Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (Champions League final) iliyokuwa imepangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Krestovsky jijini Saint Petersburg Nchini Urusi imehamishwa na sasa itachezwa jijini Paris...
Kocha Msaidizi wa Namungo FC, Jamhuri Kihwelo Julio, amelalamikia kipengere cha mchezaji wa mkopo kutocheza wakati timu hizo zinapokutana.
"Mpira wa Afrika una mambo mengi ya kishamba utakuta...
NAJUA WAJUA ILA NATAKA KUKUJUZA ZAIDI NA ZAIDI KUHUSU CAF INTERCLUB.
Na: Hashim Mbaga. 14/03/2022
USHIRIKI WA TIMU ZA TANZANIA KUPATA UWAKILISHI WA TIMU NNE MISIMU IJAYO.
Tanzania katika...
UONGOZI wa klabu ya Yanga umefichua sababu za kuwasajili wachezaji kwa mikataba mifupi ni kutokana na mifumo ya soka hapa nchini ilivyo.
Klabu nyingi za Tanzania zimekuwa na utaratibu wa kuwapa...
Kila mtu, kampuni au taasisi yoyote inayodhamini timu yoyote inayoshiriki LigiKuu inafanya hivyo kwa kuzilenga Simba na Yanga ziwape faida kwenye biashara zao. Hata yule atakaetoa udhamini kwa...
Tunaangalia mchezo unaooneshwa mubashara kupitia Azam sports hd1...ligi kuu tz Kati ya Azam fc dhid ya Namungo fc.
Changamoto ni rangi ya jezi ya timu zote. Azam wamevaa blue huku Namungo wamevaa...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania NBC Premier League, kupigwa leo March 16, 2022 kwenye Dimba la Ilulu mkoani Lindi, huku vita kubwa ikiwa ni kuwania nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi.
Namungo...
Hata mkiandikwa vizuri hamtoi asante. Halafu mnalalamika kuwa wengine hata wakijisaidia wanasifiwa kuwa harufu yao nzuri.
Mkono mtupi haulambwi mbwa nyie. GSM nawapongeza wanajua kutujali...
Tanzania ni moja ya nchi inayoongoza kujenga vitu chini ya kiwango mfano Uwanja wa Manungu wa Mtibwa umefanyiwa marekebisho hata kuweka majukwaa ya watu elfu tatu imeshindikana hii ni aibu sana...
Pongezi sana kwa club ya simba kwa kukataa kutoa bahasha za khaki kwa haya MACHAMBUZI FEKI yenye njaa hadi kwenye unyayo..akili zao ni kisoda sana ....
Najaribu kupata picha kwamba Mo Dewji ndiye...
Aibu mbili zimejitokeza leo kwenye mchezo kati ya Yanga na Somalia.
Manara anamkatisha Rais wakati anaongea. Aibu sana.
Ueledi wa kazi hapo. Rais hakatishwi wakati anaongea. Labda asite na...
Naona wenzetu ni wakarimu sana wa kupokea wageni wanaokuja kucheza na Simba michuano ya CAF, je, walishawahi kuongoza kundi lolote la CAF Champions League au confederation? Kwa Simba siku hizi...
Ningependa kufahamu je!? ni kiasi gani hupatiwa kwa vilabu vitakavyofuzu hatua ya makundi upande wa shirikisho Africa.
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
kuna wakati ukweli unatakiwa kusemwa wala haijalishi utauma vipi. Mshambuliaji wa yanga Fiston Kalala Mayele ni high class, haina budi washambuliaji wengine kujifunza hasa yule kijana Bob Marley...
1. YANGA ndiyo timu ya kwanza Tanzania kucheza mashindano rasmi ya CAF walicheza klabu bingwa mwaka 1968 wakati simba ndiyo timu ya kwanza kupanda ndege mwaka 1963 walienda Ethiopia kwa mwaliko...
Kwanza nawapongeza wachezaji wa Simba kwa ari kubwa ya kupambana uwanjani walioinesha leo. Wamepigana kiume sana kuigania timu yao.
Lkn kwa upande mwingine, maamuzi tata ( in favour of Simba)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.