Maisha ya boarding.Nakumbuka.
Sabuni ilikata, nikaenda bafuni kama kawaida kutafuta vile vipande vidogo vidogo vilivyo bakishwa na wenye nazo. Bahati nzuri nikapata mara balaa akatokea jamaa...
Ndugu zangu wana JF nimebadili mkoa sasa ninapatikana Dar wakina Mungi na wengineo wengi ninawageni sasa habari za Lema nitazipata toka kwenu, huku nitawapa habari za watu kujirusha gorofani na...
Lile jinamizi lililokuwa likimwandama Baba V mara kwa mara sasa limetoa maambukizi na mmoja wawaathirika wa maambukizi hayo ni dada yetu kipenzi sweetlady. Pole sana bibie.
sweetlady
Banned...
Mfano Kuku, Keki, KITUMBUA, Kalimati pamoja hicho unalichokifikiria kingekuwa kwenye orodha hii.
Na si kingine ngoja nikitaje live sasa KULALA.
Ongezea na wewe kama kipo kingine uone...
mwisho wa wiki hii nitakuwa mjini kwenu nataka mnijulishe viwanja muhimu Moro kuvitembelea kufurahia hizi siku chache tulizo pewa hapa Duniani, wenyeji nipeni majina ya viwanja. Msijeniambia...
Dear Mwl,tangu uondoke hali hapa Tanzania imebadilika:
siku hizi mlima kilimanjaro upo Kenya,Ziwa Nyasa liko Malawi,Tanzanite iko Kenya,Tanesco ni ya mtu binafsi,pia Rais wetu siku hizi anaishi...
Eti kuna umuhimu wowote wa member wa jf kujulikana angalau na member mwingine ili endapp litatokea la kutokea tupate taarifa?
Kwa mfano mimi hakuna mtu yeyote anayejua kama id hii ni yangu...
A plane with 5 passengers was
about to crash mid-air and there
were only 4 parachutes.
1st passenger - Lionel Messi: I'm
the world's best footballer, my
fans still need me. He takes one
and...
Dad: I want you to marry a girl of my choice
Son: No!
Dad: The gal is Bill gate's daughter
Son : Then ok!
Dad goes to Bill Gate
Dad: I want ur daughter to marry my son
Bill Gates: No...
mkurya na ulokole wapi na wapi!!
mchungaji CHACHA BHOKE MWITA alikuwa anakemea mapepo!
mara baada ya kitambo kirefu cha kukemea, si mzuka ukapandaaaa...!!!
sasa sikilizia maombi yalivyoendelea...
WALEVI WATATU WALIKODI TAX:-
Dereva alivyoona wamelewa sana
Dereva akawasha gari halafu
akazima gari AkawAAmbi tumefika
WA KWANZA
Alimwambia ASANTE
WA PILI
Akampa hela na
TATU
Alimpiga...
Nimempenda sana huyu bibi harusi jamani,
kapendeza sana, so natural
Kanikumbusha sana siku ya harusi yangu..... niligombana sana na mpambaji na mapoda yake....
kila akinipaka namwambia punguza...
BARUA YA WAZI KWA BILL GATES
Kwenda kwa: Bill Gates, Microsoft
Kutoka kwa: Zuzu, Tanzania
Tarehe: 5 April 2013 ...
...
YAH: MATATIZO KWENYE COMPUTER YETU.
Ndugu Bill Gates,
Anko wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.