JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kiukweli hata uangalie vp huwezi filisi au chukua kitu kwa macho, hata mzigo kama huu hata uangalie vp utaishia kufaidi au watoto wa mjini wanasema kula kwa macho. Mzigo kama hii kweli mwacheni...
5 Reactions
35 Replies
8K Views
Happy birthday figganigga with love & joy!!
6 Reactions
154 Replies
10K Views
Nimeenda Bagamoyo,nimevunja nazi,nimepeleka njiwa mweupe,lakini bado hutaki ku-reply pm zangu,sasa liwalo na liwe na kama hutasema chochote mpaka j2 ya tar 19.05.2013 saa5.59 usiku basi ujue...
0 Reactions
64 Replies
4K Views
Habari zenu wana chit-chat. Sina Mengi zaidi ya kumwomba msamaha my wife Arabela kwa kupotea sana tena si kidogo najua anafahamu ila alimwaga ya moyoni ili nirudi mapema,ni kweli nimekuwa na...
4 Reactions
80 Replies
5K Views
Kwa yeyote mwenye taarifa zake jamani atueleze ni nini kimempata maana ni siku nyingi sana sijaona thread zake na michango yake mbalimbali yenye kufundisha wana CHI-CHAT walio wengi watakubalina...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
habari za saa hizi wana jf. Hivi ni umbo lipi kati haya unavutiwa naye; mnene, mweus, mfupi, mrefu au mweupe. na kwanini?
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Ugonjwa hauna hodi unaweza kukumbwa tu kama kimbunga kivamiavyo nyumba iliyo sahaulika kufungwa milango, kama nyumba haina msingi imara inaweza kuezuliwa kabisa.. Dada yangu kipenzi alie wahi...
0 Reactions
2 Replies
964 Views
Wakuu, hapa ninapokaa, kuna uani mkubwa umezungukwa na nyumba upande mmoja, halafu kuna kamba nimefunga mbele ya mlango wa nyumba ninayokaa. Sasa kuna mashindano yasiyokuwa rasmi yameibuka...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Mhe:(MB)mwangungu hivi punde akichangia katika wizara ya miundo na ujenzi KATIKA KITU AMBACHO SIO CHA KAWAIDA AMBACHO HAKINA TOFAUTI NA MAMBO YA UDAKU. amemwambia John pombe magufulu amekuwa kama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ndani ya daladala toka K/koo kwenda Kimara, lilipofika Manzese konda akauliza; Konda: kuna mtu anashuka? Mrembo akajibu: Tumeyacha nyumbani, hapa tuna mitandio tu!! Kufika Ubungo Maziwa, yule dada...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Mhindi aliambiwa amalizie methali za kiswahili mambo yalikuwa hivi----1)Nyani haoni?-VALISA MIWANI! 2)debe tupu?-WEKA DENGU! 3)Masikini akipata?-ITAACHA IBA JUMBANI! 4)Penye kuku wengi?-CHINJA...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
During the exam, Akpos kept looking under the table, then he would write on the answer sheet. His teacher saw him doing that & thought he was copying. ? When collecting the paper after the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hallo! Taarifa rasmi, Baba V ameachia ngazi na kuniachia madaraka ya uenyekiti. Source : - vivian - Baba V - Mama v nafanya mabadiriko ya katiba katika kifungu (a) mwanamke anaruhusiwa...
4 Reactions
124 Replies
5K Views
Wana wa Bodi wenzangu, kwa heshma kubwa, sanjari na taadhima. Fursa naichukua kulifahamisha jukwaa, kwamba watajwa hapo juu tuliingia ndoani rasmi tr. 11 may 2013 Tanga mjini. Labda mtaniuliza...
5 Reactions
134 Replies
6K Views
Baada ya barca kufungwa 7 - 0 mashabiki waweka mgomo kunywa seven up 7 up
0 Reactions
1 Replies
2K Views
bibi mmoja alikuwa kibogoyo, ck 1 akapita sehem moja palipokuwa na mkutano wa injili . akamsikia mhubiri akisema; siku ya mwisho ni kilio na kusaga meno. yule mzee alisikika akifurahi sana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwizi kamuoa mchawi wakazaa changudoa, wakati wa ucku nani atabaki nyumbani?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Recharge Successful.You have recieved tsh:5000. no. 07***658 Deductions; >VAT 25 >Inflation adjusment 15% >Pay as you Ta 10% >System Maintainance fee 20% >Tanzania for tanzania deduction...
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Wapendwa simaanishi kuwarudisha kijijini, I mean nyumbani CHIT CHAT.. Hawa wapendwa tulikuwa nao sana humu lakini wameadimika ghafla na hawapatikani kama ilivyokuwa siku za nyuma... Nawaomba...
10 Reactions
183 Replies
8K Views
waifu kaenda kikao cha harusi,pombe zikamnogea kuja kushituka saa 6 usiku.akarudi kwake kichwani anawaza ataingiaje kwake? MKE:hodi mume wangu MUME:unaniona mi bushoke sana,sifungui,rudi huko...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom