Views
MASHABIKI WA SIMBA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII. Baadhi ya mashabiki wa Simba wameamua kuchangishana FEDHA kwa ajili ya kuimarisha idara ya kiungo na idara ya mshambuliaji. Hayo yametokea Baada ya...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Unajua Al Hilal siyo kwamba walikuwa bora zaidi ya Yanga hapana, Yanga walikuwa bora zaidi ya Al Hilal ila walichoshida Al Hilal kwa Yanga ni nini? Ni mbinu za kocha wao tu bila hivyo Al Hilal...
0 Reactions
14 Replies
946 Views
Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa Ligi kuu ya Tanzania na pia Ligi pendwa duniani yaan Epl....Ila Kuna utofauti wa sheria za pale England na hapa Tanzania hasa pale makocha wanapopewa kadi nyekundu...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom