JamiiCheck - Tanzania

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

JF Prefixes:

Umewahi kunywa sumu yoyote ile kimakosa kisha baadhi ya watu wakakushauri utumie maziwa fresh kama sehemu ya tiba? Madai ya maziwa fresh kuwa na uwezo wa kuondoa sumu mwilini yamekuwepo wa muda mrefu. Katika kujadili ufanisi wake, mdau mmoja wa JamiiForums amekosoa vikali tiba hii kwa kusema kuwa maziwa hayana uwezo wowote katika kuondoa sumu. Amewashauri watanzania kuacha kufanya mambo kwa mazoea pasipo kuwa na uhakika kwanza wa jambo husika. Taarifa za kitabibu zinasemaje kuhusu nadharia ya uwezo wa maziwa katika kudhibiti/kutibu sumu mwilini? Kwa muda mrefu kumekuwa na imani kwamba pale ambapo mtu amepita kwenye vumbi, au amevuta hewa chafu yenye moshi au vumbi jingi basi atakunywa maziwa kwa imani kwamba anakunguza uwezekano wa...
Katika mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwemo katika jukwaa la JamiiForums.com, kumekuwa na majadiliano na masuali yanahoji au kutoa taarifa ambazo wengi hawana uthibitisho nazo kuhusu dawa za kuzuia maambukizi ya VVU ambazo muhusika anatakiwa kutumia ndani ya masaa 72. Je, hili lina ukweli? Na inakuaje kwa muhitaji ambaye si muhanga, na gharama zake zikoje? Je, kuna ukweli kwenye hili?
LISSU KWENYE UKURASA WAKE WA X (TWITTER) AMENENA MAZITO ASEMA HATA AKIBAKI MWENYEWE CHADEMA ITASONGA. Hayo yamekuja mara baada ya viongozi mbalimbali wa Kanda wa CHADEMA kujiuzulu kwa madai ya Chama chao (CHADEMA) kukosa Muelekeo na Kwenda kujiunga na ACT wazalendo ili kuongeza nguvu kwenye chama chenye nia ya mabadiriko ya kweli sio kwa Sasa CHADEMA imejifia kifo cha asili sema viongozi taifa hawataki kusema ukweli.
Wakuu hii taarifa nimekutana nayo Facebook je, ni ya kweli? ๐๐Ž๐๐ˆ ๐˜๐€๐ˆ ๐Š๐”๐‰๐ˆ๐”๐™๐”๐‹๐” ๐๐€๐…๐€๐’๐ˆ ๐˜๐€ ๐”๐„๐๐˜๐„๐Š๐ˆ๐“๐ˆ ๐‚๐‡๐€๐ƒ๐„๐Œ๐€ ๐Š๐€๐๐ƒ๐€ ๐˜๐€ ๐๐–๐€๐๐ˆ Habari za ndani kabisa ya CHADEMA zinasema bundi ameendelea kulia; safari hii Boni Yai akitajwa kuwa mbioni kujiuzulu kutoka nafasi ya Uenyekiti wa chama hicho Kanda ya Pwani, na kwamba barua yake ya kujiuzulu tayari ameshaiwasilisha kwa Katibu Mkuu John Mnyika. Hatua hii inatokana na kutokukubaliana na uongozi mbovu wa Tundu Lissu na migogoro inayoendelea ndani ya chama hicho. Kujiuzulu kwa Boni Yai kunadhihirisha mpasuko mkali ndani ya CHADEMA, huku migawanyiko ya kimtazamo ikizidi kuleta mvutano mkubwa kati ya wanachama na viongozi wa juu wa chama.
Ndugu zangu Watanzania, Unaweza kusema ya kuwa Mheshimiwa Boniface Jacob ameamua kujiweka pembeni ya ulingo na masuala mazima ya siasa za CHADEMA na kuamua kujikita kwenye shughuli zake binafsi za kijasiriamali. Ambapo Mheshimiwa Jacob ambaye ni Mayor wa zamani wa Ubungo ameonekana akiwa katika chumba au ukumbi wenye Trei za mayai Mengi sana. ambayo ni biashara amekuwa akiifanya kwa muda mrefu sana na ambayo imeonekana kumpatia matokeo chanya na faida kubwa sana. Amepongezwa sana mitandaoni na watu mbalimbali na wa vyama tofauti tofauti kwa juhudi zake kubwa na kuwa mfano wa Kuigwa katika mapambano ya kukabiliana na umaskini na kujikwamua kiuchumi. Wengi wamemsifu na kusema kwa hakika anapaswa kupewa sapoti na kuungwa mkono sana...
๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ท๐—ถ๐˜„๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐—น๐—ถ๐˜๐—ฎ๐˜€๐—ต๐˜‚๐—ธ๐—ฎ ๐—ป๐—ฐ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฏ๐Ÿฎ Watafiti kutoka Nasa wameshaanza kutoa ripoti kuhusu jiwe kubwa litakalo weza shuka duniani ambalo linaitwa asteroid 2024 YR4, na kuibua wasiwasi juu ya maafa yanayoweza kuhalibu baadhi ya miji kwenye nchi kadhaa. Imelipa jina la ukanda wa hatari "risk corridor" litakaloweza kuathiri baadhi ya nchi kwa mawe hayo makubwa kushuka Kuanzia ukanda wa kaskazini Ya Amerika ya kusini kuvuka bahari ya pasifiki, ukanda wa kusini mwa bara la Asia, pamoja Afrika upande wa Afrika kusini mwa jangwa la Sahara.
WanaJF Nimekutana na taarifa hii huko mtandaoni. Je, ina ukweli wowote? Hali ya kiafya ya Mheshimiwa Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), imeendelea kuzorota, hali iliyolazimu apelekwe nchini Ubelgiji kwa matibabu ya dharura. Kutokana na changamoto za afya zinazomkabili, madaktari wameshauri apokee matibabu maalum ili kurejesha afya yake haraka. Wananchi, wanachama wa CHADEMA, na wapenda demokrasia kwa ujumla wanaombwa kuendelea kumuombea, pamoja na kuchangia kwa hali na mali ili kufanikisha matibabu yake. Ushirikiano wa Watanzania utasaidia kuhakikisha Mheshimiwa Lissu anapata huduma stahiki na kurejea katika hali yake ya kawaida haraka iwezekanavyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa juhudi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan zimeifanya Tanzania kuwa kinara barani Afrika katika uzalishaji na usambazaji wa umeme. Akizungumza na wanahabari katika Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) mkoani Pwani siku ya Jumapili Februari 16, 2025, Msigwa amesema kuwa mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu nishati uliofanyika Januari 27-28, 2025 jijini Dar es Salaam, ni uthibitisho wa mafanikio ya Tanzania katika sekta hiyo. Kwa mujibu wa Msigwa, hali ya upatikanaji wa umeme nchini imeimarika na kufikia 78.4%, huku serikali ikipanga kuhakikisha asilimia 100 ya Watanzania wanapata huduma hiyo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ