Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Uwanja wa sokoine pamoja na TFF kuupitisha lakini huwezi kukokota mpira, mpira hautulia vizuri. Hivi viwanja kero sana. Jana Simba pia Wamestruggle kutokana na viwanja vibovu.
1 Reactions
3 Replies
405 Views
Kwema Wakuu, Najua hili litawafikia sababu JF ni Platform kubwa. Nyinyi Azam TV ndio mmepewa haki ya kuonyesha Mpira wa Ligi yetu pendwa ya NBC Premier League. Sisi Subscribers wenu tuna haki ya...
11 Reactions
82 Replies
5K Views
Simba ya mwaka huu ni mbovu zaidi kuliko ya mwaka jana! Usajili wa mwaka huu haueleweki kabisa! Lakini tukimuamini Mgunda anaweza kutuvusha.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said katika Mkutano wake na wana Yanga SC katika Mikutano yao ya Kikatiba aliwahi kusema kuwa Udhamini wa Jezi wa GSM kwa Yanga SC umeipatia Klabu hiyo Tsh Bilioni...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Pauline Gekul akijibu swali Bungeni amesema Kamati imeundwa kufanya tathimini ya kurejesha Ligi ya Muungano ambayo inajumuisha timu kutoka...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mbiringe ya Ligi Kuu Tanzania Bara, kuendelea kuvurumishwa vilivyo leo September 14, 2022 ambapo Wajelajela Tanzania Prisons, wanawakabili vikali Wekundu wa Msimbazi Simba SC, kwenye Uwanja wa...
14 Reactions
304 Replies
20K Views
Ahlan Uzi unaenda moja kwa moja kwa kocha Mgunda,nafuatilia mtanange wa simba dhidi ya prisons kupitia azam max nikiwa jijini Ljublijana hapa nchini slovenia.Nikiangalia kikosi cha simba naona...
6 Reactions
14 Replies
1K Views
Wanajulikana kuwa ni watalaamu wa kusakata Kabumbu Maridhawa Nchini Tanzania kwa viwango vya Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF, na Klabu yeye kuvuta hisia mujarabu kwa Wadau na Mashabiki wa...
6 Reactions
117 Replies
7K Views
Yanga wanaongoza kwa goli la freekick ya Djuma Shaban 37' Mayele anafunga goli murua baada ya kupiga chenga mabekibwa Mtibwa Kipindi cha kwanza kimekamilika Yanga wanaongoza magoli 2-0...
4 Reactions
80 Replies
7K Views
Hizi timu zinazocheza na Yanga za hapa nchini hazikazi kama ambavyo zikicheza na Simba. Jana Mtibwa walikuwa kama wagonjwa, beki hazikabi, kipa ovyo kabisa. Kwa hali hii Simba tujipange kuna...
8 Reactions
43 Replies
3K Views
The Premier League have announced that all of this weekend's matches have been postponed to honour Queen Elizabeth II following her death at the age of 96 on Thursday. The FA confirmed all...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba mpaka muda huu timu ya soka ya Napoli ya Italia inaongoza kwa bao 4-1 dhidi ya Majogoo wa Jiji huko Mjini Napoli, game inaendelea. Bila shaka hiki ni kipigo...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Baada ya kuitazama Game yetu jana tar 11 sept 2022, tukimgaragaza mtu goli nne kwake. Nilifanya analysis yangu nikaona kuna maeneo yanahitaji kuongezwa Nguvu ili tufike mbali kimataifa...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Kila mstari kutoka kushoto kwenda kulia chagua mchezaji mmoja tu. Twende kazi..
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Nini manufaa ya hii ligi ya muungano kwa sasa ikiwa Tayari tuna mapinduzi cup inayokutanisha timu za Tanzania bara na visiwani.
0 Reactions
5 Replies
500 Views
September 13, 2022 Kocha mkuu wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Honour Janza ametaja kikosi cha wachezaji 23 kitakachoingia kambini kwa ajili ya kujiandaa na mechi za kirafiki zilizopo kwenye...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Rasmi Kocha JUMA MGUNDA ameidhinishwa na CAF kwahiyo atakaa kwenye benchi la Simba SC hapo kesho. Wakati huo huo Kocha NASRIDINNE MOHAMED NABI amezuiwa na CAF kukaa kwenye benchi kwa kukosa vigezo...
10 Reactions
55 Replies
8K Views
Wanasimba mwezi wa KUMI unakuja. Tufanye nini ili tuweze kuwafunga YANGA msimu huu. TUmechoka sasa kufungwa kila mara. Mikakati iwekwe mapema tuwaue hawa utopolo this is too much. Angekuwepo...
0 Reactions
8 Replies
907 Views
Nipeni taarifa ni kweli Kisinda leo atakuwepo ama nitetesi zisizo za kweli.
1 Reactions
1 Replies
421 Views
Back
Top Bottom