Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hili jiji lisikie tu kwenye radio,ila Dar kuna starehe jamani,nimetembelea mikoa mingi nchini na nchi nyingi kidogo si haba,nyingine kwa kwenda phyisically nyingine kwa kusoma,kusikia,movies na...
11 Reactions
59 Replies
4K Views
Kwanza nawashukuru kwa dhati NBC kwa kudhamini ligi yetu, kwakweli mwakahuu vilabu hata vile vidogo havikuwa na ukata wakutisha kama tulivyo zoea kipindi cha nyuma vilabu vilikosa mpaka nauli...
1 Reactions
14 Replies
792 Views
Algeria ni nchi yenye mafanikio makubwa kisoka kama ilivyo Egypt, Morocco, na Tunisia.Ni nchi ambayo inaweza kuomba mechi ya kirafiki na Brazil ikakubaliwa bila masharti, inaweza kuomba mechi ya...
10 Reactions
17 Replies
1K Views
Wakuu Kuna Taarifa Kwamba Eng. Hersi Amechukua form ya Kugombea Urais Yanga muda Huu.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) leo Jumatano ya Juni 8, 2022 kinashuka katika dimba la Benjamin Mkapa kukivurumisha na timu ya Taifa ya Algeria. Ni fusra kwa Stars kuweka hai...
8 Reactions
290 Replies
13K Views
Wanabodi Timu yetu ilicheza vizuri sana. Tuliwamudu kabisa Algeria hadi Dkk ya 40 tukafungwa goli la bahati mbaya la faulo linalofanana kabisa na goli la kwanza Algeria walilowafunga Uganda hivi...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Dkt. Mshindo Msolla kwakuwa huna tena Kauli mbele ya Yanga SC baada ya Kukubali 'Kumezwa' na GSM chini yake Injinia Hersi Said nashauri 'jiuzuru' kwani hakuna unachokifanya ( ulichokifanya ) pia.
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Kiungo Mkenya na nahodha wa Montreal Impact, Victor Wanyama ni mmoja wa wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa katika Major League Soccer (MLS). Wanyama anaingiza Dola milioni 3.09 (Tsh. Bilioni 7)...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna muda huwa siwaelewi Watanzania. Yaani anayetuzidi Kiwango ( tena katuacha mbali sana ) Uganda kachezea Kichapo ( Kafa ) Kwake tena kwa Goli 2 na Algeria, halafu leo tusiojua Tanzania ndiyo...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Haji Manara, semaji la mabingwa wapya nchini Yanga wanaosubiri kutawazwa muda wowote kuanzia wiki ijayo, jana alikuwa na mambo mawili kwa wakati mmoja, kwanza alianza kuhamasisha watanzania kwenda...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Natumai muwazima Mimi ni mgeni hapa dar, mchezo wangu ni mpira wa kikapu yaani sijiskii vizuri bila kucheza tatizo kubwa ni viwanja vilipo imekua mtihani kweli Kama kunamwenye kujua viwanja...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naam sasa ni muda sahihi wa huyu mdau kuwa rais wa Yanga makamu wake awe Tarimba Mzee Msolla utatusamehe
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kama kawaida yetu tushanyonyolewa 2 huko na Algeria tukiwa nyumbani. Sasa tutaanza hesabu za vidole Kama kawaida yetu fulani amfunge fulani na ss wakat huo tushinde mechi fulani ndio tutaenda...
0 Reactions
5 Replies
928 Views
Messi Vs Timu za Ulaya Ronaldo Vs Timu za Amerika Kusini Kumbuka: Kwa mara ya kwanza katika maisha yake ya soka, Messi amefunga mabao matano katika mechi yake ya kwanza dhidi ya nchi ya Ulaya...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Inadaiwa Klabu ya Manchester City imeongeza jitihada za kutaka kumsajili nyota wa Klabu ya Arsenal na timu ya Taifa ya England, Bukayo Saka Mabingwa hao wa England wanafuatilia kwa karibu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
1 Andaeni mararamiko yenu mapema kabisa kabla ligi haijaanza muyawasilishe pale TFF! 2 Mwaka huu tunachukua makombe yote mpaka na kale kakombe ka ndodo ka mapinduzi halaf tuone kiburi chenu...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Inadawa Real Madrid imekubaliana na AS Monaco kumnunua Aurelien Tchouameni (22) kwenye usajili utakaogharimu jumla ya zaidi ya Paundi Milioni 85 (Tsh. 249,405,355,250). Klabu za Liverpool...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Tangu nipate akili sijawahi kuona Timu ya taifa letu ikila kichapo cha mbwa mwizi kama hiki , unalipwa hela nyingi ili ufanye kazi lakini umeshindwa , tungeweza kufungwa ila si kwa kipigo cha...
4 Reactions
63 Replies
6K Views
Natumai muwazima Mimi ni mgeni hapa dar, mchezo wangu ni mpira wa kikapu yaani sijiskii vizuri bila kucheza tatizo kubwa ni viwanja vilipo imekua mtihani kweli Kama kunamwenye kujua viwanja...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Tarehe 1/june, kutakua na mechi babkubwa, kati ya Argentina ambao ni mabingwa wa bara lao (Amerika ya kusini) wanakutana na Italy ambao pia ni mabingwa wa bara lao (Ulaya) Game litachezwa...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…