JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hii ni jokes lakini imetokea kiukwellliiiiiiii...........majuzi nilipata mgeni na kwa kuwa vyumba vyangu vichache niliamua kumpeleka Guest ambayo haikua mbali na ninapoishi, ilibidi nimuache mgeni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
dotcomlady-doto komredi,monka-monika,ISIMBA-Israel simbachawene,BK for real-Bakari,NancyM-Nancy Mallya,JMturu-Joseph Mturu.Mh!Hivi umeandika utumbo gani huo,hata haichekeshi.
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Nesi wa milembe alikwenda kwa mgonjwa mmoja akamkuta anaendisha gari Nesi: " we zuzu unafanya nini?" zuzu: "naendesha gari nakwenda dar" nesi akaondoka zake.. Siku ya pili akaingia tena akamkuta...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
If you had to choose 1 song to dedicate to your mom, what would it be?
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Jamaa alikwenda kwa dokta akatibiwe. Jamaa:-docta mimi nnaugonjwa wa kusahau. Docta:-uliupata tokea lini? Jamaa:- kitu gani?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kuna jamaa alikuwa anapiga stori na jamaa zake, cheki maelezo yake; JAMAA: Basi siku moja tulikuwa tumeenda kuwinda wanyama msitu mmoja kwa Madiba huko, basi akakatiza swala mbele yangu, swala wa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kati ya NDEGE na NYUMBA IPI INA PAA JUU?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kudadadadeki Kuna ka bar kanaitwa Narok pub mkabala na arusha techk nimeutwika niko chicha haiwahuu nasema haiwuu kwani bishanga kulewa ndo nini ,nawambia hivi niko chicha. ....tena msinisumbuwe...
1 Reactions
50 Replies
2K Views
Dogo: Mama hivi malaika si wanapaa? Mama: Ndiyo wanapaa, Kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: Nimemsikia baba jana anamuita dada (housegirl) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa? Mama: Ndiyo atapaa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Usibishe... 1. Serukamba (mb) na Lusinde (mb) ni ndugu coz wote wanatukana popote pale 2. JK na Vasco Dagama ni ndugu coz wote wameenda kila part ya dunia 3. Osama na Lwakatare ni ndugu...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
ST. KAYUMBA SCHOOL OYEEE .. 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when u saw me u started to six six..(uliponiona ulianza ku-sita sita) u ran away n...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kijana mmoja aliota amekufa na yupo mbinguni Akiwa huko, aliambiwa na Malaika kuwa ametolewa roho kwa bahati mbaya hivyo atarudishwa duniani kama mnyama. Kijana nae akachagua awe kuku. Mara...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu JAMAA MMOJA MUONGO ALIWAKUSANYA WATU NA KUANZA UONGO WAKE MUONGO juzi nimeenda ngorongoro kumbe swala hawana mbio kabisa. nilipomuona swala nikashuka kwenye...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ni kijana mdogo, hana miguu lkn anasimama! Hali chakula lkn anatapika! Hana mikono lkn anachapa mtu mpaka analia! Ni mdogo kiumbo lkn hurefuka na kunenepa akifurahi! Ana jicho 1 lkn anaona kwenye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
jamaa mmoja alikuwa na wivu sana na mkewe kila sehemu atakayo pita anasikia watu wakimzungumzia,siku moja akanunua lipshine na kuimimina yote iliyo kuwepo na kuweka super glue ndani ya ile chupa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna jamaa watatu walikamatwa kwenye shamba la mzungu,akawaambia ili niwasamehe,kila mmoja wenu aingie porini na aniletee tunda ambalo sijawahi kuliona,jamaa wakaingia msituni,wa kwanza alimletea...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hi Ni furaha ilioje ndani ya moyo wangu ambayo nashindwa hata kuiziba naona kama ngekewa vile au maajabu ya Mungu kuwepo tena siku hii. ambayo kwangu imenipa kicheko na ushangao ambao siwezi...
9 Reactions
39 Replies
2K Views
1. Muheshimu anayekununulia 2. Muamkie mtoa ofa kabla hujakaa kitini 3. Uwe ndie mchekeshaji wa kikao, lakini usimkatishe mazungumzo anaetoa ofaa 4. Daima jitolee kufuata na kubeba vinywaji toka...
8 Reactions
188 Replies
9K Views
Haya wale wa ar natia timu huko monday, hebu tell me how to utilize my two nights stay. Sijawahi kukaa ar zaidi ya kukatisha tu nikitokea manyara. Nambeni semina elekezi wadau
0 Reactions
4 Replies
753 Views
unakuta msichana mzuri kaumbika kiafrika na anavutia ukimtizama ila tumbo sasa dah mpaka linaning'ing' inia yanii wengine hata wajazaa bado sasa walikwisha kuwa wazaxi wanajiachia sana ndio...
0 Reactions
131 Replies
8K Views
Back
Top Bottom