Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Chelsea bingwa wa F.A cup Real madrid bingwa wa uefa Manchester city bingwa wa Epl Liverpool bingwa wa efl
2 Reactions
7 Replies
632 Views
[emoji853][emoji853][emoji853]
22 Reactions
85 Replies
5K Views
Licha ya kuwa na msimu mbaya, Manchester United imekamilisha mchezo wake wa mwisho kwenye Uwanja wa Old Trafford msimu huu wa 2021/22 kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Brentford. Katika mchezo...
2 Reactions
5 Replies
731 Views
Katika ukurasa rasmi wa CAF klabu bingwa na shirikisho wakiwatakia kheri WAISLAMU wanaosherehekea EID EL FITR siku ya leo wameweka picha yenye wachezaji wa timu nane zilizofuzu nusu fainali ya...
11 Reactions
30 Replies
3K Views
Huyu bwana mdogo apewe tu heshima yake tuache kusifia wachezaji wa kigeni. Dogo mpira anaupiga jana kaweza kupambana na Morrison akahama namba akaja Sacko nae kabadili namba kaja Chama naye...
10 Reactions
24 Replies
1K Views
Siku zote kwenye harusi bwana harusi makini huwa hana mbwembwe. Mbwembwe anawaachia upande wa kikeni
22 Reactions
124 Replies
7K Views
Natumaini ten Hag atatumia mfumo wa 4-3-3 Mimi ningependa: 1: De Gea 2: Timber (Ajax) 4: Botman (Lille) 5: Varane 3: Shaw 6: Rice (West Ham) 8: Tchouameni (Monaco) 10/8: Bruno Fernandes 7...
4 Reactions
11 Replies
994 Views
Aaron Ramsey Ni mchezaji wa mpira wa soccer aliyejiunga na timu ya Arsenal mnamo tarehe 10/06/2008 akitokea Cardiff City. Ni mchezaji aliyedhaniwa kuwa na gundu/ mikosi ya ajabu Sana baada ya watu...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna wachezaji Wengine sijui wanafanya nini uwanjani, Mtu anaruka ruka tu dakika zote haeleweki anataka kufunga au anataka kukaba Huyo Mugalu ndio maana alipigwa kadi nyekundu South kwa Orlando...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Mino Raiola (54) ambaye ni Wakala wa Wachezaji wengi amefariki dunia baada ya kuugua kwa miezi kadhaa Raiola alilazwa katika hospitali ya Milan mnamo Januari 2022 na kufanyiwa upasuaji lakini...
2 Reactions
43 Replies
4K Views
Baba Jeny bye bye Wakati stori kubwa ikiwa ni Inonga na Mayele huku wakisahau pia kulikuwa na Chama ambae hakufurukuta mbele ya kibwana, wakati wakisema kuwa hajatetema wanasahau kuwa Morison...
4 Reactions
11 Replies
947 Views
1. Kujiona ( Kujimwambafai ) kabla ya Mchezo kuanza kwa Mshambuliaji Hatari wa Yanga SC Fiston Mayele kulichangia Kumharibu / Kumharibia Kisaikolojia kwani Kitendo kile ni kama vile kiliwapa...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Najua mlioangalia game kwa TV kuna matukio hamkuoneshwa acha niwaibie kidogo; Inonga na Ntiba, ndio walikua waamuzi wa game (wazee wa hesabu na namba). Kwanza wote hawakupiga picha za pamoja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni wazi msimu ujao upo uwezekano mkubwa tunaenda kushiriki kimataifa,swala la sajiri mpya limekua likiongelewa kimya kimya kana kwamba si jambo la lazima,lakini kwa game ya leo ilivyoenda tuna...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Maoni yangu ile ilikuw faulo kabisaa ndan ya box na ilipaswa ipigwe penant! Wachambuzi hawalioni hili?......... Dadeki zako 🐸nitakutafuta nusu fainali FA!
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Nimetokea kumkubali sana huyu mwamba nahodha wa Southampton Fc ya kusini mwa Uingereza. Kwanza jinsi anavyojikunja wakati anapiga mipira iliyokufa ni 🔥🔥 Anaitwa James Ward-Prowse yaani fundi...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Dah namsikiliza kijana Stamina Sharobwenzi sasa hivi clouds fm akiwa anatambulisha team yake ya ndondo cup iitwayo stamina fc anajinasibu kwamba kakipiga sana against Dickson job katika...
12 Reactions
40 Replies
5K Views
Naaam wasalam wakuu, Ile siku maalumu iliokuwa ikisubiriwa kwa hamu hatimaye imefika..Pambano la watani wa jadi katika soka la bongo, leo mtoto hatumwi dukani Karibuni katika matukio...
17 Reactions
901 Replies
44K Views
Baada ya hii mechi sitarajii kama huyu jamaa ataendelea kuwepo. Ni mpuuzi sana
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari wadau!!! Naenda Moja kwa Moja kwenye mada kama kichwa Cha habari kinavyojieleza; Mpaka Sasa Simba Sports Club ni timu pekee kwa Tanzania inayokuza ligi ya Tanzania na kuipa hadhi hata nchi...
4 Reactions
17 Replies
905 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…