JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
CCM huko nyuma imewahi kuwa na watu waadilifu kama Jaji Warioba na Mzee Butiku. Je kwa sasa kuna kiongozi mwadilifu?
2 Reactions
4 Replies
845 Views
Yani ile dhana ya wamasai walefu inaenda kupotea, nadhani wanafanya interbreeding, au huku pwani hawanywi maziwa. Yani unakutana na mmasai kafupi mwenye hadhi ya kuitwa mbilikimo kabisa...
1 Reactions
4 Replies
576 Views
Habari, Kidogo mm humu ni mgeni, ila katka ugeni wangu kuna watu huwa naona wako serious kwenye swala la ku dislike yaani wao hiyo ndo kazi yao kubwa Kwa kweli sijajua kwamba hawa watu wana...
1 Reactions
8 Replies
551 Views
Imekaaje landlord kukuambia ataanza pokea rent ya mwaka badala ya miezi 6!? Mfano ni wewe how would you react !!
0 Reactions
7 Replies
638 Views
Habari Wakuu, Tangu Makolo wapate ofa ya mchongo kwenda Super League (ingawa hawakuwa na uwezo), huyu mke wangu ni kolo dam dam, amekuwa wa kunipigia makele kila siku kiasi kwamba nilianza...
4 Reactions
36 Replies
864 Views
0 Reactions
1 Replies
215 Views
Tumekumiss sana nduguzo. Hivi ukiwa Marekani ndio unaacha kabisa kutumia JF? Msalimie sana shemeji yetu Malia Obama
6 Reactions
31 Replies
1K Views
Ndiyo mnaongoza kuharibu majina ya wachezaji,Feisal Salum Abdalah mkamuita Feitoto mkaona haitoshi sasa Baraka Mpenja anamuita Feisal Failasufi.👉badilikeni acheni ulimbukeni usiyo na tija.
0 Reactions
0 Replies
263 Views
Nimekutana na hii paragraph hapo chini kumbe maeneo mengine ukikaa ni kwamba haupo dar, 😆😆 je wengine mpo wapi.
4 Reactions
24 Replies
764 Views
Natumai mko poa Wakuu, Watu tumetembea sehemu nyingi, tumesoma sehemu za shule na vyuo tofauti, kutokana na tabia, upenzi wa vitu, kazi zetu, maeneo tunayotokea na a lot of stuffs, huwa inatokea...
11 Reactions
203 Replies
5K Views
Haya wazee wa mshahara leo ni siku yetu ambayo tunatumaini itafunika miaka 7 yote iliyopita. Vipi huko ishasoma?
8 Reactions
102 Replies
8K Views
Tucheze na vyote ila siyo Mapenzi. Na Mapenzi hayaangalii uko katika Siasa au Ulichukiwa Ofisini katika Kampuni au una Nuksi tu ya Kutokukubalika kwa Wanadamu kutokana na kuwa Tajiri sana...
1 Reactions
1 Replies
331 Views
Mwagona. Ujio wa matoleo ya iPhone kwa Tanzania huwa ni msiba mkubwa hasa Wazazi Wanaume na makaka. Kwani hicho ndo huwa visa vya dada zetu kuliwa tunda kimasihara kisa simu. Tujiandae kusikia...
16 Reactions
147 Replies
9K Views
Jamani hamjambo? Love is a beautiful thing. Mama pretty nimezama penzini. Baby wangu upo humu. I love you so much😘😘😘
20 Reactions
244 Replies
10K Views
Maisha bwana! Acha tu.
15 Reactions
31 Replies
2K Views
Aliyewahi pitia hii kadhia ananielewa bila shaka. Usikuni mwema
9 Reactions
59 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu wanaJF Mimi natamani kuwa maarufu humu au niwe super star waJF kama akina mwafulani Sasa nifanyeje ili lengo langu litimie?! Nipeni mbinu wakuu
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Habari za mida hii wanajukwaa, nimekuja Dom kufatilia ishu zangu za kiofisi, niko Lodge sema usingizi umepaa. Ngoja niwape kisa hiki kilitokea miaka hiyo tukiwa chuo mwaka wa pili na shost yangu...
8 Reactions
23 Replies
2K Views
  • Closed
Jinsia yangu ni ME, Kijana mpole sana na mwenye aibu ....ebu tupige story kidogo , ni vitu gani vimekua vikikufuraisha/ kukuboa kuhusu warumi?, na ungependa kufahamu nini kuhusu warumi?
31 Reactions
164 Replies
23K Views
Back
Top Bottom