Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mashabiki wa Simba SC na Wadau wa soka, upi uchambuzi wako kuelekea kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya RS Berkane, utakaofanyika Jumapili ya March 13 kundi D kwenye dimba...
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Mechi ni saa 1 usiku
5 Reactions
143 Replies
9K Views
Tajiri wa Urusi, Mmiliki wa Club ya Chelsea awekewa vikwazo, vikwazo hivyo vinahusu mali zote zilizo UK na Club ya Chelsea yahusika Uuzwaji wa Chelsea umesitishwa kwa muda. Chelsea haitaruhusiwa...
3 Reactions
45 Replies
5K Views
Kabla ya yote namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia na kuniepusha dhidi ya usimba na uyanga. Mimi ni mpenzi michezo nafuatilia michezo mingi kwahiyo moja ya furaha yangu ni michezo. Jana...
3 Reactions
56 Replies
6K Views
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika inaendelea kwa sasa, ni msimu wa 2021/22 lakini kuna matukio kadhaa ambayo inawezekana yakawa na maana tofauti kuhusu soka la Afrika. Wababe wa Misri, Al Ahly...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Naam uzi huu ni kwa mashabiki wenzangu wa chelsea. Kutokana na vikwazo iliyowekewa klabu na serikali ya uingereza, inaonekana kuna nafasi kubwa kwamba klabu yetu pendwa inaenda kupata anguko...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Kocha Mkuu wa Klabu ya Al Ahly ya Misri, Pitso Mosimane (57) raia wa Afrika Kusini ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili wa kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi msimu wa mwaka 2023/24. Mosimane...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Mechi ya Simba dhidi ya Asec Mimosas Simba walipewa nafasi ya watu 35,000 kuingia uwanja wa Mkapa kuangalia mechi lakini waliingia mashabiki 20,0000 TU. Mechi Yao dhidi ya RS Berkane wamepewa...
11 Reactions
60 Replies
5K Views
Sio Mimi ni priva Yaani timu 20 za epl+ 20 za Seria A + 20 za ligi 1 +20 za la liga +18 za Bundasliga =98 maanake Simba anamreplace moja hapo This is Simba ladies and gentlemen
3 Reactions
105 Replies
13K Views
Ni jambo zuri na la kiungwana kabisa pale utakaposikia mgeni atakuja kwa jirani yako wewe unafanya maandalizi ya kwenda kumpokea stendi au uwanja wa ndege bila hata kupata rukhusa ya jirani yako...
3 Reactions
12 Replies
805 Views
Hii klabu ilianza mwaka 1905 na mkongwe tokea kuanzishwa kwake. ila vikwazo ambavo vimekuja kuathiri kutokana mgogoro wa urusi na ukrain kwa kuwa mzamini wake abromovich kuwa karibu na putin ! au...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Ingia You tube Mcheki mtu anayekwenda kwa Jina La Charlie Champlin utacheka saana , huyu jamaa ukimtafakari Vituko vyake kama HAMNAZO hivi..! Sasa Timu ya Wenye akili kama huyu jamaa inakipiga...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Mech ya Yang dhid ya Tim ya taifa ya Somalia inachezwa saa ngap?? Mweny taarifa sahihi naomba unijuze
1 Reactions
11 Replies
7K Views
Baada ya kuchapwa na Rivers utd ya Nigeria nyumbani na ugenini kwa jumla ya magoli 2 ,0 na kuondoshwa katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika miezi kadhaa iliyopita, kesho tarehe 12/3/2022...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
Uongozi wa Klabu ya Simba umetoa pole kwa aliyewahi kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Hassan Dalali kufuatia ajali aliyoipata Jumatatu Machi 7, 2022 jijini Dar es Salaam. Dalali alianguka na Bodaboda...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Yaani toka tarehe 3 February nilipost hapahapa kwamba Simba ni ya 98 duniani hizi statistics ni za January nilichoambulia hapa Jamii Forums ni kubishana na majinga ya utopwinyo vyura pro max wa...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Uongozi wa Klabu ya Simba umethibitisha kupokea taarifa kutoka Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuwa inayotoa nafasi ya kuingiza mashabiki 35,000 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa mchezo...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Saaaaam Wana Jf Natumaini ya kuwa tupo salama na tunaendelea kusherekea ushindi tulioupata kwa Dodoma jiji ingawa goli moja la chama tulilipata baada ya kupiga mpira upiokufa...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Billionea wa kirusi Abramovich ametangaza kuuza mali zake zite nchini Uingereza yakiwemo majengo na klabu ya Chelsea ============================= Roman Abromovich leo ame confirm habari...
5 Reactions
52 Replies
5K Views
Ni kweli Simba walistahili mkwaju ule wa penati. Lakini swali fikirishi ni kwa yule mchezaji wa Dodoma jiji ile jinsi alivyoushika ule mpira. Ni wazi ilionekana ni maksudi alifanya kitendo kile...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Back
Top Bottom