Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

End of discussion..kama unaangalia hii mechi saivi I think yu no waraimini!
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Wana Yanga SC sio Wajinga (Mangumbaru ) au Wapumbavu (Mapopoma) wampe Mtu ambaye kaanza Kuujua mpira mwaka 2019 (Injinia Hersi Said) halafu tumuache Mtu mwenye Rekodi iliyotukuka katika Medani ya...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
"Tunawataka wana Yanga SC wote wajisajili kwa huu Mfumo wa Kielektroniki ili tuwe tunswajua wale ambao watakuwa wana misbehave kwani hivi sasa ili mwana Yanga SC uwe na ruhusa ya Kutusema...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
“Klabu yetu ya Simba SC imeachana rasmi na dili la kumpata mshambuliaji wa kimataifa wa Niger Victorien Adebayor, na hii ni baada ya kushindwana kwenye upande wa dau analotaka yeye," Ahmed Ally...
7 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwa mara ya kwanza SIMBA bila aibu itatoka kapa kabisa bila kombe lolote mwaka huu. Ni vema ikijipanga vizuri kwa msimu ujao.
0 Reactions
11 Replies
909 Views
Huyu ni mchezaji wa kiwango cha kawaida sana. Haijalishi anaongoza kwa kufunga magoli, ila attitude yake ni changamoto. Nakumbuka siku moja kuna mchezaji wa Simba kama vile Kanoute alifanya...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Kiukweli kwa namna Simon Msuva anavyocheza sasa hivi, hakuna tofauti na wachezaji wengine wa ligi yetu ya NBC, tofauti na alipokuwa Wydad, Msuva hana stamina, hana confidence, hana control...
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Mechi ya Timu Bora na Underdog imeisha, kilichobaki ni mashabiki vitumbua kuanza uchambuzi wao unaoegemea Ussimba na Uyanga Hoja yangu ni Moja t, nafikiri Simba huwa Ina m-underrate Muzamir Yasin...
6 Reactions
21 Replies
3K Views
Team mwaka huu imechukua ubingwa chini ya Msolla na inaenda kuchukua ubingwa wa Afrika ama kwa hakika anatosha kabisa kuupata Urais wa klabu bora kwa viwango vya CAF eneo la Afrika Mashariki yaani...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mimi ni shabiki wa Simba. Kinachonishangaza issue ya uwanja imekuwa kimya. Tangu mwezi wa 12 mwaka 2021 tunadangaywa tu kuwa maelezo yatatolewa na tutaletewa michoro. Huu sasa ni uhuni.
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Wenye Yanga yetu tunaenda na Msomi Dk. Mshindo Mbwete Msolla na siyo Matapeli wengine halafu ni wana Simba SC kindakindaki. Tutanuniana sana Mwaka huu.
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Wawekezaji waheshimiwe ! Kupitia kampeni za 'NANI ZAIDI', Simba kuchangia pesa kujenga uwanja, Yanga kujiandikisha kidigigitali,, Picha halisi ni aina gani ya mashabiki waliopo kwenye vilabu vya...
14 Reactions
34 Replies
3K Views
Kweli wananchi wana heshima zao Ufuatao ni Mkwanja mrefu watakaovuna wananchi baada ya kubeba ubingwa Bonus za Azam tv maudhui= Tsh 3billion Bonus ya haki ya matangazo ya Azam =Tsh. 500 milion...
5 Reactions
57 Replies
5K Views
DARWIN NUNEZ NI OLD TRAFFORD AU ANFIELD ,KAZI NI KWAKE . Kalamu ya Nasri kulemba . Ngoma bado ngumu kati ya magwiji wawili kutoka katika nchi ya malkia ,, waswahili wanamsemo wao mmoja mwenye...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hawa wachezaji wa kimataifa walikuwa first eleven pale Jangwani, wakaachana tukajua wanaenda kukiwasha Real Madrid kufumba na kufumbua eti wapo Kitayosce sijui DTB sijui Namungo. Labda Amis...
6 Reactions
42 Replies
3K Views
Kwa mfano Burundi ina Uwanja wake wa Mpira tena mzuri tu kilichowafanya waihamishe hiyo Mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 Ivory Coast kutoka Bujumbura Kwao kuja Kwetu Tanzania ni nini? Na ni...
2 Reactions
52 Replies
5K Views
Kwa mara ya kwanza kambi ya Riadha iliwekwa West Kilimanjaro, ilipomaliza Mafunzo ya huko, ikaamishiwa Olmotonyi Arusha, baada ya Serikali kushindwa kulipa pango , timu ikahamia Chuo Cha Habari...
0 Reactions
3 Replies
479 Views
Gennaro Gattuso ameteuliwa kuwa kocha wa Valencia na kusaini mkataba wa miaka miwili Kiungo wa zamani wa AC Milan mwenye umri wa miaka 44 amekuwa hana timu tangu Mei 2021 alipoondoka Napoli baada...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Akiivusha Simba SC kwenda Nusu Fainali ya CAFCC dhidi ya Orlando Pirates FC atakuwa ameponya Kufukuzwa (kuwa Sacked) Msimbazi, ila tayari Matajiri wa Orlando Pirates FC nao wameshampa Ofa (tena...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Kocha wa Simba SC, Pablo Franco Martin ni mwalimu mzuri sana, ila anahitaji wachezaji ili kuweza kuongeza nguvu kwenye kikosi chake ili ufanisi wa kazi yake uonekane zaidi Tanzania na Nje. Kwenye...
13 Reactions
91 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…