JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Haya haya haya kumekucha tena, tunapigika na kila mtu anatafuta Ujiko kwa namna yake ya kipekee no matter what the cost maybe.......Jana kwa viungo vyangu vyote nimeskikia vyombo vya matamnshi...
3 Reactions
36 Replies
2K Views
Hizi ni zana za Arushaone zilizotumika kurusha live mkutano wa chadema Ngarenaro Arusha hii leo, hapa alikuwa anabadilisha betri.. thread yenyewe ni hii hapa...
4 Reactions
166 Replies
8K Views
Mtz, mkenya& mganda walikamatwa na bangi china. Wakapewa adhabu ya kwenda msituni na kurudi na matunda kumi. Mganda akarudi na ma-apple akaambiwa ameze mojamoja bila kutikisika..la kwanza tu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Imetumwa via WhatsApp... Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru...
4 Reactions
37 Replies
6K Views
ZIFUATAZO NI ADHABU ZITOLEWAZO KWA UVUNJAJI WA SHERIA ZA CHAMA CHA WANYWAJI POMBE: Kosa la kumtoroka mlevi mwenzako kwenye Bar – Jela miezi tisa. Kuacha kunywa pombe na fedha unazo – Kifungo cha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
BUNGE MODERN TAARAB inawakaribisha mashabiki wake kwenye uzinduzi wa albam yao mpya kabisa iliyobeba nyimbo kali. 1. Mkuki kwa nguruwe... ( Anna Makinda) 2. Mimba zisizotarajiwa (Livingstone...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
"KIFO NOMA" Jamaa alingia Msikitin na Panga Mkonon huku jasho likimtoka, Akauliza"nani Muislam hum ndan? Wote kimya. Jamaa akarudia"nauliza nan Muislamu hum?. wote kimya. Jamaa akamshka Mkono...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
bunia watu hawa wamefanana na msanii gani hapa bongo? ........
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kwa namna moja au nyingine majina ya ndugu, jamaa, au marafiki huadimika kadiri ya muda na mahali. Kwa mfano, majina mengi ya jamaa wa utotoni hutoweka pale tunapokuwa wakubwa. Je unaweza...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
GUYS IVO VI MANENO CHINI HAPO MNAANDIKAJE I MEAN IYO SIGNATURE..:help:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti! then akaenda kama alivyo kwa masela wenzake akawauliza vp...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Halo Wanachitchat! Nawasalimu wote! Kabla ya kusoma hii thread, bila shaka utakuwa umeiona avatar yangu mpya.Usishangae, nimeichagua kwa kuipenda sana. Unajua, inafika wakati unaichoka avatar -...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
KUTOKA NAMBA: 40 UJUMBE: Mpendwa mteja! Hongera umechaguliwa kuwa kwenye huduma ya Airtel Premier. Tafadhali zima na kuwasha simu yako uweze kuona AIRTEL PREMIER kwenye kioo cha simu. Ni nini...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Haya haya kumekucha wana cc tupige kura kuchagua kapo inayoongoza kwa ucheshi,uaminifu,upendo,kuvumiliana,kuwa intact muda mrefu,ili mradi iwe ni kapo ya mfano cc.Kwa kuwa mimi sio mtaalam wa...
10 Reactions
655 Replies
26K Views
Msipotufagilia tutajifagilia wenyewe allas!! Kitu chako unapaswa kupewa wakikucheleweshea chukua mwenyewe kwani ni haki yako! F4G1L14!!! NEED WE SAY MORE?
8 Reactions
194 Replies
9K Views
Kati ya hivi kipi ni ujinga? 1:Kuweka majani ya chai kwenye sprite ili iwe Cocacola? 2:Kufikiri mzungu ana kimvuli cheupe? 3:Kudhani kuwa kunawakala wa facebook pesa? 4:Kumkimbia simba...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Anayebisha aseme........ Kopi: wanawake wote wa chitchat.
1 Reactions
96 Replies
4K Views
THINK ABOUT THIS FOR A MINUTE. 1. If I showed up on your doorstep crying would you care? 2. If i called and asked you to come and pick me up because something happened, would you come? 3. If...
4 Reactions
43 Replies
3K Views
Enzi hizo mdundiko ukipita hata mtaa wa sita utalikisia tu timbili lake. Mama anaacha sufuria jikoni anajitosa kwenye mdundiko. Baba alikuwa chooni anakata gogo , kutokana na utamu wa mdundiko...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Jamaa kafumaniwa na mke wa mtu,akapigwa lakini akaweza kuchomoka uchi mpaka kwake.. MKE:Hee kunani?Mbona hivyo? MUME:Majambazi mke wangu wamenikamata,wameniibia kila ki2 mpaka nguo na kunipiga...
4 Reactions
5 Replies
5K Views
Back
Top Bottom