Hvi jamani imagine una rafiki ako mmekutana kwenye mitandao tu ya kijamiii ukawa mnaongea vizuri yeye ni me wewe ni mwanamke, then anaonyesha kama vile anakutaka na wewe upo single baadae mara...
Mshana jr - huyu ndio yule mganga Mkuu wa farao kabisa biblia haikumuacha mbali uganga wake wa mchongo ulimtokea puani mbele ya fimbo ya Mussa.
Bujibuji Nyanaume - huyu kwa kupenda papuchi ni...
Natanguliza samahani kwa wote waliooa, nipo chumbani kwa mtu ambaye kasafiri, muda huu nimetoka kuzini na mkewe. Baada ya kuzini yeye kageuka kenge, niliogopa mno kumbe mumewe alimtega.
Namimi...
Usiache kufurahi leo. Leo ndiyo yote tuliyo nayo. Kesho ni ahadi.
Kama wimbo unavyoenda... "Jana imepita, na kesho inaweza isiwe yako."
Maandiko pia yanasema, "Furahini katika Bwana SIKU ZOTE"...
Kuwa na furaha ni uamuzi tu.
Hakuna kitakachokufurahisha hadi uchague mwenyewe kuwa na furaha.
Una furaha kwa kuwa umeamua kuwa na furaha. Usitegemee wengine kukufanya uwe na furaha...
Umeanka morning unataka kutoa pesa uliyotumiwa na babe unakuta muamala umerudishwa-- UMELIKALIA
Unataka demu lakini pesa huna -- UMELIKALIA
Unayedhani kuna mapenzi ya kweli -- UMELIKALIA...
Ndug zangu, msaada wa haraka kwenu juu ya hii ndogo nafahamu hapa kuna watu wabobezi wa mambo mbalibali, ndoto hiyo imenipa hofu sana.
Ndugu zangu naombeni maaana ya ndoto hiyo kama ndoto hiyo...
Kisokolonkwinyo ni binti wa miaka 21 huyu binti amezaliwa tu katika familia ya kipato cha kati, baada ya kuzunguuka huko nahuko katika mashule na chuo amefanikiwa kuhitimh Diploma ya Uhasibu...
Hatimaye nilitafakari swali la zamani: Je, kuzaa ni uchungu zaidi kuliko kupigwa teke kwenye korodani?. Wanawake daima hushikilia kwamba kuzaa ni uchungu zaidi kuliko mwanaume anayepigwa kwenye...
Njoo ujishaue kama upo hivi,
~ Mwanamke usiyeomba hela.
~ Njoo mwanamke unayependa na kula utakavyo kwa pesa yako bila kuhongwa wala kubegi mtu.
~ Njoo kama ni mwanamke anayefanya juhudi...
jamani kama kuna waganga wa kusafisha nyota ya mapenzi au kumpata unayemtaka basi wanaweza fanya na vice verse, yaani kumfukuza usiyemtaka.
Nimependwa na babu jinga afu haelewi, nioge dawa gani...
Nasema ivi hata salamu simlikuwa hamtaki eti kisa mpo kwenye funga, mtajua hamjui na sisi mabaharia tumeanza funga yetu kivyetu.
Tunaenda na wale tuliokuwa nao pamoja katika kipindi hiki kigumu.
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Mungu aliiumba dunia hapo zaman za kale, aliumba wanyama wakali kama simba na wajanja kama sungura, lakin...
*MATHEMATICS EXAM PAPER*
*Time*: *3Hrs 30MINS*
*INSTRUCTIONS:*
1 *_ATTEMPT ALL QUESTIONS_*
2 *_ALL QUESTIONS CARRY EQUAL MARKS_*
*1.* You are a married man and you have dated somebody's wife...
Leo ni siku ya wafanyakazi Duniani.
Majobless inatuhusu pia kujua nini kinaendelea duniani. Kujua tu inatosha.
Sasa kwenye mada moja kwa moja kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Haki au...
Jamani walimwengu wabaya,dunia mbaya.jana niligeuka kenge kwa muda usiojulikana baada yakulala na mkewa mtu. Sasa iliishia nipo juu ya meza na type uzi humu JF na ukizingatia mkono ulikuwa mnene...
Salaam MMU, guyss naomba tushare chats huku tukificha contacts za warembo tunaochat nao kila siku, either iwe tunawatongoza, tunavoomba mbususu, wanavotupiga mizinga etc ili tujifunze na...
Wakuu,
Hebu tuachane na story za yule mpuuzi jana katutia aibu sababu ya utoro wake kutohudhuria vikao, barua yake ya kumfuta uanachama iko tayari, itamkuta huko huko aliko.
Kila Mara kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.