Ukiondoa kiwango cha juu cha ushabiki wa mpira tulichonacho kuliko uhalisia wa timu tunazozishabikia, uduni wa wachezaji wetu, lakini pia Ligi Kuu ya Mpira wa Miguu Tanzania inaharibiwa kwa...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kupigwa leo 07/ 09/ 2022 ambapo Mnyama Mkali Mwituni Simba SC anakiwasha dhidi ya KMC FC kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es salaam.
Hii...
Nafikiri kuna point muhimu wanayo mashabiki na wanachama wa simba nayo ni namna timu inavyoperform uwanjani.
Wanachezaje, je wanakosa matokeo dhidi ya timu ya aina gani, ni hoja ya msingi sana...
Nasema SSC inapwaya sana na sijui inaenda kucheza vipi michuano ya KIMATAIFA hivi punde.
Mechi kama hizi ndiyo mechi za kuondoka na ushindi maana huko mbeleni ligi inakuwaga ngumu. Kuna timu kama...
Mmeona wenyewe jana hata baada ya poor display na officialy kugeuka kuwa wateja wa utopolo fc kwenye kupokea medali wengine walivyokuwa wanachekacheka kama NDALAKYUYA
Hawana cha kupoteza hao...
Nimeamka hapa naona statement ya Simba kuwa wamemchukua mgunda kama kocha wa mpito coz ana lesen A ya CAF.
Ktk hicho kipindi kifupi then wakipata kocha mgunda anarudi alipotoka. Lakini hizo...
Klabu ya Simba imeachana na kocha wake mkuu Zoran Maki, akiwa ameifundisha timu hiyo kwa siku 67 pekee. Awali Zoran aliingia mkataba wa mwaka mmoja na Simba ambapo leo wamefikia makubaliano ya...
Opportunities ilitokea wazi kwa yule kocha toka Ghana, yule kocha toka Guinea wa Horoya, kama kawaida mkakimbilia wazungu
Zoran kalilia nafasi mbili kuingiza beki na foward kila mtu kaona aina ya...
Gentamycine juzi aliandika humu baada ya Pablo kufukuzwa Simba kuwa baada ya Matola kupewa timu, basi gemu zote 5 atashinda, kweli bwana, soka wanalocheza Simba kiukweli huwezi amini kama ndio wao...
Haiwezekani kila kocha anayekuja Kufundisha Simba basi ni lazima yeye awe msaidizi , hata kocha mpya akitimuliwa ila Matola anabaki , kubaki kwake kunamaanisha kwamba yeye uwezo wake ni mkubwa ...
Kitendo cha kumtoa kwa mkopo beki David Kameta Duchu, kwenda Biashara United, na hatimaye sasa anaichezea timu ya Geita Gold na kumpisha Israel Patrick Mwenda mwaka 2021, kwa maoni yangu suala...
Huyu dogo anacheza kabisa hata hapo Emirates kwani nini au nani pale mwenye maajabu.
Huyu dogo ni hazina .fundi adui wa makipa Anaebisha abishe ndo ukweli.
Ninaangalia mechi ya kujipima nguvu dhidi ya Al Hilal Nina haya niliyoyaona.
1. Timu ina vipasi fulani hivi ambavyo havina impact yoyote.
2. Simba hamna timu ya ushindani tunacheza kitoto sana...
Mechi 2 Tena nyumban inapoteza
Kwa Jinsi ligi hii ilivyongumu Kama hamtakubali kufanya mabadiliko mtarudi mlikotoka
Nyumban ndio sehemu pekee yakukusanya point walau hata moja kwa timu kubwa...
Ni kwamba baada ya kuwa na tabia ya Kuhonga Marefa na Wachezaji wa Timu Pinzani na kuwa Bingwa wa Ligi Kuu kwa miaka Minne mfululizo na Yanga SC nao Kuiga Mbinu hiyo waliyopewa na Haji Manara (...
Klabu ya Chelsea imemfuta kazi kocha wake Mkuu Thomas Tuchel kutokana na uwepo wa mwendelezo mbaya wa matokeo unaoikabili timu hiyo.
Kufurushwa huku kumetokea masaa machache baada ya kupokea...
.... Defense ya Yanga hii chini ya ulinzi wa Yannick Bangala iliruhusu magoli (7) pekee msimu mzima uliopita kwenye ligi kuu.
1 - Djigui Diarra
2 - Djuma Shabani
3 - Kibwana Shomari
4 -...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.