Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Masaa, siku na miezi Inakatika. Timu zinasajili na kuwaacha nguli wa soka wasio na mpango nao. Miamba ya soka Ulaya wakibalamsisha kila kona. Wenzetu tunawashuhudia wakikosa timu kutokana na...
1 Reactions
1 Replies
354 Views
Nianze kwa kusema SAKHOOOOOO Best goal of the year... Lakini kila nikitazama video clip ya goal la sakho, namtazama pia Shomari kapombe, namna alivyofinya ball, akatulia na kumchagua SAKHO...
3 Reactions
2 Replies
499 Views
Hongera Sakho,hongera Simba Sc,hongera wachezaji wa Simba,hongera head coach na hongera Simba funs na Tanzania kwa ujumla. Kufikia hapa tunazidi ku pave way to the success,mpira wa Watanzania...
4 Reactions
1 Replies
506 Views
Ni wakati sasa uongozi mturudishie msemaji wetu hakuna namna Pole sana Haji lakini adhabu ni kubwa mno faini ni kubwa mno, siijui imewekwa kwa kukomoa au la Historia inaweka wazi kuwa walifungiwa...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Upo mkakati wa kuhakikisha Cloutus Chota Chama anapewa kiasi chake cha pesa anachoidai Simba kutokana na Kuvunja mkataba wake na Berkane. Ikumbukwe kuwa Simba SC walimpanga Chama kutumia pesa...
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Nyota wa Simba, Pape Osmane Sakho anainyemelea tuzo ya goli bora la mwaka Afrika baada ya bao lake alilofunga dhidi ya Asec Mimosas katika Kombe la Shirikisho Afrika, Februari 13 mwaka huu katika...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Hii hukumu aliyopewa Leo Manara ni trela tu, ngoma yenyewe ya kuitukana na kuidhalilisha Simba bado hukumu yake haijasomwa. Hii unayopambana nayo na kutetewa na wajinga wajinga ni ya kumtukana...
3 Reactions
3 Replies
824 Views
Leo asubuhi nimepata nafasi ya kuwa pamoja na mmoja wa kuongozi wenu. Yaani ni miongoni mwa wanakamati wa ile Bodi yenu. Nilikuwa napiga nae stori mbili tatu viwanja fulani hivi hapa jijini Dar...
1 Reactions
67 Replies
4K Views
Anaitwa Jean Morel poe ni mu ivory coast ana miaka 25 aliwahi kucheza soka la kulipwa belarus, kwa sasa anafanya kazi za u dereva teksi katika jiji la ismailia na jana alikuwa mojawapo ya madereva...
7 Reactions
26 Replies
2K Views
Naona hadi umewaahidi Watu kadhaa Lunch Offer baadae Mchana hapo Posta. MImi Rafiki yako Mkubwa na Mdau wako wa Habari na Mawasiliano naomba kujua hii Furaha yako imetokana na nini?. Hebu shea...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Nilimaanisha karia hana uwezo wa kuendesha soka Jamaa amekaa kihasira. Si kwa Haji tu, ila ana uwezo mdogo sana wa kuendesh soka, huyu aonde tu.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Alikuwa na mpango wa kupewa adhabu ya kusimamishwa ili aache kuwasemea utopolo. Lakini pia, kama ni faini watamlipia. Kwa sasa nina uhakika utopolo ni jalala vichaa wote wanataka kuhamia...
2 Reactions
3 Replies
612 Views
Yaani nyie mnaumiza vichwa na adhabu za TFF? 1: Bumbuli alifungiwa miaka mitatu 2: Mwakalebela miaka 5 3: Kocha wa Mbeya Kwanza na meneja walifungiwa maisha lakini saivi wapo free Manara je ???
1 Reactions
10 Replies
1K Views
1.Haji Manara, huyu alikuja simba amepauka kama katoka ukraine vitani, aliokotwa mitaa ya Lumumba akiwa dalali wa magari na kesi za utapeli Hans Pope akazizima 2. Senzo Mazingiza, huyu alikuja...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Awali ya yote niwasalimu nashabiki wenzangu wa kijani na njano Bila kupoteza muda nichukue fursa hii kwa niaba ya wazee wa jangwani na mashabiki wote watiifu wa wananchi kuulaani uongozi wa...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Ni Joseph Yona Na soccer letu KWA MUJIBU WA TAARIFA NI KUWA WALIRUSHIANA MANENO KATI YA HAJI MANARA NA RAIS WA TFF KARIA KAMA WALIRUSHIANA MANENO WHY AFUNGIWE MMOJA AU RAIS WA TFF ANARUHUSIWA...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Kamati ya maadili ya (TFF) imefafanua vitu vifuatavyo kuhusu hukumu aliyopewa Haji Manara kutokujihusisha na soka kwa miaka miwili nje na ndani ya Nchi. 1. Anaruhusiwa kwenda viwanjani kutazama...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Baada ya pengo la attack dog kutokea leo imeonekana kwamba kwa sasa hivi kutakuwa na ombwe kubwa la mtu wa kurusha dhihaka na vijembe kwa Barbara na Mo dewji Kwa kuwa ni wazi H Bumbuli hawezi...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Kuna hayamambo TFF inafungiamtu kujihusisha na mpira. Nauliza kama mpira hauwezi kufanyika nje ya TFF. Mtu anaweza kuanzisha ligi ambayo TFF hawahusiki kwa lolote?
0 Reactions
5 Replies
463 Views
Ulionywa Punguza Nyodo na Ujeuri hukusikia. Na ulichokosea ni Kuongozana na Injinia Hersi Said kwenda kwa Boss wa Mpira wakati Logically uliyemkosea si Yeye bali ni Taasisi yake nzima ya TFF...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…