Nimefikiria kwa hali ilivyo hapa nchini ikifika wakati umeweka ka vocha kwenye simu yako lakini kinachokukuta ni hiki..
Recharge Successful.You have recieved tsh:5000. from
no. 07*****658...
Leo nisiku yangu ya kuzaliwa tarehe 13 inahusishwa na shetani
Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha hata kufika hapa...
Nawakaribisha wana JF wote watakao weza kufika nyumbani Kibasila str karibu na...
leo sikwenda kazini basi niko bored kweli,nahitaji mtu ambaye yuko free kama mimi ani-PM tuchat walau kusogeza muda mbele tukisubiri time za bia na nyama choma.
mademu watapewa nafasi ya...
Wakuu,
Foleni Dar es Salaam ilikuwa inasababishwa na askari wa Usalama Barabarani. Toka juzi tarehe 14/05/2013, natumaini wengi mtakuwa mmeona mabadiliko makubwa kuhusu uwepo wa askari wa usalama...
Where sex is free and love is costful.............Where loosing a phone is more painful than loosing than loosing virginity..........Where if you dont cheat on your patner; your not smart and...
Jane was called by an
Unknown number.
UNKNOWN: Hi, do you have a boyfriend?
JANE: Yeah.
UNKNOWN: So you have a boyfriend. Its
your dad. I'm coming so that you'll tell me
when you grew horns!
Next...
Wachungaji 3 walikutana waelezane matatizo yao ili waweze kuombeana wa kwanza akasema jamani mimi tatizo langu wizi yaani kila nikimaliza ibada lazima niibe hela za sadaka,Wapili akasema jaman...
Baada ya mmea hatari kuota jijini Dar na kuripotiwa Jamii Forum.
Angalia:
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/280984-ni-mmea-hatari-umeota-kwenye-barabara-za-jiji.htm...
"Mchungaj mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "mashoga" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ninyi ni MKE na MUME" lakini atafanyaje wakati wote ni wanaume? mchungaji akapiga moyo konde na...
Mention "MOTTO" of the primary and secondary school U̶̲̥̅̊ attended.
Kwangu! Elimu ni ufunguo wa maisha
Bidii elimu na kazi ni msingi wa maisha
Hivi mfano wakoloni waliotutawala wangekua ni WACHINA ingekuaje:-
1.miji na mashule mengi yangekua na majina ya kichina
2.kusingekuepo na dini mbili kubwa nchini kama RC na islamic badala yake...
Taarifa rasmi:
-Kuanzi sasa maombi ndoa yanapokelewa ofisini kwangu 24hrs, na yatashughulikiwa ndani ya dk arobaini na ndoa kufungwa.
-Ndoa zote zilizo kwenye migogoro, naomba hiyo migogoro ikome...
Wadau kuna kijana anayeitwa AMANI YUSUFU MAKAMBA mkazi wa mikoa ya kusini. kijana huyu anyedai kuwa mzee Yusufu Makamba ni baba yake mzazi amekuwa akiwatapeli watu mbalimbali fedha na mali kwa...
Wapenzi ndugu zangu wachitichati, habarini kimiamko.
Kumekucha tena Jumamosi , ambapo wengi wenu mu mapumzikoni mwa mwisho wa juma.
Aidha wengine akina sie mishemishe zetu, kukicha ni teke...
NANI ZAIDI
1. Mpare anayeenda benki na spana kufungua akaunt
2. Msambaa anayevua viatu kuingia kwenye taxi
3. Mzigua anayeingia kitandani na rula kupima atalala kwa muda gani
4. Msukuma...
Ni muda mrefu toka nilivoachwa na Rejao
nakuja kwa mwenyekiti wa ndoa wa chitchat Baba V
naomba kwenye familia yako unitafutie kijana mmoja mzuri ili niweze kuwa nae
naumia sana ninapoona...
Akijibu tuhuma hizo, Madame B mwenyewe alikiri kuwa ni kweli anatoka na huyo jamaa, na wameshibana kwelikweli.
Wambea kazi kwenu.
Mbuzi Kala Mkeka...
Kila siku akina Wema na Lulu tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.