Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Huu ndio utabiri wangu kwa Yanga watapocheza na Al Hilal ya Sudan nyumbani na ugenini. Kwa upande wa sare, uwezekano mkubwa ni sare ya moja moja au mbili mbili na si zaidi ya hapo Tofauti na...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Hembu tuone mm naona atapotea. Huyu fundi Kwa Umri wake angesalia united na ujio wa mafundi wengine pale OT si haba angefanya jambo. Watu kama casemiro, Antony, malacia anavyopambana dhahiri...
0 Reactions
2 Replies
397 Views
Habari wana jamiiforum, mimi ni shabiki wa Simba na juzi hapa nilienda Sunderland Kariakoo kununua jezi mpya ya timu yangu ila kilichonishtua ni baada ya kuiscan ile QR code imetokea jezi tofauti...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Tuache ushabiki wa kinazi Simba ni next level uko kimataifa Yanga mna kila sababu ya kujifunza
15 Reactions
28 Replies
2K Views
tangu kuanza kwa ligi klabu ya Yanga imekuwa ikipata matokeo kipindi cha pili. wasipobadilika itawacost siku moja hasa katika mashindano ya CAF coz timu zijazo sio za kitoto.
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Leo natabiri mapema hapa kwa niliowaona wa kule Angola na wa Sudan ama Mafahari Wawili Wakatolewa ( Wakafurumushwa ) Wote au Mmoja wao tu ndiyo akabahatika Kufuzu Kundini lakini siyo Wote kwa...
6 Reactions
65 Replies
6K Views
Habari kwamba Utopolo inacheza na Al Hilal zimepokewa kwa masikitiko makubwa sana na jamaa zetu wa pale jangwani, hawaamini macho yao, wakiangalia usajili walioufanya wa mamilioni halafu timu...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Kwema wakuu? BOCA JUNIORS wana jezi kali sana , nitazipata wapi kwa hapo dar?
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Leo nimejaribu kufuatilia documents kila kona nimekuja kupata taarifa kuwa yanga yupo na makombe 22 ya ligi huku simba hapo awali alijulikana Sunderland naye yupo na makombe 22 ya ligi. Nashindwa...
6 Reactions
176 Replies
14K Views
Tasnia ya michezo ya bahati nasibu inakua kwa Kasi ya ajabu kutokana na kuongezeka kwa watumiaji wengi wa intaneti, na kukua kwa miamala ya kifedha. Kwa miaka ya hivi karibuni Tanzania imezidi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilikuwa naona mashabiki wa simba wakiwananga yanga kwamba wamekutana na timu mbovu ndo maana wameshinda lakini na wao nashuhudia timu wanayocheza nayo ni yale yale kiziwi anamcheka kipofu,,Big...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari za mda huu wapenzi na mashabiki wa kandanda Tanzania na east Africa hongera kwa wawakilishi wetu kwa kufuzu kwa ushindi mnono kwenye Caf champions league weekend iliyoisha Tanzania kwanza...
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Uchunguzi uliofanywa na bodi ya ngumi kutoka Uingereza umebaini kwamba; 1. Mwakinyo Alidanganya "cheat" . uchunguzi umebaini kwamba kiatu alichopewa hakikuwa na madhara yoyote, hata hivyo...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi kama mwanayanga kindakindaki naumia kwa kweli kwa nini kila msimu ni sisi tu ndio tunaanzia nyumbani na kumalizia ugenini? Mbona wenzetu Simba wanapendelewa? Sisi ndio mabingwa wa nchi hii...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Nimewahi kumuuliza mwandishi na mchambuzi mmoja maarufu, kwanini makocha wengi wa Tanzania hawafundishi soka nje ya nchi, jibu nililopata sikuridhika nalo sana. Alinijibu kuwa ligi yetu imekua...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Ahlan wa Sahlan Katika kuzunguka kwangu katika mataifa ya ulaya nimekutana na mfumo huu wa ligi za reserve wengine hupenda kuuita professional development leagues.Ni mfumo wa ligi unaohusisha...
3 Reactions
4 Replies
792 Views
Simba Leo imeanza kutambulisha wachezaji wake wapya kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa ligi, Leo wamemtambulisha mshambuliaji hatari wa mbeya kwanza, Habib Kyombo, anakuwa mchezaji wa pili...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Nilikuwa nakataa kuwa Bunge la sasa limejaa Wabunge dhaifu (ukiwaondoa tu wale wasio Mashabiki wa Yanga SC) ila kwa Upuuzi (Udhaifu) uliotokea leo Bungeni nimekubali na Mimi sasa naanza...
7 Reactions
9 Replies
1K Views
Hawa ndio wafalme wa Soka la Sudan, Ndio klabu iliyobeba mataji mengi zaidi nchini humo na Ndio Wawakilishi Bora zaidi wa CECAFA kwenye CAF. Hilal imeshacheza Fainali za CAF mara 2 zote...
34 Reactions
87 Replies
7K Views
Wachezaji 12 na wafanyakazi wa Klabu ya Manchester United, walipata maumivu ya tumbo Ijumaa iliyopita ambayo inadaiwa yalisababishwa na kula chakula chenye sumu wakati wa mchezo wao dhidi ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom