Mbali ya kuondoa stress, pia miongoni mwa vilivyonifanya mie nikajoin Jeiefu, ni pale nilipogundua hapa members wanapanuana sana mawazo na fikra.
Kwa muda wa miongo miwili kasoro robo niliokaa...
Simu za kichina sio simu kabisa aisee! Ya kwangu imeanguka kidogo tu basi camera imepasuka,redio imevunjika, credit zote zimemwagika, phonebook imechanika, picha zilizokuwemo zote zimepeperuka na...
Moja ya mikakati aliyotangaza JK baada ya kuingia ikulu Mwaka 2005, ni kuitoa nchi mahala ilipo na kuifikisha mahali pengine! Je unajua kama ameshalitimiza hilo?
Ametutoa kutoka;
Mafuta ya taa...
Nimeamua kuhamia na huku ili nigonge kote kote MMU na CC......... meseji yangu kwenu ni hyo hapo chini
"ALL GIRLS/LADIES AREN'T HOES AND ALL GUYS AREN'T PLAYERS, SO STOP SAYING THAT ALL GUYS/ALL...
Maisha ni kitu cha ajabu sana, wale unaowadhania kuwa wema ndo hatari, ona km hii....
1.Daktari anakuombea uumwe.
2. Wakili anakuombea upate kesi.
3. Mtengeneza majeneza anakuombea ufe.
4.Polisi...
KUNA WIZI UMETOKEA BENKI KUU
Jambazi "wote laleni chini pesa ni
za serikali na maisha ni ya
kwenu",wote wakalala chini
... HII INAITWA DHANA YA...
Kama ingekuwa ni ugonjwa ningesema nakaribia kukata kauli kwa jinsi mapigo ya moyo yanavyonienda mbio nimuonapo binti huyu. Arabela nakupenda sana nipe pumziko ndani ya moyo wako. Ni jambo lipi...
Hii imetokea leo maneo ya Ubungo Urafiki ambako kuna kanisa la wazi na jamaa alikatiza hapo na kanzu na kumuona mshikaji wake ambaye ni mlinzi, ile jamaa anamsogelea tu kumsalimu waumini wakatika...
Jamaa watatu wamefanikiwa kufika
kwenye kisiwa kisicho na watu wala
kisichojulikana baada ya boti yao
kuvunjwa na upepo mkali baharini.
Ghafla wakaokota nyupa, ile chupa
ikatoa sauti: "Kila...
Leo wakati najiandaa kwenda kibaruani kwangu nikakumbuka vitu vingi vilivyowahi kupita katika maisha yangu na its a nice memory asee;
Brands kama hizi;
Bodyline/Vaseline - Haya ndio yalikuwa...
KUNA WIZI UMETOKEA BENKI KUU
Jambazi "wote laleni chini pesa ni
za serikali na maisha ni ya
kwenu",wote wakalala chini
... HII INAITWA DHANA YA...
KUNA WIZI UMETOKEA BENKI KUU
- -
Jambazi "wote laleni chini pesa ni
za serikali na maisha ni ya
kwenu",wote wakalala chini
HII INAITWA DHANA YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.