Federation of Uganda Football Associations (FUFA)
Federation Rwandaise de Football Association (FERWAFA)
The Tanzania Football Federation (TFF)
Football Association of Zambia (FAZ)...
wachezaji 9 wako national team, magolikipa wawili, nani atadaka? Ally salim na Ferouz?
Haya kama ndiyo hivyo iwe heri msije mkatuabisha mkala magoli mengi afrika nzima itajua simba kapigwa story...
1. Nasorro Kapama ni mzuri katika ile nafasi aliyocheza leo ukilinganisha na Onyango. Kapama ni mtulivu zaidi ili hali Onyango hana composure.
2. Dejani apewe muda zaidi. Ni vyema tukampa muda...
Habari!
Kuna tetesi Mwamba wa Lusaka hadi leo hajaongeza mkataba wake katika club ya Simba.
Hawa watani wanazunguka huku na kule kujitahidi kumshawishi Mwamba kusaini ila odds zinakuwa ndogo...
Simuelewi kabisa huyu kocha na falsafa zake za kuwaweka benchi wachezaji kama Nyoni, Kennedy Juma, John Bocco ...ha2a ni wachezaji ambao hawajacheza mchezo wowote mpaka sasa nilitaraji angewatumia...
Nianze na Hernly Moris aliwahi kuwa mfungaj Bora, Ulimboka Mwakingwe, Mwamnyeto, Kakolanya na George mpole na wengineo weng,wote hao ni wanyaki, Kabila la akina ngosha bado lipo nyuma Sana Kisoka.
Mechi ya ngao ya jamii ni kweli Inonga alicheza rafa lakini wachambuzi issue za SIMBA wanaongea na kuchonga sana.
Ukiangalia DJUMA waliwah kumchezea rafu kama hiyo BM3 mechi ay Yanga Vs Simba...
Watu wa mpira tunajua kuwa kipa Aishi Manula na aliyewahi kuwa kipa wa Taifa Stars Juma Kaseja haziivi kabisa.
Kaseja analalamika Manula mchawi na Manula nae kutwa hataki kumsikia Kaseja kwa...
Nina taarifa kwamba Arta Solar 7 ya Djibout iliwasilisha maombi ya kucheza mechi za kirafiki na Simba, Yanga na Azam. Club za Simba na Azam zilifurahishwa na maombi hayo na kuyakubali kama sehemu...
Yanga wanajiona kucheza mechi ya kirafiki na KMC ndio wamefanya maandalizi ya maana, kwao mechi za kirafiki za kimataifa hazina msaada na hazina tija, ila sawa, time will tell, nyie jioneni mnajua...
Salaam wana jf
Club ya young africans imefanikiwa kuingia kwenye records za unbeaten kwenye ligue mbali mbali za duniani.....kwa wale ambao walikimbia umande ni kuwa yanga ndio timu pekee Tz na...
TFF nawapongeza kwa kuamua kutumia wazawa kukinoa kikosi chetu Cha timu ya Taifa. Mtu chake. Mtoto wako ni wako hata akiwa na sura mbaya.
Ninaimani na walioteuliwa. Tuwaunge mkono kwa hali...
Nilitegemea kuona upinzani mkali kwenye game ya timu hii dhidi ya simba lakini matokeo ndiyo yakawa yale
Leo hapa nasikia kumbe timu hiyo ilipigwa tena goli 5 na wenyeji al hilal nikastuka,maana...