Mwaka 2018 wakala wa Yaya Toure alisema kua"Miungu ya kiafrika haitamuacha Guardiola ashinde CL miaka ijayo hii Itakua Kama laana ya kiafrika nawaambieni mda tu ndo utaongea kama nipo sahihi au...
Hivi GRAPHICS wa YANGA SC hawezi fungua CHUO ili awape Darsa hawa wa vilabu Vidogo?
Nimecheka hapa naona watu wanasema kaiba ile sehemu ya kutembea na funguo, niwatoe ushamba tu kwamba Kile kitu...
Utopolo hawakwishi vituko na vimbwanga ...
Wanatambulisha wachezaji saa za usiku kama majizi, mara wametuletea akina Joyce ila bado wanapaswa kujua wanaanzia prelimimary stage huko kuna rivers...
Beki Kalidou Koulibaly amesafiri Jijini London kwa ajili ya kukamilisha usajili wake kutua Chelsea ambapo anatarajiwa vipimo vya afya, lei Julai 14, 2022 kabla ya kuungana na wenzake.
Raia huyo...
Wapinzani wajiandae, MO anafanya kazi sasa naanza kuelewa. Tukipata mkabaji pale ktkt ***** aje na huyo manzoki pale mbele.
BEKI QUTTARA achukue nafasi ya ONYANGO
SIMBA ITAKUWA MOTOOOOOOOOOOOOOOOO
Habari za wakati huu mashabiki wa kandanda Tanzania pamoja na East Africa kwa ujumla.
Nchini kwetu tumebarikiwa kuwa na league bora na yenye ushindani kushinda zote afrika mashariki ila Simba na...
Kigwangwala also known as SAID BAGAILE ni mgodi unaotembea baada ya kuitumikia nchi kwa uadilifu mkubwa na ustadi akiwa naibu waziri kisha waziri sasa ni wakati wa simba sc kumtumia kwa uzuri...
Wakuu samahani kwa usumbufu,
Simaanishi Joy aliyesajiliwa jana na yanga HAPANA huyu sina shida naye japo kila akitajwa beki huyu wa pembeni picha ya shemeji yenu wa zamani hunijia ila tuyaache...
Habari.
Katika press ya Leo ya kumtambulisha kocha mpya wa Klabu ya Simba hapakuwepo na matangazo ya Mo Dewji ,Sport Pesa wala Vunja bei.
Napata Shaka na hii timu kwamba imepoteza wadhamin wake?
Nimeleta huu uzi kama tetesi za zilipotokea pia, maana mtu mwenyewe anayehusika hapa hachelewi kulialia na ku play victim
Kutoka ukurasa wa jamaa anyejiita Chaz lee huko facebook
Miaka yote Simba day imekuwa ikifurika umati wa watu, uwanja unajaza mashabiki na nje kumejaa mashabiki, ni siku ambayo mnyama anatambulisha wachezaji wake wapya.
Usajili wa wachezaji wapya ndio...
Leo nimemsikia semaji la CAF Ahmed Ally akielezea kuhusu usajili wa Simba, nimemsikiliza kwa umakini, amesema wamemaliza kusajili wachezaji wa ndani, ina maana Habib Kyombo na Nassoro Kapama ndio...
Nimemsikia Simon Msuva mara kadhaa akisema hana mpango wa kucheza mpira timu za hapa nyumbani. Lakini nikiangalia umri wake sasa anaweza kuwa na miaka 26 au 27 hivi. Kwa umri huo uwezekano wa...
Kama heading inavyo
Xavier Hernández Creus almaarufu Xavier kiungo mstaafu na kocha wa Barca huyu fundi ni kwanini anaonekana kumchukia fundi Frenchie De Jong!
Nikiwa mdau wa mashetani The Red...
Nimemkumbuka hayati Magufuli na usemi wake tunajenga kwa fedha zetu za ndani.
Na wao Simba SC wanasajili wachezaji wa ndani kwa fedha za ndani bila tajiri aliyesusa.
Leo adhuhuri kwa saa za...
Mzee chawa mwenyewe full shobo dundo usizojua hata kuzi balance,zee la kuleta historia za miaka 6 hadi 10 ya new signings za utopolo naku challenge useme hili kuhusu bwana Bigirimana kama...
Foward hatari wa kimataifa fox in the box aliyepachika magoli ya kutosha kwenye mechi chache takwimu zake ni hatari amekuja nchini kutusaidia kimataifa mwite Lazarous Kambole mechi 46 magoli 2...