JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari ndio hiyo. Na umbea ndio huo. Msiniulize habari hizi nimezipata wapi ila kaeni mjue tu. Kama haikuhusu,potezea. Harusi October 25. Wa mjini twajuana.
0 Reactions
56 Replies
7K Views
This is what is happening in Kenya a teacher in a class. TEACHER: class 1+1 is? CLASS: 11 TEACHER: Correct, name two types of coffee. CLASS: Kofi annan and Kofi olemide. TEACHER: Correct...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
:: Ilikuwa miaka kadhaa, Furaha iliitekenya dunia, Wazazi waliifurahia, Ukatoa sauti ya kulia, Maishani ukaingia, Binti mzuri uliyetulia, UMEKUA RAFIKI YETU Happy birthday Munkari ...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Masaa yatapita, siku zitapita, miezi itapita lakini naamini neno NDIYO litatokea kinywani mwa mrembo Arabela.
4 Reactions
174 Replies
7K Views
Hivi kichwa cha habari kina nywele au kipara?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kipofu na mlemavu walikua wamekaa...mara likapita gari na bahati mbaya likawarushia maji machafu...kwa hasira maongezi yao yalikua; mlemavu: ngoja nimkimbize kipofu: achananae nishaisoma number..
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Hayawi hayawi na sasa yamekuwaaa...mwenyekiti wa jukwaa Baba V naomba uandikishe hii couple kwenye daftari lako.... TheDealer &...
10 Reactions
346 Replies
15K Views
ivi madokta kabla ya udokta walikua ni madokta au kulikua na madokta wakuatibu madokta kabla ya madokta hawajawa madokta?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
wakuu wa JF twaomba sana msameheni Maria Roza kwani kuna jukwaa fulani halitaendelea vizuri bilaa yeye .. twaomba sana wakuu muondoe hiyo BAN ..
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Mabadiliko ya tabia na mwenendo wa wanadamu kila uchao, je utandawazi ndo unatuathiri ama ni hisia za mtu kupandisha/kumsha mori? Kizazi kilichokaidi maadili ya kiafrica, hapo kale ilikuwa ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ukiona kijana, mdogo yuko CCM ujue uzeeni atakuwa Mchawi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Swali 4 both side wadada na wakaka hivi MPENZI WAKO AKITAKA KUSHIRIKI SHINDANO LA BIG BROTHER UTAMRUHUSU?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Niaje!!!!!! Ndugu yenu mie nataka kujua kama kuna umri halisi wa kuanza kumiliki gari la kutembelea(sio pickup wala gari ya biashara)kwa mwanaume na mwanamke,kama zipo jee sababu za msingi za...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kwa miaka sasa wazazi wamekuwa wakiwapa watoto wao majina kama; sikujua sikuzani, Matatizo, havinitishi Muungano, Majaliwa, Subira, Wema, Baraka. Taarifa zinasema neno la MAJANGA lipo karibu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Unafikiri nakutania, Ukijaribu tu kumtukana yule jamaa wa magogoni humu jamvini umepigwa ban ukijaribu tu kumsema vibaya yule mwanzilishi wa m-pesa umepigwa ban ukijaribu tu ...........
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jubilee closed door meeting (Leaked) Topics: ada wear, mabo, sasa, sita, zuma I have just attended a closed-door meeting where plans for the BIG UHURUTO BASH PARTY were being discussed. All...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kutokana na kutokuwepo kwako kwenye jamvi kwa muda mrefu, wanachama wa JAMII FORUMS tumeitisha mchango ili kukunulia Blackberry mpya kabisa ili uweze kupata mambo na uhondo kutoka kwenye forum...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hayawi hayawi yamekuwa! Mapenzi ya dhati yana vituko sana jamani, naweza kufananisha na ile hali ya mwanamke mjamzito! ndivyo nilivyokuwa nateseka muda wote! Lakini hatimae nimetulia...
6 Reactions
62 Replies
4K Views
Back
Top Bottom