Jamani me mgeni hapa mza, nimefika jana tu, cjui pa kuanzia wala pakumalizia kuhusu kujirusha, tafadhali niagizien alhamis ya leo naweza kwenda wapi kurusha roho??
hodi wana chit chat.....mi mgeni upande huu wa chit chat naombeni kuungana nanyi jamani.
Naombeni ukaribisho.
asante sana na natanguliza shukrani kwa ushirikiano ntakaopata.
GT, viongozi wa timu ya yanga wamekesha kwenye kikao wakiwa na kamati ya ufundi. pamoja na juhudi zote hizi imeonekana kuwa watafungwa magoli 2, hivyo uongozi umeshauriwa na kamati ya ufundi...
Yani ni full raha kwa sasa Dar aise,maji ya kuoga inabidi uyapashe moto khaa,kesho naenda kununua blanket ili niuonje usingizi wake.....Yani saaaaaaaaafi.Najua hata biashara ya wale dada zetu...
Mtambuzi
Sijakuona muda kaka/shemeji yangu...........kokote uliko salamu hizi zikufikie wewe na mama ngina.
Najua hii sredi yangu itatolewa hapa ila basi sawaaaaa mengine namuachia mode na invisible
Chezea kizungu...Mama mmoja wa kijita alienda hotel ya watalii, kwa mara ya kwanza. Kwa pozi akaketi meza 1 na wazungu watatu. Mhudumu akaja kuwauliza wanatumia nn? Mzungu wa kwanza akasema "JOHN...
0- You are a trouble maker
1- You are very kind
2- You are very funny
3- You are intelligent
4- You are sincere
5- You are careless
6- You are neat
7- You are handsome/ beautiful
8- You...
Yaani sometimes inabidi tu tuwahurumie nahisi uelewa wao hauko sawa..kuna msichana nilimpeleka kwa mama yangu..akakaa nao karibu miaka 3 akiwa huru(jumapili the entire day anaruhusiwa kwenda...
Jamani ungaltd kuna baadhi ya vijana ambao wanavaa mavazi ya kiaina yake na sidhan kama kuna sehem nyingine wanavaa kivile,utakuta kijana amevaa suruale imembana haswa njoo ucheki hapo chini yan...
BARUA YA WAZI KWA MWALIMU NYERERE, Mei, 2013
Mpendwa Mwalimu,
Tangu uondoke hali hapa Tanzania imebadilika.
Siku hizi mlima Kilimanjaro upo Kenya,
ziwa Nyasa liko Malawi...
Mlevi kamkuta mlevi mwenzie analia nje ya baa;
KOLU: We vipi tena unalewa mpaka unalia? Au umeishiwa hela ya kunywa nikakununulie?
DOLU: Nimejitapikia, mke wangu mkorofi nikifika atanidunda sana...
KUNA WIZI UMETOKEA BENKI KUU
Jambazi "wote laleni chini pesa ni
za serikali na maisha ni ya
kwenu",wote wakalala chini
... HII INAITWA DHANA YA...
Kuna yule mlemavu wa fire bus stand alikuwa mpigadebe...at that time kituo kile ni maarufu kwa wanafunzi wa Tambaza,Zanaki,Jangwani,Azania na Mzizima.......alikuwa anatembelea gongo moja anamwaga...
Tunataka sera ya taifa ya Nsenene...
Kwa nini serikali hawaoni hili......
Infwact, Hivi serikali hawajui wakiwekeza kwenye viumbe hawa tukaanza kusafirisha nje ya nchi kama kule Kentucky kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.