JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kipindi cha siku, Mwezi au mwaka kwa bindamu mkamilifu ni muda mrefu sana wa maisha yake. Mtoto wangu leo ametimiza mwaka mmoja tangu kuzaliwa kwake. Mapito ya magonjwa, na kama binadamu...
3 Reactions
4 Replies
496 Views
Nimetoka tu nje ya geti kununua mafuta ya kupika chakula, nikasikia gari ikipiga honi, kuangalia ni mubaba muzuri ananiulizia wapi kwa fulani, gari kali nyie, ananukia. Eti dada samahani, eti kwa...
12 Reactions
117 Replies
4K Views
Nawasalimu ndugu na jamaa humu ndani.Nimeuliza swali nahitaji kujua?
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Eti, umemsevuje mchepuko wako? Naanza namimi [emoji116][emoji116][emoji116]
3 Reactions
28 Replies
1K Views
habari zenu wadau. najua kila mmoja yupo katika harakati za kusongesha gurudumu la maisha mbele na kuyafikia maendreleo yake na maendeleo ya nchi tupige kazi kwa bidii,achana na kichwa habari cha...
3 Reactions
24 Replies
14K Views
Wazee wenzangu habarini na amani iwatawale Ni muda kidogo umepita sijawaona humu jf kwenye majukwaa mbalimbali watu hawa. Mzee Tupatupa Ritz Mwanakijiji Jack Bauer (kama sijakosea uandishi wa...
1 Reactions
17 Replies
731 Views
Kwema Ndugu zangu, Yani unaweza kumeet na mtu au watu ambao wamekuzidi kila kitu, lakini wakaamua kukuchukia tu bila hata sababu yeyote. Hata ukujitahidi kuwa tendea mema kwà HEKIMA, BUSARA...
3 Reactions
17 Replies
494 Views
Alikuta ofisi imepewa kazi ya kuunda kadi za Harusi ya mrembo fulani. Alipojua ni yule kimeo ndio anaenda kuolewa na Rafiki yake mpofu wa akili aliamua jambo kwa makusudi. Maagizo yalisema...
1 Reactions
4 Replies
371 Views
Nakumbuka kuna kipindi nilikua natafuta kazi nko jobless mambo hayaendi, nyenzo kubwa ilikua vocha ili niweze ku access Internet lakin kuna mda nilikosa hyo vocha ili niendelee na mapambano...
19 Reactions
204 Replies
10K Views
1. Usipige simu ikaita hadi ikakata. Huko ni kujikosea heshima. Labda uwe unapigia wazazi. 2. Usimpigie mwanaume mwenzako video call. Labda iwe kuelekeza kazi. 3. Isipigepige simu sana, pia...
10 Reactions
42 Replies
3K Views
8888 peke yake kwa lugha ya kijaluo inaamkwaje hii namba wajameni
2 Reactions
3 Replies
879 Views
Just imagine unavaa kaunda suti ya kijani kisa tu vijana wa Chadema wanakujua wewe ni Idugunde basi kila mtu anaaanza kukughasi umnunulie bia. By the way nilikuwa Singida naangalia mechi ya Yanga...
3 Reactions
16 Replies
973 Views
Naomba Wahaya, Wanyaturu, Waha, Wanyiramba, Warangi, Wakerewe na Wanyamwezi wajae Msibani ili Wamchane Leah Bintiye Marehemu Mzee Mkono. Pia Wazaramo na Wahehe nao Wajae ili Wamchane Mjane wa...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Dodoma , the Central Corridor and City Capital of Tanzania… Watu (wapyawapya) wako bussy na hekaheka ni nyingi sana kila kona ya Jiji la Dodoma. Hakuna kinachoshindikana. Kuna mabinti wengi sana...
5 Reactions
116 Replies
29K Views
Today is the start of something beautiful! You have been my closest and dearest person for a very long time, I have seen your best side and your worst. I have been through it all with you and for...
23 Reactions
271 Replies
13K Views
A. MIAKA 17-19 1. Teacher wa History 2. Mwal Tuition 3. Boda Shule 4. Mkaka wa Chips 5. Baba, mama etc B. MIAKA 20-25 1. Baby, sweetheart, love 2. Namba NIDA 3. Mate Mzumbe 4. Lecturer Mashauri...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Kama title ilivyo clear, Kuna members fulani huwezi kuwakosa kwenye nyuzi fulani wanazozipendelea na mara nyingi utawaona kuchangia na au kuanzisha nyuzi zinazofanana na hizo,ila...
5 Reactions
92 Replies
5K Views
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Starehe ya kula gambe nimeshindwa kuiacha kabisaa japo inamaliza hela ila kuna muda najisemea natafuta hela kwa sababu gani?
3 Reactions
42 Replies
2K Views
Back
Top Bottom