YANGA VS BERNARD MORRISON: UELEWA WANGU WA UAMUZI WA CAS
Jumatatu tarehe 22 Novemba, 2021.
Tarehe 12 Agosti, 2020 Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya TFF ilitoa uamuzi wa shauri la Yanga...
Duh kwa kweli aiseee jamaa full time unaambiwa walikuwa wanabonga kiarabu na huyo mmisri awapendelee wanajua wakiongea Kifaransa wa Niger watawasikia inanikumbusha yule aliyemtukana kanoute tusi...
Mechi ya Leo imetufundisha jambo, hwa Asec mimosas simba haiwafikii kwa ubora walionao, walivyowafunga kwa Mkapa ni kwasababu za nje ya uwanja zaidi na sio kwamba simba iliwazidi ubora.
Mambo ya...
1. Kwa Simba SC anaziacha Alama 3
2. Kwa Namungo FC anaziacha Alama 3
3. Kwa Azam FC anaziacha Alama 3
4. Kwa Mbeya City FC anaziacha Alama 2
5. Kwa Biashara United FC anaziacha Alama 2
6...
1:Kuzuia Kuzama
Kuzama ni sababu kuu ya vifo vya ajali kwa watoto na watu wazima walio kwenye hali ya USONJI(AUTISM) Kulingana na Chama cha Kitaifa cha Autism, kuzama kwa bahati mbaya...
Kwanza ulishangilia Goli ambalo hukufunga alijifunga Mwanachama Hai wa Yanga SC Beki Andrew Vicent Dante kisha ulipokuwa unakimbia kwenda Jukwaa Kuu alikokuwa amekaa Rais Mstaafu na mwana Yanga SC...
Takwimu hadi kufikia jana
Eng. Hersi mech 1. Goal 1
John Bocco ..mech 17 ...goal 0
Tukiweka ushabiki pembeni, siasa na kujikiita Zaid kwenye soccer prndwa la Africa mashariki ifuatayo ni fact/...
WATANZANIA WENGI WAMEKUWA WAKINITUMIA UJUMBE WAKINIOJI KUWA TANZANIA NIMEIFANYIA NINI KATIKA TASNIA YA MICHEZO.
Kwanza nimekuwa nikilikwepa swali hili makusudi, mimi ni Mtanzania sio lazima...
Najua kwa taarifa yangu hii ( Uzi wangu huu ) kuanzia sasa Wagonjwa wa Presha wataanza Kuongezeka Mahospitali na huenda hata Mochwari nazo zikaanza Kujaa.
Huku Adebayor huku Chama huku Aucho kule...
Habari,
Young Africans Mabingwa Wa Kihistoria Nchini Leo Wataingia Uwanjani Kumkaribisha KMC kwenye mchezo wao wa kumi na name hapo saa moja kamili usiku Uwanja Wa Benjamin Mkapa.
Hadi sasa...
Yule kijana sidhani kama ame recover vizuri kuchea mechi ngumu hivi, kama unampenda sana subiri mechi za kmc au geita gold umuweke huko siyo mamechi ya kimataifa haya
Mr pablo kuwa serious bana...
Anaandika Msema Ahmedy Ally.
Muda huu wachezaji wetu wapo kambini Mbweni wanakula upepo wa Nchi [emoji1]
Wengine wapo vyumban wanacheza Play Station saafi[emoji106]
Tshabalala kawasha Bluetooth...
Kwanza kwa kuanzia tu, ni kwamba tukija upande wa "kiufundi" ningesema sifa tatu muhimu kwenye mpira ni: intelligence, communication, and discipline. Inafahamika kuwa Xavi ni mchezaji mwenye...
Lionel Andrés Messi alizaliwa 24 Juni 1987) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Argentina anayecheza katika klabu ya Barcelona F.C. iliyopo nchini Hispania na timu ya taifa ya Argentina.
Mara nyingi...
Habari wanajukwaa humu ndani. naomba kufahamishwa ni timu zipi zitakazofuzu kati ya hizi timu tatu ambazo zinalingana point. Inatakiwa kufuzu timu mbili tu.
Kuna timu A, timu B na timu C zote...
Mechi nyingi walizocheza nyumbani wamekuwa na makosa mengi hasa ya kiulinzi, kukosa kujiamini na ubunifu wa kupanga mashambulizi. Inawachukua zaidi ya dakika 15 kuanza kuwa makini na kufanya...
Kuna kila dalili Yanga akachukua ubingwa msimu huu, kuna uwezekano mkubwa Simba akatolewa nusu fainali kwenye FA. Hii inaashiria kuwa msimu ujao Simba hawatashiriki michuano yoyote ya Kimataifa...
Afcon 2022
Baada ya refa wa Zambia kupiga kipenga cha mwisho kabla ya muda wa mechi kukamilika katika mechi kati ya Tunisia dhidi ya Mali, wakufunzi wa timu ya Tunisia waliwasilisha pingamizi...
Kwa mujibu wa CAF, Simba imekuwa ndio klabu inayotazamwa kwa wingi na mashabiki kupitia akaunti za mitandao ya kijamii za CAF, ikiwamo Youtube (CAF TV) kulinganisha na timu nyingine kongwe Afrika...