JamiiCheck - Tanzania

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

JF Prefixes:

Wakuu nimekutana na hii taarifa mtandaoni kwenye magroup ya facebook. Je, ni ya kweli? === 𝗠𝗔π—₯π—œπ—” 𝗦𝗔π—₯π—¨π—‘π—šπ—œ 𝗔𝗧𝗒𝗔 π—§π—”π— π—žπ—’ π—žπ—”π—Ÿπ—œ π—–π—›π—”π——π—˜π— π—” Mwanaharakati Maria Sarungi ameweka wazi msimamo wake kuhusu CHADEMA, akieleza kuwa kwa hivi sasa hayupo tayari kukichangia chama hicho. Ameeleza kuwa sababu kuu ya uamuzi wake ni ukosefu wa mipango madhubuti ndani ya chama pamoja na mgawanyiko unaoendelea. Kauli yake imezua mjadala mkali miongoni mwa wafuasi wa chama hicho na wanaharakati wa siasa, huku baadhi wakikubaliana naye na wengine wakipinga mtazamo wake. Hili linakuja wakati ambao CHADEMA inaendelea kujipanga kwa ajili ya chaguzi zijazo na harakati zake za kisiasa.
Baada ya Trump kutangaza kusitisha misaada nchini humo kisa madai ya ukiukwaji wa haki za Binadamu na Wazungu kunyanyaswa na kupokonywa ardhi wanazomiliki ambapo Ramaphosa amemtaka Trump aache kuingilia mambo ya Afrika Kusini kwakuwa hayamuhusu na kusema ardhi ya Afrika Kusini sio ya Trump. β€œHii ishu ambayo Donald Trump anaiogopa sana, hii ardhi ni ya kwetu, sijui Donald Trump anahusika vipi na atafanya nini kuhusu ardhi ya Afrika Kusini kwasababu hajawahi kuwa hapa, aitunze America yake na tutaitunza Afrika Kusini yetu, Afrika Kusini ni ardhi yetu na inamilikiwa na Watu wote wanaoishi Afrika Kusini, Afrika Kusini haimilikiwi na Donald Trump” β€œNikikutana na Trump nitamwambia, nitamwambia wewe Trump ni Mtu mbaya kwasababu...
MBOWE NA MWANAE WASUSA CHADEMA WAGOMA KUMPA VIFAA VYA MKUTANO LISSU. Mtoto wa Mbowe (James Mbowe) ambaye ana kesi ya Madai Mahakamani kwa kosa la kutowalipa Mishahara wafanyakazi wake zaidi ya miaka 3 leo ana muhujumu Lissu kwa kumnyima vifaaa vya Mziki na Jukwaa kwa ajili ya Mkutano wake wa mapokezi ya tarehe 15 Feb, 2025 Mkoani Singida. #NoReformNoElection
BREAKING NEWS: $5 Billion in cash and $700 Million in Gold found in Buhari's New York residence as FBI raids property; Trump orders clampdown on Nigerian politicians homes. Trump has ordered the money to be placed on hold as he doesn't trust the current president of Nigeria, who he said is worse than Buhari. πŸ‘‘ Priincee Skaywer πŸ‘‘ The Quantum Activater.
JamiiCheck tafadhali mtusaidie kupata uhalisia wa hii ===== πŒπ€π‘πˆπ€ π’π€π‘π”ππ†πˆ : π‚π‡π€πƒπ„πŒπ€ πŠπ”π’π‡πˆππƒπ–π€ π•πˆππ€π˜π€ π”π‚π‡π€π†π”π™πˆ πŒπŠπ”π” 𝐖𝐀 2025 Mwanaharakati Maria Sarungi ametoa maoni makali kuhusu mustakabali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025. Kupitia mtandao wa X (zamani Twitter), ameeleza kuwa chama hicho kimekosa umoja na mipango thabiti, hali inayopelekea migogoro ya mara kwa mara na kukosekana kwa uongozi imara ndani ya chama. Kwa mujibu wa Sarungi, CHADEMA inakabiliwa na changamoto kubwa za ndani ambazo zinaweza kuathiri nafasi yao katika uchaguzi ujao. Aidha, ametaja kuwa mgawanyiko wa uongozi na kushindwa kuimarisha mshikamano wa wanachama wake ni dalili za kushindwa vibaya katika uchaguzi wa 2025.
Dkt. Wilbrod Slaa Aachiwa kwa Dhamana Yenye Masharti Makali Leo Februari 7, 2025 Mahakama Kuu ya Tanzania leo imemuachia kwa dhamana Dkt. Wilbrod Slaa, baada ya kukaa mahabusu kwa zaidi ya mwezi mmoja. Dkt. Slaa anakabiliwa na shtaka la kusambaza taarifa za uongo kupitia mtandao wa X (zamani Twitter), kinyume na Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015. Masharti ya Dhamana Masharti aliyowekewa ni pamoja na: Kuwa na wadhamini wawili wenye mali isiyohamishika. Kukabidhi hati za kusafiria mahakamani. Kutosafiri nje ya Dar es Salaam bila kibali cha mahakama. Kesi hii imeibua mjadala mkubwa. Serikali inasisitiza umuhimu wa kudhibiti taarifa potofu, huku wanaharakati wakionya kuwa sheria za mtandao zinatumiwa kuzima uhuru wa...
Nimeipata WhatsApp hii, Je ni kweli? Inadai kuwa ipo dawa mpya inayojulikana kama 'strawberry quick' ambayo imekuwa ikitolewa kwa kificho kwa wanafunzi kwa malengo ambayo hayajafahamika hadi sasa. Taarifa inadai zaidi kuwa Watoto wanakula wakifikiri kwamba ni peremende na wanakimbizwa hospitali wakiwa katika hali mbaya. Pia inakuja katika chokoleti, siagi ya karanga, cola, cherry, zabibu na machungwa. JamiiCheck tusaidieni kufuatilia!
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…