CAF wameongeza zawadi katika mashindano CAF Champions League
▪︎ Mshindi atapewa $3.5 Million (Kabla zawadi ilikuwa $2.5 Million)
▪︎ Mshindi wa pili: $1.750 Million
▪︎ Timu zitakazofika nusu...
Mshambuliaji Marcus Rashford wa Manchester United amekataa ofa ya kwenda kuichezea Tottenham, kwa kuwa anataka kubaki kupigania namba katika timu yake ya sasa.
Rashford (24) ambaye alifunga mabao...
Huu ni ukweli mtupu Yanga watawatowa Al Hilal na inawezekana kabisa wakawatowa kama jinsi al hilal walivyo watoa st - George kwa faida ya goli la ugenini. Mechi ya al hilal na Yanga apa Dar...
Klabu ya Simba [emoji1241] Wekundu wa Msimbazi Wataalamu wa kusakata Kabumbu la viwango vya CAF, wanatarajiwa kusafiri kwenda nchini Sudan kucheza mechi mbili za Kimataifa za Kirafiki dhidi ya...
Mara yamwisho tumeifunga Yanga kule kigoma kwenye FA goli 1 bila, wiki hiyo mgogoro wa Manara na Barbra ulikuwa kwenye peak. Baada ya Manara kwenda Yanga, kijana machachari Ahmed Ally akaja Simba...
Haji Manara ameshiriki kuuwekea taswira mpya mpira wetu Tanzania. Hamasa ya mpira tanzania imekuwa kubwa sana katika kipindi cha Haji. Haji amesababisha watu sasa wanakwenda wengi viwanjani...
Eti mazee huyu anayekosa magoli ya wazi ambayo hata mimi na uzee wangu huu siwezi kukosa! Ndio huyuhuyu alieanzishiwa uzi na jamaa mmoja hapa jukwaani kwamba kwa miaka mi5 hakutatokea straika kama...
RAIS
• Ahmed Yahya
MAKAMU WA RAIS (WAPO 11)
1• BARBARA GONZALEZ
2• Maclean Cortez
3• Djibrilla Hamidou
4• El Hajoui Hamza
5• Sekou Sylla
6• Shehu Dikko
7• Ransford Abbey
8• Alim Konate
9•...
1. Mapokezi ya Uwanjani huwa ni ya Kikatili
2. Wachezaji Kulishwa Sumu ni Kawaida sana
3. Basi mtakalotumia kupigwa Mawe si jambo geni
4. Mechi ikiwa inaendelea Wachezaji wenu muhimu Kupigwa...
Ikukupendeza uwe Azam kuichambua Yanga ikipokea kipigo cha Al Hilal,kama sehemu ya kutuaga fans wako. Namaanisha tushiriki wote kuusindikiza mwili wa marehemu mtarajiwa toka Sudan
Huu utaratibu naona unazidi kukita mizizi hapa nchini
Naona mpira sasa unachezwa mtandaoni hadi uwanjani
Tuliona kwa Zalan,je Wananchi watafaulu na kwa hawa wazee wa Sudani!?
Muda ni mwalimu mzuri
Kila siku huwa najiuliza hivi ni kweli hivi vilabu vyetu vina vitengo kabisa vya habari na mawasiliano? Au ukishakuwa na smartphone na kujuwa kubwabwaja na kupost mipasho ndio imeisha hiyo?
Mimi...
Sijui ni lini utabadilika Wewe na ndiyo maana Waandishi wa Habari Wenzako wote wanaula kwa Teuzi na Wewe upo upo Maredioni na kwa Mabibi Vizee huko Marekani, Uingereza, Finland na Dubai.
Ali...
Shida ni pale unapotaka kuchambua kila kitu.
Mkuu wa idara ya habari Simba....
Anafurahia team yake inapata mileage ( wote tunaelewa umuhimu).
Hayo ni mafanikio kwake kama mtu wa habari...
Aisee nimepigwa na butwaa kule google ukitafuta "Utopolo fc" matokeo yanayoletwa ni Young African sports club!!
Kama Mimi nadanganya basi gugo na Wewe!!..
Pamoja na Kwamba Mimi ni Simba ila...
Aliyefukuzwa ni Damian Willoughby ambaye alikuwa ameajiriwa na Chelsea ndani ya mwezi mmoja uliopita.
Imebainika Willoughby alikuwa akimpigia na kumtumia ujumbe wa simu (SMS) kumdhalilisha na...
Kama kawaida yenu kila mkiona kuwa katika Timu fulani kuna Changamoto ambayo itawafanya mkicheza nao msishinde huwa mnatumia Nguvu ya Pesa na Fitina kwa msiyemtaka.
GSM na Yanga SC kwa kujua kuwa...
Haji Manara naye na uchambuzi wake
Hajis Manara, "Muitaliana Roberto Baggio alifunga goli kama hili kwenye Seria A Msimu wa 1991/92 na liliimbwa sana hilo goli duniani".
George Hagi, Mromania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.