Daaaaah juzi kati bana nilipata dharura nikaibuka jijini DSM na nikafikia kwa jamaa angu tuliesoma wote miaka ya nyuma. sasa kwakuwa safari ilikuwa ya ghafla nilienda kwa jamaa bila ya accesories...
Jamaa alikuwa amelala na mkewe akasikia sauti ya
paka akilia kwa uchungu nje ya dirisha lake, akatoka
nje, kwa maajabu akamkuta panya anambaka paka.
Akaangalia mpaka mwisho hakuamini macho yake...
```...ingekuwa vp dunia ingeongozwa na mwanamke kungekuwa hakuna vita, ungesikia tu.. Marekani aiongei na urusi, mara rwanda yainunia burundi, boko haramu yawapelekea umbea alshabaab, ethiopia...
Jamani kuna uteja/ughaibu mwingine wa ajabu wangu huu kupatwa na alostol ya kuingia jf kila mara naona sasa umenizidia msaada, natamani niache ila nashindwa...!
Addiction mbaya sana hii, na nyie...
Yaani serikali hii imebana mpaka bei za vyama vya upinzani zimeshuka kinoma!
Hivi leo bei ya chadema ni kushika UKUTA (yaani wanataka kuirudisha kwa wananchi, ilhali wananchi wanawakataa, ila...
Kamwe usichoke kumpenda anayekupenda hata kwenye ugumu wa maisha, kwani binadamu shupavu hachoki kupambana na vita ya maisha. Usiwaombee mabaya wale wanaokuchukia yawezekana wakashuhudia...
Unajiita
Jamila CuteGirlNikiMinaj,unaishi kwa
kuunga-unga, Kila Mwisho wa Mwezi unarusha
Mizinga kwa Boyfriend na wanaume wengine
vidumu na meseji zako za SEND TO MANY, unaandika
meseji 1 unatuma...
Mpendwa mke wangu,bado Niko ofisini na jua bado limepatwa mpaka sasahivi, kuna Giza Nene sana hata sisi wenyewe hapa ofisini hatuonani na wala hatuwezi hata kuzunguka ndani ya ofisi kwani Giza ni...
Nikiwa Form Four mbele ya wanafunzi wa kike na wakiume kadhaa, nilijaribu kumtongoza dada fulani hivi mbele za watu akapayuka, NIMEKWAMBIA NENDA KATOE KWANZA HILO GOVI LAKO, NDO UJE UNITONGOZE...
Ngoja nianze na kuwapa hongera na pole ya purukushani za siku ya leo maana hii siku ilikua na mambo mengi sana.mara kupatwa kwa jua mara JWTZ wanafanya usafi na wale ambao walikua mbali na vyombo...
Hivi inakuwaje unaanza uhusiano na mtu halafu
unakuwa unamcompare na Ex wako? Mara ooh ex
wangu hakuwa analala chali kama wewe, mara ex
wangu alikuwa hachat kama wewe, alikuwa
ananiletea maua we...
Huyu mpenzi sasa nimeamua tuachane maana
kama ujinga hapa ndio makao makuu, siku moja,
aliniiuliza ‘ Hivi naweza kumuua samaki kwa
kumzamisha kwenye maji?’ sikumjibu maana niliona
heri ninyamaze...
1.The Bishop is infallible
2.The general can not make mistakes if you think the general has made a mistake refer to rule number one
3.If u can't defeat them join them
Ni baadhi ya misemo ya...
Mimi jamani sio mwanzilishi wa haya maneno, nime copy na ku paste.....
Zijue tabia za wenye magari:
1. Wenye GX100 na Noah - wanaongoza kwa fujo barabarani, wanapenda kuingizia
watu na gx100...
UNAJIFUNZA NINI HAPA??
```Wanandoa walizoea kudanganyana. Siku moja mke alilala nje aliporudi nyumbani mmewe akamuuliza ulilala wapi. Mke akasema alilala kwa rafiki yake wa kike.
Mme akawapigia...
Jamani, jamani... habari za weekend..!!
Yamenikuta, kuna mrembo mmoja mkali sanaaa... mweusii, kaumbika boom boom... bang bang, kabang kabang kweli... mweusii, aged 29 hv... i know her kwa miaka...
Kuna baadhi ya nyuzi zinakera kinoma humu JamiiForum hasa anazobandikaga jerrysonkiria na STUNTER kwanza huyu stunter anabandika manyuzi mengi kama ni mod wa JF anakera kinoma
na nyuzi zake hazina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.