Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Sina mengi Ila chati hii inaonyesha jinsi muungano wetu ulivyo wa kipekee
0 Reactions
7 Replies
1K Views
KUNA MTU MCHAFU KULIKO KASIM DEWJ SIMBA? KWA KUWA UMETUCHOKOZA WACHA TUSEME. Kasim Dewj unapotembe kwenye media usisahau kusema na ubadhirifu wako kuiibia klabu ya Simba. Achana na dola feki...
10 Reactions
61 Replies
4K Views
Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Limewatangaza Wanariadha 15 wa mbio Ndefu watakaoingia Kambini (West Kilimanjaro) Kwa kujiandaa na Mashindano ya Jumuiya ya Madola yanayotarajiwa Kufanyika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Huu ni udhalilishaji Kwa kweli kitendo cha Manara kumtupia madongo huyu binti ilikuwa ni ukatili, yani Barbara alikuwa anaombea tu muda uende haraka Manara amalize maana si kwa makombora ya...
8 Reactions
64 Replies
6K Views
The tactician decided to resign after suffering a fifth consecutive loss in the top-tier last weekend American-born Egyptian coach Melis Medo has surprised many after quitting his job at Coastal...
0 Reactions
4 Replies
582 Views
Hapa Yanga Hamtoki Wala Kutoboa, Kocha Pablo Atoa Neno [https://lh3] KWA ‘mziki’ huu hamtoki, ndio tambo za mashabiki kwenye mitandao ya kijamii pamoja na vijiwe mbalimbali vya soka nchini kila...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Manara: Ninazo taarifa za uhakika kabisa zinadai kuwa zinadine Zidane asikitishwa na kitendo cha Simba kumpa barua ya mchongo kocha Pablo kilichofanywa na uongozi wa makolo hususani kumpa barua...
5 Reactions
50 Replies
3K Views
BARBARA AMKATAA SENZO "sio Type Yangu" Kuhusu kufananishwa na yule bwana wa upande wa pili nisingependa kujibu kwa sababu haina tija, Mimi sisumbuliwi na propaganda za watu kabisa. Nimesimama...
36 Reactions
113 Replies
14K Views
Msaada mwenye kujua wapi pakudownload game moja ya kitambo ya draft.ukimfunga mdada anavua nguo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakisema wajuzi wa mambo, wakati ni shahidi mzuri sana, Sasa nimethibitisha. Ninani aliyekuja na hili wazo la NANI ZAIDI kati ya Simba na Yanga? Hivi watani hawa wa Soka wanao ushindani nje ya...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Huu ni mwaka wa shetani kwa klabu yetu pendwa ya Simba kiasi cha kumfurusha aliekuwa kuwa kocha mkuu Professor Pablo. Wachezaji wengi wameshuka viwango je kwa msimu huu nani atakuwa mchezaji wetu...
0 Reactions
24 Replies
1K Views
Wanajukwaa kuna ndugu yangu huku kijijini ni shabiki mkubwa wa club ya Simba sports club toka miaka ya 1990's kwa sasa anajihusisha na kukochi team ya kijiji na kaifikisha mbali sana Sasa baada...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Picha: Kikosi cha Wachezaji wa Matiyasi FC Klabu moja yenye maskani yake Limpopo katika kitengo cha chini cha mfumo wa soka nchini Afrika Kusini imefungiwa maisha baada ya kufunga mabao 59 katika...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Nalifahamu sana soka la Tanzania, nazifahamu sana club za Yanga na simba. Toka nimeanza kuishabikia Yanga ni zaidi ya miaka 40sasa. Timu zetu hizi mbili Mara nyingi zinakosea kwa kuwaacha...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu Kumbu kumbu nzr sana hii, namkumbuka Ramadhani Lenny akija home ( mtoni Kwa azizi Ali, uwanja wa sifa) kucheza ndondo akitokea mbagala kabla ya kuingia Simba. . Hakika alikuwa moto sana na...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanabodi. Mbona naona kama wabongo hatuna kabisa mzuka na hamasa kwa timu yetu ya Taifa? Shida ni nini? hakuna uzi nyingi humu why? Wangapi tuna mpango wa kuiombea na kuishangilia timu yetu ya...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Ukizumgumzia neno transformation ya team ya mpira iko vitu vingi sana including internal factors for instance data base ya team na data base almost inakuwa pushed on na fans wa team . Nawapongeza...
1 Reactions
6 Replies
770 Views
Za ndaaani kabisaaaa, Saidoo Ntibazonkiza amemwaga saini ya miaka miwili kuwatumikia DTB ambayo ni timu mpya katika ligi kuu ya NBC. Unaambiwa DTB wana mipango ya kutaka kupata nafasi za...
11 Reactions
41 Replies
5K Views
VIKAO vya siku mbili ndani ya Simba vimeamua rasmi kuachana na kocha mkuu Pablo Franco kwa kile kilichodaiwa ni kutoridhishwa na mwenendo wa timu hiyo. Simba imepoteza mataji yake yote mawili la...
13 Reactions
182 Replies
12K Views
Back
Top Bottom