Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hakuna mtu anayestuka na ujinga wa sope takadini ni kama toto dogo linalochezea matope lakini wengi wamestuka sana kuona ujinga wa kitoto unaofanywa na Hersi na Arafat, vijana wanodaiwa kuwa ni...
1 Reactions
9 Replies
853 Views
Hivi sijui kwa nini watu mnakuwa na ujinga wa kuiga mambo ya kiwango cha chini. Hivi kwa nini usiige hata utambulisho wa kibabe kama wa WWE? Umewahi kusikia Roman Reign akitambulishwa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Naangali hii mechi, nauona ubora wa Simba unatokana na hawa waithiopia kuwa wabovu. Timu inatembelea jina tu siyo bora kama ile tunayoifahamu. Simba ni ileile iyopita haina jipya
2 Reactions
40 Replies
3K Views
Simba ni Simba ,awe amelala au amekufa anabakia kuwa Simba ,Simba anatisha, Simba ni mnyama mkali sana .usijaribu kumzoea ,Simba ni mkali sana ,muwe na adabu Simba ni kubwa sanaaaaa,,
9 Reactions
34 Replies
2K Views
Nimekuwa na shauku ya kutaka kujua siku ya simba day. Simba anaenda kucheza na timu gani? Naona ukimya umekuwa mkubwa tofauti na siku za nyimba tungekuwa tushajua mpka sasa. Mpira ushaingiliwa na...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Wewe endelea hivyo hivyo kumchukulia poa Maguire. Kwa taarifa yako, kibiashara Maguire ndio mchezaji muhimu kuliko wote pale Man U ndio maana haachwi wala hawekwi benki. Kwanini ? Uwepo wa...
6 Reactions
10 Replies
972 Views
Haya mambo ndomana tunaonekana watanzania wote wehu tu, yani bila kutumia liubongo Lako unakalisha msambwanda kubeba mubango wa kilofa kusifu vitu ambavyo havipo. Sasa kwenye michezo ya yanga na...
11 Reactions
76 Replies
4K Views
Nimepita Buguruni nimekuta jamaal wanauza tiketi huku mbili. Timu tunayoambiwa ni timu kubwa afrika inashindwa kushawishi watu waje uwanjani kwa pesa za maana wanauza tiketi buku mbili kweli...
6 Reactions
29 Replies
3K Views
Kupitia tovuti rasmi yao CAF wamethibitisha kuwa mabingwa watetezi wa kombe la CAFCL Simba sc, wataanza round ya awali sawa na team ndogo yanga. My take nadhani CAF wamehongwa sio bure. Mo Dewji...
7 Reactions
113 Replies
10K Views
Engineeer wala usiogope hata kidogo, hawana la kukufanya ndugu yangu we endelea na shughuli zako hata siku wakikuita kaa nyumbani kwako angalia movies Hawana la kukufanya maana nchi itawaka moto...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Nashangaa Tanzania nchi yangu leo ni siku kubwa ya Simba Day na siku kubwa ya Nanenane lakini umeme hakuna hivi tunalipia Luku ili iweje maeneo ya Mbagala umeme hakuna waziri mwenye mamlaka leo ni...
0 Reactions
2 Replies
424 Views
Senzo huwa hapendi Kuishi sehemu yenye uhuni uhuni mwingi. Hiyo imekuwa kawaida kwa upande wake. Kwa sasa kinachoendelea ndani ya klabu yetu YANGA SC ni uhuni uhuni mwingi. Kila mtu Anapiga...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Hongereni M bet kwa kufanya nembo yenu ing'ae kwa kuamua kuchora picha za radi jezi yote ya simba Jezi zina muundo wa kike sana, Au simba wanaume mambo yenu sio haba? Mmezoea Mombasa wana simba...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
Bondia Yusuf Changalawe amemtoa kwa TKO, Arthur Lingelier kutoka Visiwa vya St Lucia na kutinga Nusu Fainali katika michezo ya Jumuiya ya Madola Jijini Birmingham Nchini Uingereza. Kutokana na...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Kocha mkuu wa mabingwa watetezi wa NBC premier league inaelezwa kuwa mkataba wake umekwisha. Habari zinasema kuwa, Nabi amegoma kusaini mkataba mpya na mabingwa hao wa NBC kwani amepata mkataba...
2 Reactions
46 Replies
4K Views
Hakuna kitu kibaya katika team kama kumfanya mchezaji mmoja kuwa special, na cha kushukuru ni kwamba wale wacongo watatu wameongezewa mkataba na pesa la sivyo. Anyway yule kijana toka Ogadougou...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
  • Closed
Klabu ya Simba Leo itacheza mchezo wa kirafiki na wanakwaya wa kanisa la mtakatifu George kutoka nchini Ethiopia, st George ni kwaya maarufu sana pale Ethiopia ila sikutarajia kabisa klabu ya...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
UONGO [emoji23][emoji23] Ila viongozi wa hii timu ni janja janja sana aisee khaa. Oky.. Tulijua tu haya lazima yatatokea.. Waambieni ukweli mashabiki zenu acheni Porojo.. MO kaweka hisa Bilion...
4 Reactions
91 Replies
5K Views
Tupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi Ila hatupo tayari kwa maamuzi yenu ya kuikandamiza Yanga kila siku. Kuna kesi ngapi za Yanga zipo mezani kwao hadi...
10 Reactions
84 Replies
5K Views
Ukubwa wa hii klabu unapimwa na idadi ya wafuatiliaji ndani ya nchi. Haijalishi klabu iko kwenye hali gani ya kiuchumi, hii nafasi maara zote imekuwa ikitawaliwa na maabingwa mata zote wa ligi...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…