JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mmasai mmoja mwenyeji wa karatu, amepandishwa *Mwendo Kasi* akiwa na lengo la kufika Arusha, mmasai huyo aliyeonekana mkali sana akiwa eneo la Kimara baada ya kuambiwa watu kuwa basi letu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamvi? Leo kumekua na video ya msanii anaejulikana kwa jina la Yang dar es salaama akiwa kama kawehuka fulani hivi ndugu wanamshika kumpakaiza kwa bajaj sujui kumpeleka hospitali au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bei za sukari zimebaki juu... Tungekufa kwa kisukari... Magufuli oyeee
2 Reactions
7 Replies
664 Views
Habari wakuu, jamani ndugu yenu nipo ubungo terminal hapa, sasa natafuta gari za msanga ngongere hivi zinapatikana kweli kweli hapa??
2 Reactions
0 Replies
882 Views
Hawa watu wanaojiita et mim ni team kingkiba na team diamond au team bell 9. Mim siwaelewi bwana utawakuta wamekaa kubishana na kurushiana matusi ya ajabu kisa vipaji vya watu...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Mwalimu, "James ungependa kuwa nani ukiwa mkubwa?" James, 'Napenda kuwa tajiri mkubwa, nimiliki magari na majumba ya kifahari, halafu nioe na kumpangishia mke wangu hoteli huko paris, nimnunulie...
0 Reactions
2 Replies
736 Views
wasalaam, wandugu watanzania wenzangu. Naomba waliopo mikoani wanijuze Bei ya Mashamba kwa heka Moja. Niwapi Ambapo Ardhi ni bei nafuu, nataka kuwekeza kwenye kilimo wandugu. Asanteni na Mungu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kumdanganya demu kazi rahisi sana. Dem. Baby unaeza kuongea kitaliano?? Mana unapenda kuangalia michezo yao af unafurahi kweli. Jamaa. Ee sana tu naweza ndio.. Dem. Eb ongea tuone. Jamaa...
7 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wapendwa wa Jamii Forums ningependa tutambulishane tuko katika mahusiano gani na tuna watoto wangapi ili kuondoa utata kwa wale wanaovamiana PM na kukurupukia wake au waume za...
6 Reactions
121 Replies
8K Views
Nasikia MISIKITI na MAKANISA kuanza kulipiwa KODI YA MAJENGO. Kweli BABA JESCA alichaguliwa na MUNGU.[emoji13]
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamaa kaaga kwa mkewe Neema anaenda Songea kwa wiki nzima,kumbe kahamia kwa mchuchu nyumba ya pili toka kwake,.. siku ya kwanza akalala,asubuhi alipoamka akamua kuchungulia kwake kukoje,si...
10 Reactions
13 Replies
3K Views
Mhindi akijifunza methali Methali : Nyani haoni Jibu: Varisa miwani Methali: Debe tupu Jibu: Weka dengu ama choroko Methali: Maskini akipata Jibu: Iko acha iba katika jumba ya watu Methali...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Majirani bwana Ukiingia geto na mwanamke hata iwe usiku wa manane yaani lazima wamuone na wasimulie alivyo Ila sasa aingie MWIZI hata mchana kweupeeeee eti hawamuoni *ShenzyType*[emoji13]...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni utani tu jamani kwa hamna inshu ya maana. Pole kwa.................................
0 Reactions
9 Replies
2K Views
[emoji2] [emoji23] [emoji23] .. Nisaidieni kumpatia Rasi Wateja wengine humu humu JF.
4 Reactions
26 Replies
7K Views
Nimepata mgeni nataka kumzungusha kdg sasa huu mwezi ni mgumu places nyingi Dsm zimefungwa kupisha ramadan. Mwenye kufahamu club ambayo naweza kwenda leo ambayo inaendelea kuwa wazi no matter ramadan.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natamani Madaladala Yote ya Mbagala Yasiwe na Siti (kasoro dereva tu) Natamani Kusiwe na Kifo Tena Duniani Natamni Kusiwe na Kula iwe ni KUVAA TU Natamani Tusiwe Tunaoga Natamani Nyerere Afufuke...
0 Reactions
51 Replies
3K Views
Ramadhan Kareem! kwa wadau wote wa jukwaa.. Mfungo unaendelea na sijui kama leo ni 3 au 4. News Pendwa tena, hizi hapa. 1. Niwapongeze wazaliwa wote wa Mwezi huu wa 7 na mimi nikiwa...
20 Reactions
514 Replies
29K Views
Back
Top Bottom