Conversation between satan and God
Satan: Hahahaha
God: why are you laughing
satan: am not laughing
God: then what are u doing?
satan: am smiling
God: why smiling
Satan: You said this is your...
Kama mjuavyo wakuu my wife aliamua kutoweka home miezi kama saba iliyopita na akabeba baadhi ya vitu,naskia siku hizi mambo yake saafi pande fulani hapo Dar.Sikuja kumjadili yeye ila kuna mtu...
Mwanafunz wa kidato cha nne akiwa ndan y chumba cha mtihan wa mathematics, gafla akanyanyuka na kwnda kukaa chini ya sakafu huku akiendelea na mtihan....Msimamiz akamfata na kumuuliza vp mbna...
Jamaa alimwaga mkewe kwamba anaenda Songea kwa ajili ya semina ya siku saba. Kumbe alihamia kwa mchepuko wake nyumba ya jirani.
Alipoamka siku ya kwanza, aliamua kuchungulia hali inayoendelea...
Hakuna jambo linaloleta furaha na amani katika
maisha ya kimapenzi kama kumsoma mpenzi wako
na kujua mambo gani 'humdatisha' kisha
ukamtimizia.
Hicho ndicho ambacho kimewafanya baadhi ya
watu...
Kila ukimuuliza hobby yake anakwambia ana hobby
ya kuimba kwaya, mtu huyohuyo mlevi wa kutupwa..!!
anafahamu Gesti zote mjini kuliko anavyofahamu
Table ya 7.....Anakwambia I love kids so much...
VILE PENZI NAKUPENDA
VILE PENZI NAKUPENDA,KIKUKOSA NI GHADHABU.
NAJUA SIWEZI KONDA,JAPO NITAPATA TABU.
NITABAKI MEZA FUNDA,HUKU KIKOSA MAJIBU.
NAKUPENDA NAKUPENDA,WEWE NDIO WANGU MUHIBU.
KUNA...
daaaa unajua lazima mtu uongee unalofikiria siku zote kweli hawa viumbe ni hatari sana tena sana .anaweza kuchukia kisa yeye mwenyewe ....jana nimetoka job so kurud room ina harufu mbaya kuchek...
Kasheshe ni pale unapompa binti mzuri mjamzito lifti kwenye gari lako, halafu anazimia. Kasheshe zaidi ni pale baada ya kumkimbiza hospitali, anapewa matibabu na kujifungua na kudai aliyemleta...
Mkiwa wote anachati balaa...imetoka hii Whatsapp
KAIJIBU....Imeingia BBM ile KAIJIBU...Mara
Tango....Mara Telegram...Kidogo mara simu katoka
nje...Kama Opareta wa SPANCO. Simu anayo mkononi
masaa...
Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.
Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio...
JAMAA AKIWA KAZINI GAFLA AKAPOKEA SIMU YA MKEWE
Mke:haloo mme wangu kuna jambo la umuhimu limetokea nyumbani njo haraka
Mume:nitakuja mke ,ila kuna dili la mamilioni nakamilisha
Mke:hili la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.