JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hvi jamani imagine una rafiki ako mmekutana kwenye mitandao tu ya kijamiii ukawa mnaongea vizuri yeye ni me wewe ni mwanamke, then anaonyesha kama vile anakutaka na wewe upo single baadae mara...
11 Reactions
44 Replies
2K Views
Mshana jr - huyu ndio yule mganga Mkuu wa farao kabisa biblia haikumuacha mbali uganga wake wa mchongo ulimtokea puani mbele ya fimbo ya Mussa. Bujibuji Nyanaume - huyu kwa kupenda papuchi ni...
1 Reactions
4 Replies
312 Views
Natanguliza samahani kwa wote waliooa, nipo chumbani kwa mtu ambaye kasafiri, muda huu nimetoka kuzini na mkewe. Baada ya kuzini yeye kageuka kenge, niliogopa mno kumbe mumewe alimtega. Namimi...
9 Reactions
129 Replies
3K Views
Usiache kufurahi leo. Leo ndiyo yote tuliyo nayo. Kesho ni ahadi. Kama wimbo unavyoenda... "Jana imepita, na kesho inaweza isiwe yako." Maandiko pia yanasema, "Furahini katika Bwana SIKU ZOTE"...
1 Reactions
13 Replies
534 Views
Kuwa na furaha ni uamuzi tu. Hakuna kitakachokufurahisha hadi uchague mwenyewe kuwa na furaha. Una furaha kwa kuwa umeamua kuwa na furaha. Usitegemee wengine kukufanya uwe na furaha...
4 Reactions
32 Replies
826 Views
Umeanka morning unataka kutoa pesa uliyotumiwa na babe unakuta muamala umerudishwa-- UMELIKALIA Unataka demu lakini pesa huna -- UMELIKALIA Unayedhani kuna mapenzi ya kweli -- UMELIKALIA...
4 Reactions
43 Replies
947 Views
Ndug zangu, msaada wa haraka kwenu juu ya hii ndogo nafahamu hapa kuna watu wabobezi wa mambo mbalibali, ndoto hiyo imenipa hofu sana. Ndugu zangu naombeni maaana ya ndoto hiyo kama ndoto hiyo...
4 Reactions
27 Replies
10K Views
Kisokolonkwinyo ni binti wa miaka 21 huyu binti amezaliwa tu katika familia ya kipato cha kati, baada ya kuzunguuka huko nahuko katika mashule na chuo amefanikiwa kuhitimh Diploma ya Uhasibu...
1 Reactions
3 Replies
286 Views
Hatimaye nilitafakari swali la zamani: Je, kuzaa ni uchungu zaidi kuliko kupigwa teke kwenye korodani?. Wanawake daima hushikilia kwamba kuzaa ni uchungu zaidi kuliko mwanaume anayepigwa kwenye...
12 Reactions
43 Replies
3K Views
Njoo ujishaue kama upo hivi, ~ Mwanamke usiyeomba hela. ~ Njoo mwanamke unayependa na kula utakavyo kwa pesa yako bila kuhongwa wala kubegi mtu. ~ Njoo kama ni mwanamke anayefanya juhudi...
6 Reactions
54 Replies
2K Views
jamani kama kuna waganga wa kusafisha nyota ya mapenzi au kumpata unayemtaka basi wanaweza fanya na vice verse, yaani kumfukuza usiyemtaka. Nimependwa na babu jinga afu haelewi, nioge dawa gani...
2 Reactions
57 Replies
17K Views
Nasema ivi hata salamu simlikuwa hamtaki eti kisa mpo kwenye funga, mtajua hamjui na sisi mabaharia tumeanza funga yetu kivyetu. Tunaenda na wale tuliokuwa nao pamoja katika kipindi hiki kigumu.
5 Reactions
14 Replies
574 Views
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana Husika na kichwa cha habar hapo juu Mungu aliiumba dunia hapo zaman za kale, aliumba wanyama wakali kama simba na wajanja kama sungura, lakin...
15 Reactions
416 Replies
40K Views
*MATHEMATICS EXAM PAPER* *Time*: *3Hrs 30MINS* *INSTRUCTIONS:* 1 *_ATTEMPT ALL QUESTIONS_* 2 *_ALL QUESTIONS CARRY EQUAL MARKS_* *1.* You are a married man and you have dated somebody's wife...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo nimetimiza miaka kadhaa ,leo ni siku yangu ya kuzaliwa mimi na brother from another mother Me two aka Sugu Tu wishi tu USSR
2 Reactions
5 Replies
386 Views
Leo ni siku ya wafanyakazi Duniani. Majobless inatuhusu pia kujua nini kinaendelea duniani. Kujua tu inatosha. Sasa kwenye mada moja kwa moja kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Haki au...
0 Reactions
6 Replies
343 Views
Hebu leo tujadili vichwa hatari sana kwa leo kwa story Je ni umughaka aliyeandika 👇...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Jamani walimwengu wabaya,dunia mbaya.jana niligeuka kenge kwa muda usiojulikana baada yakulala na mkewa mtu. Sasa iliishia nipo juu ya meza na type uzi humu JF na ukizingatia mkono ulikuwa mnene...
1 Reactions
3 Replies
423 Views
Salaam MMU, guyss naomba tushare chats huku tukificha contacts za warembo tunaochat nao kila siku, either iwe tunawatongoza, tunavoomba mbususu, wanavotupiga mizinga etc ili tujifunze na...
4 Reactions
62 Replies
6K Views
Wakuu, Hebu tuachane na story za yule mpuuzi jana katutia aibu sababu ya utoro wake kutohudhuria vikao, barua yake ya kumfuta uanachama iko tayari, itamkuta huko huko aliko. Kila Mara kwenye...
36 Reactions
131 Replies
4K Views
Back
Top Bottom