MARCUS RASHFORD, KIPAJI KINGINE KINACHOELEKEA KUFUATA NYAYO ZA ADNAN JANUZAJ .
Kalamu ya Nasri Kulemba
Ni usiku wa maajabu ,ni siku nyingine ya ulimwengu kushanga !!! ilikua ni siku ya...
HIVI NDIVYO PAUL WA MATUMAIN ALIVYOONDOKA OLD TRAFORD .
kalamu ya Nasri Kulemba
“NImerudi nyumbani “ni maneno aliyoyazungumza kwenye kipande kidogo cha video ,huku akiwa amevalia jezi zake...
Mo Dewji ameposti katika page yake kuwa anajiandaa kusafisha wale wote wanaonekana hawaendani na mipango yake na watamuangusha, ameona akiendelea kupanda chombo kimoja na watu wanaotaka kuzamisha...
Klabu ya Simba kupitia mtendaji mkuu wake Bi Barbara Gonzalenz imesema tangu walipoanzisha utaratibu wa kuchangia ujenzi wa uwanja wa Klabu kuanzia mwezi wa 12 mwaka 2021 hadi Mwezi huu...
Leo kwenye press conference nimeona Ceo wa Simba na afisa habari wakiwakilisha klabu yao ya Simba, kwa upande wa GSM walikuwepo Haji Manara, Senzo Mazingiza na afisa habari wa Yanga Hassan...
CEO wa Simba Bibi Barbara Gonzalez hataki kufananishwa na Ndugu Senzo Mbatha mshauri wa mabadiliko ndani ya klabu ya Yanga. Katika kutilia mkazo hilo akasema hawezi kubali kufananishwa na Senzo...
Mabadiliko mema kabisa kwa mwanahabari wakati Brazil inapata kipigo kikubwa kilichowahuzunisha si Brazil bali wapenda soka wote duniani.
Video clip inajieleza.
Baada ya Shirikisho la Riadha Tanzania, Kamati ya ufundi na Kocha wa timu ya Taifa , Suleiman Nyambui kumfukuza Mwanariadha Failuna Abdi Matanga,
Gidabuday alihoji uhalali wa kumfukuza...
Wanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Felix Simbu, Gabriel Gerald Geay na Emanuel Giniki Gisamoda wanatarajia kuhudhuria kwenye kikao cha Uwasilishwaji wa makadirio ya Bajeti ya mapato na...
RIPOTA PANORAMA
0711 46 49 84
IKIWA ni zaidi ya mwezi mmoja sasa tangu Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) kutangaza kuitisha mkutano mkubwa wa waandishi wa habari kujibu tuhuma za ufisadi ambazo...
23 May 2022
Yaoundè Cameroon
Je U17 Serengeti Girls kuandika Historia kwa kupata tiketi ya Kushiriki michuano ya Kombe la Dunia 2022
Nchi za Tanzania pamoja na Ghana, Nigeria zimejisogeza...
Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars ipo kwenye Uwanja wa Stade de L'amitie General Cotonou Nchini Benin ikipambana na Niger kwenye mchezo wa kufuzu Afcon 2023
Hadi kufikia kumalizika kwa...
Tayari Adebayor amepost instagram akiwauliza watanzania kama wapo tayari, Je ni timu gani imekaribia kumnasa huyu striker. Na siku 3 zilizopita alipost akifanya online conference na Mo.
Habari zenu watanzania wenzangu, jioni hii kuna mechi ya kusaka ticket ya kushiriki AFCON 2023 kati ya Team yetu ya Taifa( Taifa Stars) na team ya Taifa la Niger, mpaka muda huu kila team imepata...
Mwina Kaduguda maaarufu kama Simba wa Yuda ambaye amekuwa akijinasibu kuwa eti yeye ni Simba lia lia na yuko tayari kutolewa kafara endapo itatakiwa Simba awe bingwa wa afrika sasa amekalia kuti...
SALAAM WAKUU.
Jana kulishuhudiwa mchezo wa hatima ya UEFA CL kati ya REAL MADRID dhidi yaLIVERPOOL ambapo vijana wa LOS BLANCOS walinyakua taji baada ya kuifunga LIVERPOOL bao 1 bao lililofungwa...
Zimekuwepo taarifa kutoka kwa mashabiki na wanachama wa club ya Yanga wakishawishi na kutaka sana ndugu Hers agombee urais wa Yanga.
Nafikiria hivi hawaoni mgongano mkubwa wa kimaslahi iwapo...
Nawauliza WanaSimba Wenzangu, kwanini ni Matola pekee anayebaki pale wanapoondolewa Makocha wenzake kwa sababu ya kiwango duni cha timu, Kwani yeye si sehemu ya benchi la Ufundi au Matola ni...
Unazi wa kupindukia Kwa real Madrid na Manchester united ulifanya nishindwe kutazama mechi nyingi za fc Barcelona
Huwa najilaumu Kwa kujikosesha nafasi ya kuangalia soka safi na linalovutia hasa...
Mara baada ya mechi ya jana kwenye UEFA Cup of Champions (Finalissima) wachezaji wa Argentina walionekana kumbeba Messi na kumrusha juu katikati yao.
Kwa kawaida hili huwa anafanyiwa kocha wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.