Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mungu ni mkubwa sana, baada ya figisu ya kumfungia miaka 2 msemaji aliyeipa ubingwa Yanga baada ya kuukosa kwa miaka 4 ndugu Manara , figisu ziliendelea sana Tukaona wachezaji wa Yanga wakitaka...
8 Reactions
26 Replies
3K Views
FULL TIME: Yanga imefanikiwa kupata ushindi wa mabao 4-0, timu hizo zitarudiana wikiendi ijayo Mayelee anafunga bao la nne na la tatu kwake 88' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO Mayeleeeeeee...
6 Reactions
318 Replies
22K Views
Kuna mtu kadandia mtumbwi wa vibwengo huko twitter. Mjifunze kubalansi shobo
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Hali yake na timu yake ya Leicester City ni mbaya sana ! mechi 2 imefungwa magoli 11 ! Anawezaje kupona huyu ?
3 Reactions
10 Replies
548 Views
Bondia Canelo Alvarez amefanikiwa kumpiga Gennady Golovkin katika pambano la uzito wa kati (Super-middleweight) lililofanyika Las Vegas, Marekani, asubuhi ya leo Septemba 18, 2022. Ameshinda kwa...
1 Reactions
2 Replies
534 Views
Mchezo wa pili baina ya Yanga dhidi ya Zalan kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, leo Jumamosi Septemba 17, 2022, ni Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo wa kwanza Yanga...
6 Reactions
226 Replies
17K Views
Habari wakuu je nafanyaje ili niweze kuangalia match live kwenye tv kwa kutumia internet ingawa tv yng sio smart tv ila hapa nilipo naangalizia kwenye simu tu mpira kwa kutumia app ya yacine tv...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Upo Uwezekano leo Predator (hata Henock Inonga ) anamjua Fiston GENTAMYCINE Kalala Mayele leo akafunga kati ya Goli 3 au 6 na wakizubaa hata 9 peke yake dhidi ya Zalan FC Jioni katika Mechi yao...
9 Reactions
21 Replies
2K Views
Yanga itapambana na mmoja kati ya timu hizo ili mshindi aingie mechi za makundi. Tatizo lipo kwetu yanga tunaanzia nyumbani na kumalizia ugenini kutokana na ratiba ya mechi . Ili kuzifunga mabao...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Huyu Kocha na Meneja wa Manchester city ni mbaguzi sana kwa wachezaji waafrika. Mtasema Riyad Mahrez muafrika ndiyo katoka Africa Algeria lakini siyo mwafrika. Guardiola ni Kocha mzuri sana na...
10 Reactions
48 Replies
3K Views
Habarini wakuu..Mimi nacheza basketball japo sio katika level kubwa kiivo ila nachezea hadi timu inayoshiriki ligi ya mkoa ya Mpira wa kikapu ya Arusha.. Kwa wapenzi wa kikapu hasa Kule Marekani...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Utulivu Utulivu Utulivu [emoji3578]Zalan kama kawaida yao waliamua kucheza nyuma ya mpira muda mwingi (9-10 behind the ball) kwasababu ilikuwa ngumu kupisha na Yanga ambayo ina daraja kubwa la...
2 Reactions
5 Replies
629 Views
Mimi ni Simba damu tena lia lia, mtu yeyote anayejua soka kama mimi bila ushabiki wala unazi, Mayele ni Mtu Kazi,.jamaa movements zake ni za hatari sana, ni mshambualiaji hatari sana, sio wa...
12 Reactions
50 Replies
3K Views
Ifike mahali tuache kuiponda timu ya Zalan eti kwa kufanya hawa utopolo wasifurahie ushindi wao wa goli Tisa. Tukubali tu kuwa wamecheza na timu bora sana. Hii ndiyo furaha yao ya mwisho tuwaache...
5 Reactions
17 Replies
871 Views
Aisee sie wazee wa moko wa kuzama kwenye maduara mashabiki wa GGFC aka wazee wa dhahabu tunaulizia mwendelezo wa kimataifa tujue matokeo. Tulijiandaa kuvuka ferry kushudia kandanda pale ccm...
1 Reactions
9 Replies
990 Views
Huu ni ushauri tu mkuu , unaweza kuukubali au kuukataa . Ni hivi , Taifa Stars ushaondolewa , na hutarudi tena huko yanga nako ni tia maji tia maji ! Nakushauri urudi timu yako ya awali ili...
7 Reactions
11 Replies
959 Views
Uamuzi huu umekuja ikiwa ni siku chache tangu Mathias Pogba akamatwe kwa kuhusishwa na utapeli dhidi ya ndugu yake Paul Pogba. Ataendelea kuwa mahabusu akisubiri uamuzi wa Mahakama kuhusu dhamana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa miaka Mitatu hadi Mitano ijayo hakutatokea Mshambuliaji ambaye ni Complete Package katika hii NBC Premier League kama Fiston Kalala Mayele GENTAMYCINE. Namkubali mno na Ninampenda.
44 Reactions
62 Replies
6K Views
Ni weekend tena. NBC Premier League inaendelea ambapo Wagosi wa Kaya, Coastal Union watashuka dimbani kuwaalika Mabingwa watetezi wa taji, Yanga katika dimba la Sheikh Amri Abeid Kaluta jijini...
1 Reactions
227 Replies
14K Views
Back
Top Bottom